Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Ni mtazamo Uvutaji wa bangi si jambo geni vijana wengi wanavuta au wameshawahi kuvuta ukiachia mbali madhara ambayo watu wa afya wanasema yanaletwa na bangi (mengi si kweli) kama ulishawah...
18 Reactions
227 Replies
30K Views
Wakuu, heshima kwenu. Naleta kwenu mjadala huu unaohusu mpango wa Mungu kwa ukomo wa sayari dunia ambao kuna watu wamekuwa wakisema kuwa, Mungu kaipangia Dunia miaka 6000. Wanaodai hivyo wamekuwa...
6 Reactions
57 Replies
10K Views
Wengi tunafahamu au tunasikia kwamba wanyama wanaongozwa na hisia. Kando na wanyama, utasikia watu wakisema, fulani hana akili au ana hisia kali. Utaona hata hivyo, kwamba vitu hivi viwili yaani...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Markov aliwahi kuandika novel moja aliyoiita kama 'The great roof' pamoja na jina la 'a symbol of the roof of lies' akimaanisha ya kwamba utawala wa serikali ya Bulgaria umejengeka katika misingi...
6 Reactions
13 Replies
4K Views
Adam&Eve.. Wanadamu wa kwanza kutia nyayo zao ktk uso wa Dunia na kutengeneza vizazi na Vizazi kutoka nyakati ambazo ni ngumu Hata kujua ilikua ni mwaka gani! Bado ni ngumu hata ukiweka katika...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
1) There is a certain aura of natural decency in the way they carry themselves. They have an inbuilt courtesy mannerism that makes it difficult for them to ever look down on you even if they are...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wapendwa poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale. Naomba wataalamu wa mambo mnisadie hivi kama kuna kitu kilipotea na ghafla kikapatikana ndani kwangu lakini nisikishike kwa mikono yangu na...
0 Reactions
0 Replies
823 Views
JF inatambulika kwa uhuru wake wa maoni ambao wachangiaji mbalimbali hutoa. Hilo limekuwa wezeshi kutokana na uwepo wa utambulishi pacha(ID fake). Pia mmiliki-mwenza wa JF amejitahidi sana kulinda...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
KUZALIWA MARA YA PILI NA KUKUMBUKA HISTORIA YAKO YOTE YA NYUMA Tukubali tukatae ila duniani kuna mengi sana yaliyofichwa ambayo katika ulimwengu wa macho ya kawaida huwa hayaonekani kabisa.Wengi...
31 Reactions
141 Replies
26K Views
Wasaalam wajumbe. Nakumbuka kipindi nipo mdogo miaka ya mwishoni ya 80's na mwanzoni mwa 90's ulikuwa ukiangalia angani unakuta nyota zimetanda kwa wingi angani but nowadays ukiangalia angani...
6 Reactions
47 Replies
5K Views
Marekani ndilo taifa linaloongoza kiuchumi na kijeshi duniani,lakini kuongoza kwake kunategemea washirika Israel na Ulaya, Israel wanategemewa ktk teknolojia ya uundwaji wa silaha Kali Kali na...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Leo tarehe 13 Agosti, ni siku ya kimataifa kwa watu wanaotumia mkono wa kushoto duniani. Japokuwa hakuna taarifa za kutosha juu ya lini hasa siku hii imeanza kutambuliwa, lakini bwana Dean R...
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Ofisi za umma/serikali zinatumia OPras kama kipimo cha utendaji kazi ambapo mtumishi anakubaliana na kiongozi wake majukumu atakayotekeleza jambo ambalo ni zuri, mtumishi anaetekeleza majukumu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Umewasha wahi kuona kwenye movie .Timu ya SWAT au kikosi chochote cha kijeshi inapovamia kwenye nyumba ya kikundi cha wahalifu. Afisa mmoja hutupa kitu ndani ya chumba, na hulipuka kinatoa...
7 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Kuna wale ambao hawaamini uwepo wa Mungu wala wa shetani (atheist). Naombeni mtujuze pale mazingaombwe yanapofanyika ( mfano ya kumpasua mtu tumbo au kumtenganisha kichwa na...
11 Reactions
155 Replies
25K Views
GazProm, (GAZovaya PROMyshlennost) au Gas Industry ndio kampuni kubwa kuliko zote duniani katika uzalishaji na uuzaji wa mafuta na gesi. Utajiri wa gazprom unakadiriwa kuwa Dola billion 106, sawa...
7 Reactions
22 Replies
7K Views
Japo Rais Trump amesema mlipuko wa Beirut ni kitu maalum kilichopangwa lakini waLebanoni wenyewe wanaamini imetokana na shehena ifikayo tani za ujazo 2750 za Ammonia nitrate iliyotaifishwa tangu...
6 Reactions
21 Replies
5K Views
Umbo la mwezi hubadilika na hata rangi yake, lakini tangu jadi binadamu amekuwa akivutiwa na maumbile yake. Kuna Mwezi Mpevu, Mwezi Mwandamo, Hilali na hata wakati mwezi hupatwa na jua. Hapa...
8 Reactions
18 Replies
4K Views
Saikolojia: Fahamu tatizo sugu la wasiwasi (Anxiety disorder). Imenisukuma wakati huu kuandika kwa ajili ya makala hii kuhusiana na somo la Hofu au uoga kupitiliza na wasiwasi kutokana tatizo...
9 Reactions
25 Replies
8K Views
Back
Top Bottom