Tangu lini tumekuwa tukisikia kuwa wanyarwanda wengi wamejaa kwenye secta muhimu hapa nchini? jeshini, secta muhimu hadi ikulu?
huyu mwanajeshi aliyetorokea Rwanda ni fundisho tosha, ndio maana...
Imeandaliwa na John Haule wa Rumours Africa
Ndugu msomaji, Leo nitazungumzia aina za viganja. Unajua, unaweza ukamjua mtu mwenye tabia ya udokozi kwa kumwangalia tu viganja vyake? Leo naomba...
Katika maisha ya mwanadam kuna baadhi ya mambo ambayo majibu yake huwa hayako wazi na hata ufananuz wake huwa sio rahisi.
Baadhi ya maswali hayo ni haya:
1.Uhakika/Uthibitisho wa...
-Wakuu,naomba kuuliza,hivi wale jamaa wanaokua wamemzngira rais kikwete wanakua wamevaa suti nyeusi huwa ni makomandoo,tiss au wanajeshi wa kawaida tu?
-Suala lingine ningependa kufahamishwa nin...
Habari za kulipuka bomu katika kanisa huko arusha zimenisikitisha na kunitia hofu. Najiuliza mabomu huwa yanauzwa dukani kama Bastola au hutengenezwa kienyeji? Nilifuatilia sana ile habari ya Bomu...
Gazeti la Marekani Cristian Science Monitor lilinakili maneno ya Bw.Patrison ambae alipongeza Jamuhuri ya Kiislam ya Iran
kuinasa RQ170 mwaka ulopita akisema:
Kunaswa kwa mara nyengine tena ndege...
Mimi huwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu mtu kwamba ni mtu. Ni kitu gani haswa kinachomfanya yeye aonekane ni tofauti na vitu vingine.
Na inavyo onekana yeye ndiye anaye control vitu vyote...
UNA AMBIWA NDICHO KILICHOTUMIKA KUMPELELEZA DOGO KIDUKU MAARUFU KAMA RAIS KIM WA NORTH KOREA BAADA YA MAREKANI NA NDUGU ZAKE KUSHINDWA KUPATA CHOO CHAKE KIPINDI WALIPOKUTANA NA RAIS...
Moja kwa moja tukianza na jasusi huyu ajulikanaye kama RICHARD Sorge anahesabika kama jasusi mwerevu kuliko wote katika karne ya 20. Jasusi huyo Mrusi na mwalimu wa hujuma alifanya kazi dunia...
Habarini wanajamvi,
Najua baadhi yenu mmewahi kutamani kuingia Jeshini (JWTZ) au Usalama wa Taifa (TISS)
Sasa kuna operation zipo mbili ambazo nafikiri zikifanyika au zinafanyika bila umakini...
Nadharia za kijasusi karibu zote zinamsimamo unaofanana, japo zinaweza kutofautiana mwelekeo tu kulingana na tukio, Tukio kama la mauaji, ujambazi ama la ugaidi kiuchunguzi yanaweza kufanana kwa...
Salaam wakuu,
Kama kichwa kinavyosema hapo juu, tukisoma kwenye vitabu vitakatifu kuhusu uumbaji tunaona kuwa Mungu alituumba kwa udongo (mavumbi).
Biblia na Quran zote zitakubaliana kuwa Adam...
Leo nimefikiria swali moja; Je, mimi ni mwili au ni roho?
Nimefikiria kinachotokea mpaka mtoto anazaliwa nimeshindwa kupata jibu.
Hebu fikiria kama nilivyofikiri mimi. Utagundua mwili ni kama...
[emoji707]Abraham Lincoln alichaguliwa kwenye baraza la wabunge mnamo 1846
[emoji745]John F Kennedy alichaguliwa katika baraza la bunge mnamo mwaka 1946
[emoji707]Abraham lincoln alichaguliwa...
Upo mpango mahsusi wa kuiharibu familia. Mtafaruku unao onekana leo kati ya baba na mama na baba na mama na watoto, si wa bahati mbaya,ni mpango ulioandaliwa na Sinagogi la Shetani kwa siri na kwa...
Mwanamuziki wa michano 2pac alifariki baada ya kupigwa risasi tarehe 7/11/1996, Las Vegas USA akiwa na Umri 25.
Sasa toka hapo, kumekuwa na mijadala huku baadhi ya mashabiki na watu wa karibu...
Plans for the East African Community (EAC) integration might not bear fruit in the near future as the relations between Tanzania and Rwanda continue to deteriorate...
Hivi kwa nini devil worshippers wengi wana uwezo mkubwa sana wa kufikiri na kucheza na mind za watu kiasi kwamba wanaweza kukuaminisha uwongo kuwa ukweli?
Christians wengi wana akili ndogo sana...
Kwenye mitandao ya kijamii niliona kua kuna maandamono yaliyo ratibiwa na baadhi ya wananchi wa USA kwenda area 51 kushuudia kama kweli kuna uwepo wa viumbe wa ajabu huko.
Na maandamono hayo...
Mikhail Timofeyevich Kalashnikov angelitimiza miaka 100 leo hii kama asingeliaga dunia mwaka 2013. Anakumbukwa kwa ugunduzi wa silaha ya begani (bunduki) maarufu na iliyotumika zaidi kuliko aina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.