Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,911
Habari za mida hii!
Hii kitu huwa naiyona sana hasa usiku nikiwa nataka kulala kama kuna kigiza flani huwa naona kama nikisugua shuka au hata neti naona kuna miale kama vitu vinametameta kwenye mashuka,
Huwa najiuliza ni vitu gani vinavyowekwa kwenye mashuka na neti mpaka unaona zinameta na kutoa miale kama ya moto. Wadau mnijuze
Hii kitu huwa naiyona sana hasa usiku nikiwa nataka kulala kama kuna kigiza flani huwa naona kama nikisugua shuka au hata neti naona kuna miale kama vitu vinametameta kwenye mashuka,
Huwa najiuliza ni vitu gani vinavyowekwa kwenye mashuka na neti mpaka unaona zinameta na kutoa miale kama ya moto. Wadau mnijuze