Ubaguzi wa rangi ulikuwepo muda mrefu sana kabla ya Darwin na theory yake au kuja kuipa nguvu maana inasemekana yeye sio mwanzilishi, lakin pindi tu ilivyo kuja huyu bwana na habari zake ubaguzi...
Habari!
Mara nyingi tumekuwa tukijiuliza maswali mengi kuhusiana na masuala mbalimbali yahusuyo Mwezi. Sio ule wa kwenye kalenda bali huu tuuonao angani karibu kila iitwapo leo hasa nyakati za...
Mara nyingi kila binadamu tu akizaliwa uzaliwa na kipawa kutoka kwa muumba wetu.
Kipindi cha udogo utafanya mambo ya kushangaza mpaka wanaojua watasema huyu atakuja kuwa na fani flan.
Baada ya...
1:Kama Ukitanganza Malengo yako na Mipango kwa watu, Kuna uwezekano mkubwa yasitekelezeke, kwa sababu utapoteza motisha, Utafiti umeonyesha.
2:Wimbo unaoupenda kuliko wowote ule, Utafiti...
Sijajua kama nimeweka huu uzi katika jukwaa sahihi ila ninaamini kabisa kwamba kuna Maofisa ambao wanapita humu ambao wanao uwezo wa kuliweka hili mezani na kulijadili kwa kina kwa kuzingatia...
Imeripotiwa hivi karibuni kuwa Mwenyekiti wa CCM wa Taifa Bw. Ben Mkapa kwamba yeye hakubaliani na uamuzi wa Mahakama ulioruhusu uwepo wa wagombea huru.
Binafsi sijafurahishwa kuwa hakuna...
Nguvu ya mwanamke ndio inatawala dunia ... Unaweza kubisha na kukataa katakata lakini huu ndio ukweli... Hebu turudi kwenye uumbaji wa ulimwengu kiimani
Uumbaji wa mwanzo wa binadamu ulifanyika...
Wakuu nimeona NASA wanaendelea kufanya majaribio ya kwenda Anga za mbali lakini sijawahi kuona tena wamefanya jaribio la kurudi mwezini toka enzi za akina Amstrong ,mwenye uelewa wa hili anijuze...
Nawatakia wakati mwema wakuu
naleta kwenu hoja hii ya kutaka kujua ile nyota walioiona wanajimu wa mashariki wakati wa kuzaliwa Yesu kipindi hicho je kwa sasa iko wapi?
tunajua azi ka sasa...
Habarini Wote.
Nimepata kufanya Utungaji wenye kufungamana na mawaidha yajayo na mada mbalimbali katika Jukwaa hili Jamii -- kwa faragha.
Mapenzi yangu yamekuwa ni kwamba kama hali bado...
Habari Wanajamvi! ! Nina imani tunaendelea vyema katika shughuli za uzalishaji Mali, natamani tutumie nafasi mujaraab tuzipatazo kuzidi kuweka udadisi kuhusu suala zima la "Ukomunist"ama "...
Ndugu zangu,
Hiki ni kitabu ambacho nimefatilia baadhi ya maandiko yake kupitia mada mbalimbali za Dr Taylor Marshall, nimeona kinafaa kusoma kwa wapenzi wa kufatilia mambo mazito kidogo. Ukienda...
Habari wana jukwaa?
Kama ni mfuatiliaji wa habari za kimataifa na hasa maswala ya anga utagundua kuwa ndani ya mwezi huu UAE, China na baadae mwezi huu USA chini ya NASA wanategemea kurusha...
Sina maana ya kupinga biblia ata kidogo ila katika harakati zangu za kutaka kujua asili yangu na mahusiano yangu na Mungu wangu muumba kuna maswali yanaibuka kichwani mwangu na nimetafuta majibu...
Polisi wapo, Mahakama zipo, na magereza zipo, kwa ajili ya kukamata wahalifu, kuwahukumu na kuwaadhibu.
Lakini pamoja na yote hayo Bado watu hawaachi kufanya makosa kwa kuogopa adhabu.
Mfano watu...
Rais bora wa TZ next to Mwl. J. Nyerere
Aliingia madarakani kwa haki bila rushwa wala kununua vyombo vya habari. Alikuwa na hoja na alieleza WAZI nia yake ya kugombea urais.
Alianza kazi kwa...
Leo siko hapa kujadili maana ya tamko "Falsafa", bali nipo hapa kujadili matokeo ya Wanafalsafa yaani mafundisho yao. Rejea anuani ya uzi hapo juu.
Ifuatayo ni mifano ya mafundisho ya baadhi ya...
Kuna story nyingi kwanini madaraja hujengwa usiku,moja kati ya hizo ni kwamba kuna nguvu kubwa ya kichawi ambayo hutumika kutawanya maji na nguvu hiyo hufanya kazi usiku tu,pia wengine husema kuwa...
Habari wanajamvi? niende moja kwa moja kwenye mada, inafahamika kuwa dunia inajizungusha kwenye muhimiri wake kwa speed kubwa sana [earth's rotation] pia dunia inalizunguka jua (earth's...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.