Mahusiano yetu na Mungu yanaimarika kwa sala na mahusiano yetu na Mungu yanakatika kwa uvivu wa sala
Hakuna kitu muhimu kwa binadamu kama sala au maombi kwa Mungu mkuu
Shetani ana majina mengi...
Je Karma ni kitu halisi kinachotenda kazi?
Kama karma ipo kwa nini watu wadhulumaji na watesaji wanaosababisha tabu, mateso na adha kwa wengine iwe katika siasa, dini,kazi,biashara n.k huwa...
Naomba elimu hapa, je snipers ni lazima awe na mafunzo ya ukomando?
Au kila komando lazima awe ni sniper?
Au sniper Ni taaluma nyingine na ukomando Ni taaluma nyingine?
Elimu tafadhari.
Hapo ndipo dunia ilipo ikilinganishwa na jua.
Na hapa ndio tulipo kama ukiwa umesimama kwenye sayari ya MARS
Naam na huu ndio muonekano wetu ukiwa katika sayari ya NEPTUNE
Na huu ndio ukubwa wa...
Wote tunatambua kuwa Nyota ni kubwa.
Maradufu ya dunia, swali langu ni itakuwa vipi siku Nyota ikikosa uelekeo na kuja upande wetu? Je, ikiwa inaanguka itakuwa ikiteketea kama kimondo? Na kuna...
Heko kwenu wadau wa kudadisi,
Nimekuwa nikisoma biblia mara nyingi sana maana ni chakula changu kizuri sana, Hivi karibuni katika kusoma nikatafakari sana kuhusu kitabu cha zaburi hasa katika...
Ndoto hutengenezwa na Mungu kama vile tamthilia ndiyo maana unaweza kuota ndani ya usiku moja matukio yote ukiwa darasa la kwanza na umbo na umri ukiwa mdogo, ukafaulu na kuingia sekondari umbo na...
Vitabu mbalimbali vya kirusi vinaelezea kuwa muisraeli asilia ni mtu mweusi, Vitabu hivi vinaambatanisha na picha za manabii mbalimbali wanaotajwa katika dini ya Kikristo na katika historia ya...
Yaonyesha tunatoka chini kwenda juu ni mabadiliko ya mwanadamu ktk ugunduzi
Toka kwenye ugunduzi wa moto mpaka umeme,matumizi ya mawe mpaka chuma,ugunduzi wa mambo ya anga sayari n.k,toka...
Habari zenu wanajamvi,
Binafsi nimekuwa nikiwaona wazazi wengi wakiwachapa bakora watoto wao kama njia ya kuwatia nidhamu na nimekuwa nikisikitishwa sana na hii tabia kwani binafsi siamini kama...
Hello wanajamvi, nimekuwa mfuatiliaji na mchangiaji mkubwa wa makala nyingi zinazoletwa na wanajamii forums hasa katika topics za kuhusu Mungu, uumbaji, dini na kadhalika.
Kumekuwa na michango...
Huu ni mpango wa maelite wa Dunia wa siku nyingi sana kuunganisha Dunia nzima chini ya utawala wa wachache yaani itaitwa One World Government na ndiyo hasa lengo la kuanzisha Umoja wa Mataifa UN...
I have been asking myself for quite a longtime what is time?.....but I have not got a satisfactory answer....... all the answerd I have got I don't understand them.....time is an interval between...
NB: PLEASE USIIBE MAKALA YOYOTE YA INFANTRY SOLDIER KATIKA MITANDAO YA FACEBOOK PAMOJA NA WHATSAPP
KIFO CHA GENERAL QASEM SOLEIMAN NI MPANGO WA DONALD JOHN TRUMP KUJIKINGA NA MCHAKATO WA KUPIGIWA...
Uwezo wa Ubongo wa Binadamu katika kuhifadhi kumbukumbu ukubwa wake ni 2.5 pentabytes
UKUBWA HUU NI SAWA na KUREKODI VIPINDI VYA TELEVISHENI KWA ZAIDI YA MIAKA 300, hapa namaanisha ni sawa na wewe...
Hi Guys!
Wengi tunamfahamu Albert Einstein kwamba alikuwa scientist na hakuishia kuwa scientist tu pia alikuwa ni genius na smart sana. Alifanya mambo makubwa katika field yake na aligundua...
1. Miaka mingi imepita bado waafrika tunapambana na mambo madogo...kuthibitisha Yesu alikuwa Mwafrika
2. Miaka mingi imepita bado waafrika tunapambana kuthibitisha Waisraeli wa asili ni Weusi
3...
Naamini mko poa,kumekuwa na juhudi za mataifa mengi yaliyoendelea kisayansi na kiteknolojia za kuchunguza na kufatilia mambo ya anga za mbali ili pamoja na mambo mengine,lakini kubwa kuliko yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.