Habari ya mchana ndugu mpendwa mfuatiliaji wa makala zetu mablimbali zenye kukupa ufahamu juu ya maradhi mbalimbali yanayoizunguka jamii yetu,iwe ni maradhi yanayotokana na nmazingira...
SOCRATES
Wengi tumemsikia au kumsoma Socates kwenye elimu,falsafa,kwenye saikolojia ,siasa na fasihi lakini ni wachache ambao waliamua kwenda ndani Zaidi kumwangalia huyu Socrates ni nani. Huyu...
Hodi humu, nimetoroka MMU kidogo nipate ufafanuzi...
Jana nilioangalia tukio la uwanja wa ndege ukifunguliwa rasmi na mkuu wa nchi. Mambo mengi yalitukia pale Ila naombeni mnifafanulie kitu...
Kuna baadhi ya watu huaminisha watu kuwa dini yao ni ya kweli na bila hiyo dini huwezi ona mbingu na ukiangalia dini na watu cha kwanza ni watu na dini zilikuja kwa baadae sasa je waliokufa...
Mlinzi wa Rais wa Tanzania huwa anachaguliwa na rais mwenyewe au kuna utaratibu mwingine unatumika kumpata?
Je, Mlinzi huyu anakuwa na likizo? Kama hana likizo, Je, Anapataje muda wa kujamiiana...
As-salaam alaykum, Amani iwe nanyi.
Leo ninawaletea picha za video na picha mnato kuhusu namna wanawake wanavyojihusisha katika majeshi ya ulinzi na usalama.
Nitajikita hapa Afrika mashariki...
Habari zenu wakuu kuna hali huwa inanitokea ya kufananishwa na watu tofauti tofaut wengine nawafaham na nisio wafaham, nimeona nije nishee hapa pengine kuna jambo ila mi ndo silijui,
Nitaweka...
Naandika huu Uzi kwa majonzi baada ya kuona dada zetu wakichukuliwa nchi za Afrika kama Tanzania Kenya Uganda Sudan etc. Na kuchukuliwa wakipelekwa nchi mbalimbali wakiahidiwa kazi na makazi na...
Kanisa la Sabato mwanzilishi mwanamke. Vitabu wanavyotumia vya huyo mwanamke Helen White. Kwa nini hawawapi uchungaji wanawake? Wakati huyo Mama White ndie mhimili wa imani ya kisabato?
Wakuu kuna usafiri wa aina kadhaa ktk Dunia yetu,kama nilivyotaja hapo juu. Kuna wakati majira ya mvua nyingi na kali ukiwa kwenye gari huwa hata wiper zinashindwa kufuta kioo vizuri na...
Habari za mida wakuu...
Ni muda sasa tangu mabishano juu ya uwepo wa mungu kuzuka humu ndani na kutokea kwa makundi moja linaamini juu ya uwepo wa kiumbe huyo... Na lingne halisadiki hamadani...
KUZALIWA NA KUFA KWA CIA WA ZAMANI WA MAREKANI SADDAM HUSSEIN
-Mwaka 1959 Sadam Hussein alielekea Misri baada ya kushindwa mapinduzi ya kumuondoa rais General Qassim.
-A lipokuwa Cairo Misri...
Naileta hii hoja, ntatoa ujuzi wangu nilionao juu ya hizi Binaural beats, kwa wenye ujuzi zaidi wanaweza kuchangia, criticizing pia inaruhusiwa, ni kwa ajili ya watu kujifunza na kuweza kufikia...
Sasa naweza amini kuwani kweli mtu mweusi yawezekana akawa ana mchango ama ndo chimbuko la usraarabu Duniani.
Nimestaajabu katka pitapita yangu katika kujisomea makala nikakuta kuna wachina...
Idara ya uhamiaji katika taarifa ya habari ya TBC 1 usiku huu wamekiri kwamba kuna wahamiaji haramu kibao nchini wasio na vibali na wamewaomba wananchi kusaidia kuwataja.
Kilichonishangaza, mie...
Henry Kissinger (Political scientist, Diplomat, pia aliwahi kuwa secretary of States) now ni mmoja wa wanaochochea sana New World Order (au Anglo-American Order kama mchambuzi mmoja anavyoiweka)...
SADC yamuonya Kagame kuhusu mipango yake ya kuivamia Tanzania baada ya kuomba msaada wa kijeshi toka Kenya na Uganda
MZOZO wa kidiplomasia alioibua Rais wa Rwanda, Paul Kagame kwa...
NI KWA NINI TUNAAMINI KUWA MUNGU YUPO ? ? ?
TAFSIRI : Mungu ni kitu au uwezo aidha hakionekani chenye uwezo mkubwa sana kuliko wa binadamu wa kawaida katika matendo na matokeo...
Tangu lini tumekuwa tukisikia kuwa wanyarwanda wengi wamejaa kwenye secta muhimu hapa nchini? jeshini, secta muhimu hadi ikulu?
huyu mwanajeshi aliyetorokea Rwanda ni fundisho tosha, ndio maana...
Imeandaliwa na John Haule wa Rumours Africa
Ndugu msomaji, Leo nitazungumzia aina za viganja. Unajua, unaweza ukamjua mtu mwenye tabia ya udokozi kwa kumwangalia tu viganja vyake? Leo naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.