mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Wadau naomba kujua kwani nini inachukuwa karibu miezi 3 kwa Rais wa Marekani toka achaguliwe mpaka kuapishwa kwake? Je kuna taratibu gani zinazofanyika mpaka zinapelekea kuchukuwa muda huo?
Katiba ya The United States of America ndivyo inavyosema. Sababu ni kuwapa muda wa kutosha kwa Rais anayemaliza muda wake kukamilisha kazi na kuweza kukabidhi kazi kwa Rais anayefuata.Wadau naomba kujua kwani nini inachukuwa karibu miezi 3 kwa Rais wa Marekani toka achaguliwe mpaka kuapishwa kwake? Je kuna taratibu gani zinazofanyika mpaka zinapelekea kuchukuwa muda huo?
Mkuu kama huna jibu ni vema ukakaa kimya ili wanaojua watoe majibu kwani bongo nimekwambia sijui?Kwan wa Tz anachukua muda gan kuapishwa?.
Kama hapa bongo nchi inachukua mwezi na siku kadhaa ajabu nini kwa marekani kuchukua miezi 3?
Dah!!!! Wajumbe wa senet jfTafuta tu uzi humu,wapo wajumbe wa senet watakufafanulia
Ni wakati huo pia huutumia kuwafundisha basics za ujasusi, maana wengi wanakuwa wanasiasa wa kawaida na hawajui nyingi ya siri za kijajusi za taifa.
Ni kama muda wa kutoa crash kozi fulani hivi ya mambo nyeti.
[/QUOT
Duuh ujasusi tena !?
Kiranga, hivi lakini huyu Rais wenu wa sasa ni yeye ndio anamatatizo au ni haw wanasiasa wengine? sijwahi ona Rais anasumbuliwa kama huyu toka nizaliweHuwa tunampeleka kozi fupi ya urais. Anapata intelligence briefings za rais, anajipanga kuteua timu yake, anakamilisha miamala kwa michepuko na kadhalika.
Kuna tatizo la kufikiri mtu mmoja ndiye ana matatizo.Kiranga, hivi lakini huyu Rais wenu wa sasa ni yeye ndio anamatatizo au ni haw wanasiasa wengine? sijwahi ona Rais anasumbuliwa kama huyu toka nizaliwe
Kuna tatizo la kufikiri mtu mmoja ndiye ana matatizo.
Nitatoa mfano. Nilikuwa nashangaa sana imekuwaje nchi iliyokuwa na wasomi wengi na maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia kama Ujerumani ( wasomi wengi walioendeleza sayansi Marekani, kina Einstein, walitoka Ujerumani) iliweza kupumbazwa na kushikiwa akili na mtu mmoja aliyeitwa Adolf Hitler.
Baada ya kusoma vitabu kama "The Rise and Fall of The Third Reich: A History of Nazi Germany" cha William Shirer na "The Origins of the Final Solution: The Evolution of Nazi Jewish Policy, September 1939-March 1942"
cha Christopher Browning, nikagundua kwamba, Hitler hakuwahadaa Wajerumani, Wajerumani ndio waliomtengeneza Hitler. Kulikuwa na watu wabaguzi wengi tu katika jamii ya Ujerumani tangu kabla ya enzi za Chancellor Bismark.
Kwa nini natoa mfano huu?
Jamii ya Kimarekani imegawanyika.
Marekani imepunguza ushawishi wake kimataifa kwa sababu nchi nyingine zinaibuka kiuchumi na kutoitegemea sana Marekani. Ukisoma kitabu cha Fareed Zakaria, columnist wa Washington Post na mtangazaji wa a CNN weeekly show, kitabu kinaitwa "The Post American World" utaona kaandika vizuri hili. Ona wiki page hapa
The Post-American World - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Pia, ndani ya Marekani kwenyewe, "wazungu" wanapoteza nguvu yao kama majority, sasa hivi watu walioitwa "ethnic minorities" kama weusi na Hispanics wanatarajiwa kuzidi watu weupe katika miongo michache ijayo.
Masuala kama uhamiaji na trade tariffs, ambayo watu wengi hawayajui vizuri, yanamfanya Trump aonekane ndiye mtu sahihi. Kwa sababu anafikiri kizamani na anatoa sound bites ambazo watu wengi wanazifurahia.
Kuna mambo mengi sana, lakini, hii si vita ya Trump na wanasiasa wapinzani wake. Trump ana wafuasi wengi sana wanaomuunga mkono. Ndiyo maana anapata kichwa na kusema anaweza kumpiga mtu risasi katikati ya New York City, halafu wafuasi wake wakaendelea kumuunga mkono. Sasa rais gani anasema maneno kama hayo?
Kuna watu walikuwa wanafanya kazi kwenye viwanda, wamepoteza kazi zao, kwa sababu imekuwa rahisi kutengeneza vitu China. Wafanyakazi wa Marekani tuna gharama sana. Nilikuwa nasoma jana jinsi raia wa Uingereza walivyokuwa wanashangaa kuona gharama za huduma za afya Marekani. Zamani watu walikuwa wanaweza kusima mpaka sekindari tu, bika kwenda chuo, halafu wakapata kazi za "blue collar", kazi zisizohitaji usomi sana hususan za viwandani, halafu wakalipwa vizuri tu. Mfani ni viwanda vya magari vilivyokuwa Detroit. Siku hizi hakuna, moaka Detroit umekuwa ni mji wenye nyumba zisizo na watu. Kuna sehemu unaweza kununua nyumba kwa USD 1. Dola moja. Watu wamekimbia. Detroit Motown palitingusha dunia, no more.
Pia, kijamii kuna watu wa red states (majimbo ya wahafidhina) hawapendi nchi inavyoendeshwa na watu wa blue states (majimbo ya waliberali). Kwenye mambo kama kuruhusu ushoga, kujiingiza sana katika mambo ya nje, kuruhusu mashirika ya kimataifa kama UN kuingikia nguvu za Marekani etc. Haya mambo mengine yamekuwapi miaka mingi sana. Hili ka UN kwa mfano lipo tangu UN inaanzishwa. Rais Woodrow Wilson alipata upinzani sana kuhusu kuanzishwa kwa League if Nations, a predecessor of the UN.
Trump mwenyewe naye kichaa. Yani kabla hajamaliza scandal moja, anajianzishia nyingine. Wakati watu wanasoma Mueller Report, wanakuja kukuta kumbe alikuwa anamlazimisha rais mpya wa Ukraine amshurumu mtoto wa mpinzani wake, Makamu wa Rais aliyepita, Joe Biden.
Wakati watu wanagundua alitaka kutumia msaada wa dola za Kimarekani milioni 400 kwa Ukraine kumlazimisha rais wa Ukraine kumshutumu mtoto wa Biden, Trump anaenda kwenye TV na kuitaka China imchunguze Biden, kitu ambacho ni kinyume cha maadili ya uongozi, kwa sababu anataka nchi ya nje iingikie uchaguzi wa Marekani.
Habebeki. Hata mtu angetaka kumezea mambo ya Mueller report, anakuja na scandal mpya kila siku. Na watetezi wake wanamtetea. Kwa sababu hawajali mambo kwa mantiki ya kupima kwa kina, wanakwenda kwa husia na kuona huyu ndiye mtu wetu wa kurmturudishia viwanda.
To "Make America Great Again".
Even as the cost of production of manufactured goods in America is ridiculously unrealistic.
Kwa hiyo, Trump ni kichaa na anastahili yote yanayompata. In fact hakustahili kuwa rais.
Lakini, anapewa kichwa na Wamarekani wengi sana wanaoona anachofanya ni sawa.
Sasa mtu sahihi wa kupambana na China halafu na yeye kawekeza China, hapo inakuwaje?Mimi naona Trump kaja muda sahihi kusaidia baadhi ya mambo ya USA, na sioni kama kuna mtu wa Democrat wa kumshinda katika uchaguzi wa 2020, Waafidhina wanaona ndo mtu sahihi wa kupambana na China, lakini kinachomshinda katika mapambano na Uchina ni Matajiri wenzie na hata yeye kawekeza China kwahiyo vita inakuwa ngumu kuishinda, kwa upande wa Urusi naiona ikiimeza Ulaya haswa kwa kuizuia gesi na rasilimali zingine ambazo wanazihitaji EU. Trump alichoepuka ni vita ambayo ingeshusha hadhi ya uchumi wa USA pamoja na Saudia kujifanya atafadhili lakini Trump katumia busara sana kutopigana na Iran.
Kuna tatizo la kufikiri mtu mmoja ndiye ana matatizo.
Nitatoa mfano. Nilikuwa nashangaa sana imekuwaje nchi iliyokuwa na wasomi wengi na maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia kama Ujerumani ( wasomi wengi walioendeleza sayansi Marekani, kina Einstein, walitoka Ujerumani) iliweza kupumbazwa na kushikiwa akili na mtu mmoja aliyeitwa Adolf Hitler.
Baada ya kusoma vitabu kama "The Rise and Fall of The Third Reich: A History of Nazi Germany" cha William Shirer na "The Origins of the Final Solution: The Evolution of Nazi Jewish Policy, September 1939-March 1942"
cha Christopher Browning, nikagundua kwamba, Hitler hakuwahadaa Wajerumani, Wajerumani ndio waliomtengeneza Hitler. Kulikuwa na watu wabaguzi wengi tu katika jamii ya Ujerumani tangu kabla ya enzi za Chancellor Bismark.
Kwa nini natoa mfano huu?
Jamii ya Kimarekani imegawanyika.
Marekani imepunguza ushawishi wake kimataifa kwa sababu nchi nyingine zinaibuka kiuchumi na kutoitegemea sana Marekani. Ukisoma kitabu cha Fareed Zakaria, columnist wa Washington Post na mtangazaji wa a CNN weeekly show, kitabu kinaitwa "The Post American World" utaona kaandika vizuri hili. Ona wiki page hapa
The Post-American World - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Pia, ndani ya Marekani kwenyewe, "wazungu" wanapoteza nguvu yao kama majority, sasa hivi watu walioitwa "ethnic minorities" kama weusi na Hispanics wanatarajiwa kuzidi watu weupe katika miongo michache ijayo.
Masuala kama uhamiaji na trade tariffs, ambayo watu wengi hawayajui vizuri, yanamfanya Trump aonekane ndiye mtu sahihi. Kwa sababu anafikiri kizamani na anatoa sound bites ambazo watu wengi wanazifurahia.
Kuna mambo mengi sana, lakini, hii si vita ya Trump na wanasiasa wapinzani wake. Trump ana wafuasi wengi sana wanaomuunga mkono. Ndiyo maana anapata kichwa na kusema anaweza kumpiga mtu risasi katikati ya New York City, halafu wafuasi wake wakaendelea kumuunga mkono. Sasa rais gani anasema maneno kama hayo?
Kuna watu walikuwa wanafanya kazi kwenye viwanda, wamepoteza kazi zao, kwa sababu imekuwa rahisi kutengeneza vitu China. Wafanyakazi wa Marekani tuna gharama sana. Nilikuwa nasoma jana jinsi raia wa Uingereza walivyokuwa wanashangaa kuona gharama za huduma za afya Marekani. Zamani watu walikuwa wanaweza kusima mpaka sekindari tu, bika kwenda chuo, halafu wakapata kazi za "blue collar", kazi zisizohitaji usomi sana hususan za viwandani, halafu wakalipwa vizuri tu. Mfani ni viwanda vya magari vilivyokuwa Detroit. Siku hizi hakuna, moaka Detroit umekuwa ni mji wenye nyumba zisizo na watu. Kuna sehemu unaweza kununua nyumba kwa USD 1. Dola moja. Watu wamekimbia. Detroit Motown palitingusha dunia, no more.
Pia, kijamii kuna watu wa red states (majimbo ya wahafidhina) hawapendi nchi inavyoendeshwa na watu wa blue states (majimbo ya waliberali). Kwenye mambo kama kuruhusu ushoga, kujiingiza sana katika mambo ya nje, kuruhusu mashirika ya kimataifa kama UN kuingikia nguvu za Marekani etc. Haya mambo mengine yamekuwapi miaka mingi sana. Hili ka UN kwa mfano lipo tangu UN inaanzishwa. Rais Woodrow Wilson alipata upinzani sana kuhusu kuanzishwa kwa League if Nations, a predecessor of the UN.
Trump mwenyewe naye kichaa. Yani kabla hajamaliza scandal moja, anajianzishia nyingine. Wakati watu wanasoma Mueller Report, wanakuja kukuta kumbe alikuwa anamlazimisha rais mpya wa Ukraine amshurumu mtoto wa mpinzani wake, Makamu wa Rais aliyepita, Joe Biden.
Wakati watu wanagundua alitaka kutumia msaada wa dola za Kimarekani milioni 400 kwa Ukraine kumlazimisha rais wa Ukraine kumshutumu mtoto wa Biden, Trump anaenda kwenye TV na kuitaka China imchunguze Biden, kitu ambacho ni kinyume cha maadili ya uongozi, kwa sababu anataka nchi ya nje iingikie uchaguzi wa Marekani.
Habebeki. Hata mtu angetaka kumezea mambo ya Mueller report, anakuja na scandal mpya kila siku. Na watetezi wake wanamtetea. Kwa sababu hawajali mambo kwa mantiki ya kupima kwa kina, wanakwenda kwa husia na kuona huyu ndiye mtu wetu wa kurmturudishia viwanda.
To "Make America Great Again".
Even as the cost of production of manufactured goods in America is ridiculously unrealistic.
Kwa hiyo, Trump ni kichaa na anastahili yote yanayompata. In fact hakustahili kuwa rais.
Lakini, anapewa kichwa na Wamarekani wengi sana wanaoona anachofanya ni sawa.
Mimi naona Trump kaja muda sahihi kusaidia baadhi ya mambo ya USA, na sioni kama kuna mtu wa Democrat wa kumshinda katika uchaguzi wa 2020, Waafidhina wanaona ndo mtu sahihi wa kupambana na China, lakini kinachomshinda katika mapambano na Uchina ni Matajiri wenzie na hata yeye kawekeza China kwahiyo vita inakuwa ngumu kuishinda, kwa upande wa Urusi naiona ikiimeza Ulaya haswa kwa kuizuia gesi na rasilimali zingine ambazo wanazihitaji EU. Trump alichoepuka ni vita ambayo ingeshusha hadhi ya uchumi wa USA pamoja na Saudia kujifanya atafadhili lakini Trump katumia busara sana kutopigana na Iran.
Nyie wenyewe mnaomshangalia mko tayari kufanya kazi za shuruba kama wachina?Sasa mtu sahihi wa kupambana na China halafu na yeye kawekeza China, hapo inakuwaje?
Trump anafanya vita kisiasa tu. Anajua kwamba, hawezi kurudisha manufacturing Marekani.
Marekani gharama za bima ya afya za mwezi mmoja tu zinaweza kulipa mshahara wa Mchina kwa mwaka mzima.
Sasa hapo utashindanaje na Mchina?