Jitihada za wanasayansi kufika mbingu ya 3{peponi}

Jitihada za wanasayansi kufika mbingu ya 3{peponi}

simba songea

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2016
Posts
1,496
Reaction score
1,219
Habari wana jamvi, ni kitambo kidogo hatujaonaa humu jamvini. Nafikiri wotw wazima wa afya. Bila kuwaste timetuanze mada yetu hapo chini.

Mungu alipoumba Dunia aliumba kwa makusudi yake na lengo lake. Kuna baadhi ya vitu aliviwekea mipaka na baadhi aliruhusu, mimi nawe hatujui kama sayansi yetu inaweza kutupeleka mbinguni au peponi bila kufa? Yaaninamaanisha kwa kutumia sayansi za kina isaac newton na wengine wengi.

Peponi au mbinguni kuna uzuri usioweza kufananishwa. Tukifahamu jinsi mbinguni kulivyo kuzuri. kila mmoja wetu atakuwa na shauku ya kufika huko siku moja. Mpendwa msomaji tufatane basi ili upate ufahamu wa kutosha kuhusu mbinguni au peponi au mbingu ya tatu. Kunawimbo mmoja wa kiinjili unaimbwa, "MBINGUNI KUNA MAKAO MAZURI SANA, MBINGUNIKUNA MAKAO MAZURI SANA......." Ebu tutiririke tujua kinachoimbwa.

Mbinguni au peponi ni juu sana ni mbingu ya tatu. Bibli inasema 2wakirinto 12:2-4, "Namjua mtu mmoja katika KRISTO,.....Mtu huyo alinyakulwa mpaka juu mbingu ya tatu. Nami namjua mtu huyo,.....ya kuwa alinyakuliwa mpaka peponi......." Mbingu ya tatu ni wapi? Mbingu ya kwanza ni hii iliyo na maingu yanayoleta mvua. Ni anga hili lililo juu sana ambalo linaonekana kwa macho ya kawaida. Ndege zote zinazobeba abiria uruka katika mbingu ya kwanza

Mbingu ya pili ni mbingu iliyo mbali zaidi yenye sayari na nyota zote. sayari zilizo katika mbingu ya 2 ni pamoja na zebaki zuhura marsmshtani zahali uranus nptune na pluto. Sayari nyingine ziko mbali sana. Kwa mfano, Umbali wa Dunia yetu kutoka katika jua ni maili 93 mil [km 148, 800, 00], lakini umbali wa sayari ya pluto kutoka katika jua ni maili 3, 666 milioni[5900 milioni km]. Nyota ziko nyingi sana zina kisiwa kufika bilioni 400. Nyota ziko mbali sana na Dunia yetu. Nyota iliyo karibu sana na Dunia yetu, iko karbu maili 26 000 bilioni[karibu kilomita 42,000 bilioni]. Sasa baada ya sari zote na nyota hizi, ndiyo tunafika mbingu ya tatu au peponi. Kwa msingi huu ni kilomta mabilioni kwa mabilioni kutoka hapa Duniani ndo tufike mbingu ya tatu au peponi. Yesu Kristo alipopokelewa na mawingu na kupaa kwenda juu mbinguni [MATENDO 1:9-11], alikwenda mbali sana kiasi hiki. HUKO NDIKO waliko watakatifu waliotangulia.

Wapendwa utandawazi unazidi kukua yaani matumizi makuba ya teknolojia yanashika kasi. Athari za utandawazi ni pamoja na wanasayansi kufika mbingu ya tatu/peponi, ikiwa waliweza kufika mbingu ya kwanza na ya pili je ya 3 wataweza? me ngoja niishie hapo nitaleta tena muendelezo wa mada hii;

mbingunikukoje?
mbingun au peponi ni kilometa ngapi kufika?
je, marehemu utumia chombo gani kufika mbinguni?

mada zote hapo nitaziletea muendelezo kidogo kidogo ka kutumia ;BIBLIA TAKATIFU;
 
Aisee! Ndugu mleta uzi, Good morning sir! Kabla sijachangia nami kidogo, naomba majibu kwa haya machache:-
1. Mbinguni ni wapi? na mbingu ni nini?​
2.Apart from Biblical perspectives, je wewe unaamini kuwa mbingu ipo?​
3. Je kuna ushahidi gani kuwa kuna mbingu?​
Logic: Je nikisema kuwa mbingu ni comfort zone inayotengenezwa na hisia za mwanadamu katika kujifariji na kukabiliana na changamoto zake hapa duniani akiamini kuwa huenda akiondoka hapa Duniani ataenda mbinguni ambapo hatakumbana na shida alizonazo? Am I right?
 
tukiongelea mbinguni kwanza lazima tufahamu dunia ni kitu gani kiuhalisia,,mimi naamini dunia ndio ulimwengu mzima,sio duara hazunguki wala kuruka, hakuna kitu nje ya dunia,jua,mwezi,nyota na sayari zote vyote vipo ndani ya dunia hii na sio nje au outter space,wala havipo mbali.

jua halipo mamilioni ya miles ila lipo juu tu hapo kama tunavyoliona na mwezi pia upo juu tu hapo na nyota zote zipo karibu tu kama tunavyoona,sisi kama binaadamu macho yetu hayana uwezo wa kuona nyote zizlizo trillion 25 miles,nyota mwezi na jua tunaviona kwa macho yetu kwa sababu vipo karibu sana.
nje ya dunia hakuna universe wala hakuna outterspace na inawezekana kuwa hii dunia ndio haina mwisho na sio duara bali ni kama infinity realm (ulimwengu) wala haina motion yeyote na sayari zote zipo juu kama lilivyo jua, mwezi na nyota vinaizunguka ardhi kila siku.
jaribu kulitazama jua au mwezi kisha uone kama vipo nje ya wingu la buluu au vipo ndani.

turudi kwenye mada ya mbinguni,mimi kwa mtazamo wangu neno mbinguni linamaanisha realm na sio ukanda wa juu ya ardhi ya dunia,kwa hio kama kuna peponi itakuwa ni realm(ulimwengu) tafauti na hii na sio kupaa juu tu bali ni kwenda katika relm nyengine tafauti na hii tulipo,kwa maana hio wanasayansi hawataweza kutoka nje ya dunia na hawataweze kufika ulimwengu nje ya hii dunia,kama unafatilia report za wanasayansi wanasema kuwa mpaka sasa wana uwezo wa kuruka na kufika kwenye low earth orbit,low earth orbit ni kama 1200 miles kutoka ardhini,hawana uwezo wa kutoka nje ya hapo mpaka leo hii
nami ntaishia hapa
by the way- nimekwenda shule na kumaliza elimu ya juu,imani yangu ya kuwa kinyume na science ni kwa sababu mpaka leo hakuna proof ya outter space wala motion ya dunia wala gravity,hamna proof yeyote ni imani tu.
 
Last edited:
Na mbingu ya 7 iko wapi?
hakuna uthibitisho wowote unaosema kuna mbingu ya saba.....lakini hata kama ipo basi dah! huko watakuwa wanaishi watenda miujiza tu maana siupatii picha umbali wake....
 
tukiongelea mbinguni kwanza lazima tufahamu dunia ni kitu gani kiuhalisia,,mimi naamini dunia ndio ulimwengu mzima,sio duara hazunguki wala kuruka, hakuna kitu nje ya dunia,jua,mwezi,nyota na sayari zote vyote vipo ndani ya dunia hii na sio nje au outter space,wala havipo mbali.

jua halipo mamilioni ya miles ila lipo juu tu hapo kama tunavyoliona na mwezi pia upo juu tu hapo na nyota zote zipo karibu tu kama tunavyoona,sisi kama binaadamu macho yetu hayana uwezo wa kuona nyote zizlizo trillion 25 miles,nyota mwezi na jua tunaviona kwa macho yetu kwa sababu vipo karibu sana.
nje ya dunia hakuna universe wala hakuna outterspace na inawezekana kuwa hii dunia ndio haina mwisho na sio duara bali ni kama infinity realm (ulimwengu) wala haina motion yeyote na sayari zote zipo juu kama lilivyo jua, mwezi na nyota vinaizunguka ardhi kila siku.
jaribu kulitazama jua au mwezi kisha uone kama vipo nje ya wingu la buluu au vipo ndani.

turudi kwenye mada ya mbinguni,mimi kwa mtazamo wangu neno mbinguni linamaanisha realm na sio ukanda wa juu ya ardhi ya dunia,kwa hio kama kuna peponi itakuwa ni realm(ulimwengu) tafauti na hii na sio kupaa juu tu bali ni kwenda katika relm nyengine tafauti na hii tulipo,kwa maana hio wanasayansi hawataweza kutoka nje ya dunia na hawataweze kufika ulimwengu nje ya hii dunia,kama unafatilia report za wanasayansi wanasema kuwa mpaka sasa wana uwezo wa kuruka na kufika kwenye low earth orbit,low earth orbit ni kama 1200 miles kutoka ardhini,hawana uwezo wa kutoka nje ya hapo mpaka leo hii
nami ntaishia hapa
by the way- nimekwenda shule na kumaliza elimu ya juu,imani yangu ya kuwa kinyume na science ni kwa sababu mpaka leo hakuna proof ya outter space wala motion ya dunia wala gravity,hamna proof yeyote ni imani tu.
mkuu fanya tafiti lakini kama ungeuliza swali ningekujibu
 
tukiongelea mbinguni kwanza lazima tufahamu dunia ni kitu gani kiuhalisia,,mimi naamini dunia ndio ulimwengu mzima,sio duara hazunguki wala kuruka, hakuna kitu nje ya dunia,jua,mwezi,nyota na sayari zote vyote vipo ndani ya dunia hii na sio nje au outter space,wala havipo mbali.

jua halipo mamilioni ya miles ila lipo juu tu hapo kama tunavyoliona na mwezi pia upo juu tu hapo na nyota zote zipo karibu tu kama tunavyoona,sisi kama binaadamu macho yetu hayana uwezo wa kuona nyote zizlizo trillion 25 miles,nyota mwezi na jua tunaviona kwa macho yetu kwa sababu vipo karibu sana.
nje ya dunia hakuna universe wala hakuna outterspace na inawezekana kuwa hii dunia ndio haina mwisho na sio duara bali ni kama infinity realm (ulimwengu) wala haina motion yeyote na sayari zote zipo juu kama lilivyo jua, mwezi na nyota vinaizunguka ardhi kila siku.
jaribu kulitazama jua au mwezi kisha uone kama vipo nje ya wingu la buluu au vipo ndani.

turudi kwenye mada ya mbinguni,mimi kwa mtazamo wangu neno mbinguni linamaanisha realm na sio ukanda wa juu ya ardhi ya dunia,kwa hio kama kuna peponi itakuwa ni realm(ulimwengu) tafauti na hii na sio kupaa juu tu bali ni kwenda katika relm nyengine tafauti na hii tulipo,kwa maana hio wanasayansi hawataweza kutoka nje ya dunia na hawataweze kufika ulimwengu nje ya hii dunia,kama unafatilia report za wanasayansi wanasema kuwa mpaka sasa wana uwezo wa kuruka na kufika kwenye low earth orbit,low earth orbit ni kama 1200 miles kutoka ardhini,hawana uwezo wa kutoka nje ya hapo mpaka leo hii
nami ntaishia hapa
by the way- nimekwenda shule na kumaliza elimu ya juu,imani yangu ya kuwa kinyume na science ni kwa sababu mpaka leo hakuna proof ya outter space wala motion ya dunia wala gravity,hamna proof yeyote ni imani tu.
Sasa ule ubluu nikiangalia juu angani ni kitu gani
 
Aisee! Ndugu mleta uzi, Good morning sir! Kabla sijachangia nami kidogo, naomba majibu kwa haya machache:-
1. Mbinguni ni wapi? na mbingu ni nini?​
2.Apart from Biblical perspectives, je wewe unaamini kuwa mbingu ipo?​
3. Je kuna ushahidi gani kuwa kuna mbingu?​
Logic: Je nikisema kuwa mbingu ni comfort zone inayotengenezwa na hisia za mwanadamu katika kujifariji na kukabiliana na changamoto zake hapa duniani akiamini kuwa huenda akiondoka hapa Duniani ataenda mbinguni ambapo hatakumbana na shida alizonazo? Am I right?

mkuu nitajibu swali la 3. na hiyo Logic yako...maswali mengine nitayaletea topic kama nilivyosema.

nianze na la 3. [Ufunuo 7: 9] inatuambia kwamba kutakuwa na "umati mkubwa mbinguni ambao hakuna mtu anayeweza kuhesabu" [MARKO 16:19] Yesu alipokwisha kuwaambia maneno haya, alichukuliwa juu mbinguni, akaketi upande wa kulia wa Mungu.

USHAHIDI WA WANASAYANSI KUNA MBINGU;
NASA/JPL/MALIN SPACE SCIENCE SYSTEMS "Pengine huenda sio ziwa kubwa sana , alisema Profesa Orosei kutoka taasisi ya maswala ya angani inayohusika na asili ya nyota na viumbe vyengine vilivyopo mbinguni', alimbaye ndiye aliyeongoza utafiti huo uwepo wa ziwa sayari ya mars.
 
Last edited:
Yaani unavyoongea kwa msisitizo utafikiri ni vitu vipo kweli [emoji23][emoji23]

Dini ndio kilevi kibaya kabisa kuwahi kutokea ulimwenguni!
Tena dini ni moja kati ya dawa za kulevya mbaya kabisa ulimwengu
 
mkuu nitajibu swali la 3. na hiyo Logic yako...maswali mengine nitayaletea topic kama nilivyosema.

nianze na la 3. [Ufunuo 7: 9] inatuambia kwamba kutakuwa na "umati mkubwa mbinguni ambao hakuna mtu anayeweza kuhesabu" [MARKO 16:19] Yesu alipokwisha kuwaambia maneno haya, alichukuliwa juu mbinguni, akaketi upande wa kulia wa Mungu.

USHAHIDI WA WANASAYANSI KUNA MBINGU;
NASA/JPL/MALIN SPACE SCIENCE SYSTEMS "Pengine huenda sio ziwa kubwa sana , alisema Profesa Orosei kutoka taasisi ya maswala ya angani inayohusika na asili ya nyota na viumbe vyengine vilivyopo mbinguni', alimbaye ndiye aliyeongoza utafiti huo uwepo wa ziwa sayari ya mars.
Mkuu, asante kwa mrejesho ingawa umejibu kinyume chake na shallow to some extent. Rejea swali langu na rudia kusoma majibu yake uliyotoa..! Umejaribu ku-cite maandiko ya Biblia but think this way, kuna watu hawaamini kwenye dini na wao huwamini kwenye sayansi or Mizimu.
 
hakuna uthibitisho wowote unaosema kuna mbingu ya saba.....lakini hata kama ipo basi dah! huko watakuwa wanaishi watenda miujiza tu maana siupatii picha umbali wake....
huo uthibitisho wa mbigu ya 3 umeupata wapi ss, kama sio nadharia yako tu
 
tukiongelea mbinguni kwanza lazima tufahamu dunia ni kitu gani kiuhalisia,,mimi naamini dunia ndio ulimwengu mzima,sio duara hazunguki wala kuruka, hakuna kitu nje ya dunia,jua,mwezi,nyota na sayari zote vyote vipo ndani ya dunia hii na sio nje au outter space,wala havipo mbali.

jua halipo mamilioni ya miles ila lipo juu tu hapo kama tunavyoliona na mwezi pia upo juu tu hapo na nyota zote zipo karibu tu kama tunavyoona,sisi kama binaadamu macho yetu hayana uwezo wa kuona nyote zizlizo trillion 25 miles,nyota mwezi na jua tunaviona kwa macho yetu kwa sababu vipo karibu sana.
nje ya dunia hakuna universe wala hakuna outterspace na inawezekana kuwa hii dunia ndio haina mwisho na sio duara bali ni kama infinity realm (ulimwengu) wala haina motion yeyote na sayari zote zipo juu kama lilivyo jua, mwezi na nyota vinaizunguka ardhi kila siku.
jaribu kulitazama jua au mwezi kisha uone kama vipo nje ya wingu la buluu au vipo ndani.

turudi kwenye mada ya mbinguni,mimi kwa mtazamo wangu neno mbinguni linamaanisha realm na sio ukanda wa juu ya ardhi ya dunia,kwa hio kama kuna peponi itakuwa ni realm(ulimwengu) tafauti na hii na sio kupaa juu tu bali ni kwenda katika relm nyengine tafauti na hii tulipo,kwa maana hio wanasayansi hawataweza kutoka nje ya dunia na hawataweze kufika ulimwengu nje ya hii dunia,kama unafatilia report za wanasayansi wanasema kuwa mpaka sasa wana uwezo wa kuruka na kufika kwenye low earth orbit,low earth orbit ni kama 1200 miles kutoka ardhini,hawana uwezo wa kutoka nje ya hapo mpaka leo hii
nami ntaishia hapa
by the way- nimekwenda shule na kumaliza elimu ya juu,imani yangu ya kuwa kinyume na science ni kwa sababu mpaka leo hakuna proof ya outter space wala motion ya dunia wala gravity,hamna proof yeyote ni imani tu.
Aiseee!!!!
 
Aisee! Ndugu mleta uzi, Good morning sir! Kabla sijachangia nami kidogo, naomba majibu kwa haya machache:-
1. Mbinguni ni wapi? na mbingu ni nini?​
2.Apart from Biblical perspectives, je wewe unaamini kuwa mbingu ipo?​
3. Je kuna ushahidi gani kuwa kuna mbingu?​
Logic: Je nikisema kuwa mbingu ni comfort zone inayotengenezwa na hisia za mwanadamu katika kujifariji na kukabiliana na changamoto zake hapa duniani akiamini kuwa huenda akiondoka hapa Duniani ataenda mbinguni ambapo hatakumbana na shida alizonazo? Am I right?
Unajua ni kawaida ya binadamu anapokosa majibu, kujitafutia chakumfariji.

Kubashiri kuhusu mbinguni, kunasababishwa na ukomo wa mashuhudio ya binadamu juu ya uwezo wetu wa kuona au kugundua sehemu zingine ambazo zinaweza zikaweko huko kwenye anga.

Hata mwandishi huyu aliyeandika huo uzi wake, anaongelea uzuri tu ulioelwzwa kwenye maandiko, ambayo ni mara nyungi yamekuwa yakitafsiriwa ndivyo sivyo na binadamu kwa wakati mwingine, kulingana na imani na misingi waliyoiweka katika imani yao.
 
Back
Top Bottom