Katika maisha ya binadamu ni watu wachache sana tena ambao ni vichaa, matahira au waliologwa ndio wanaoweza kwenda kinyume na wazazi wao au kwa kwa lugha rahisi kuwasaliti wazazi wao au kuwa...
Misri haili ikashiba, hailali usingizi, hainywi maji yakapita ikiwaza mto Nile na usalama wake.
Misri inaongoza kwa kilimo cha umwagiliaji kuliko nchi yoyote ya ukanda wa Afrika Mashariki ambako...
Katika dunia ya kijasusi ni vema kuelewa haya mambo na kuwa makini na kila kitu kinachokutokea ana hata ambayo huyajui. Jamii zetu zinapaswa kuwa na intelijesia ya kuelewa kuwa dunia haikai...
Baada ya mauai ya luteni jenerali Imran Kombe, serikali ya raiai Benjamiin Mkapa ilishikwa na kigugumizi na ikashindwa ijishirikishe vipi na vyombo vya habari na umma wa Watanzania...
Tangia 2017 nilianza kupitia hali ya ukumbusho wa mara kwa mara ili nizione namba 1111 pale zinapokuwa zimetokea au kuwako sehemu. Sio asubuhi, mchana au usiku. Mara nyingi nimekuwa nikiziona...
Nakumbuka mwalimu wangu wa historia alitufundisha kuhusu 'barter trade' biashara iliyofanyika kwa kubadilishana vitu kwa vitu kulingana na thamani na uhitaji kwa muda huo.
Mababu zetu walishiriki...
Kuna taarifa zimekuwa zikienea katika mitandao sasa ni muda kuwa Ikulu ya Tanzania inalindwa na Wanajeshi kutoka nchi jirani ya Rwanda na sasa zimeibuka taarifa kuwa Ukuta uliojengwa juzi juzi tu...
Tunaomba sana, kwa Yule anayetaka kulinfanisha na nchi yake, aweke link kama hii ambayo ni "Neutral" ili jamii nzima iweze kuona.
=====
African Aerospace - The rise and rise of...
Habarini za mchana wakuu,
Naomba kuleta mada hii ambayo nimeipitia ila sijapata nondo za kutosha maana bado nimepata mkanganyiko kidogo. Twende pamoja.
Inasemekana kuwa kuna hawa beings wanayo...
Sisi wapenzi na wafuasi wa bibilia kama kitabu cha Muumba lakini kama msitu wa maarifa uliojaa kila kitu tunajifunza kumewahi kuwepo na tawala kubwa NNE zilizotikisa DUnia ya wakati huo...
Mara nyingi tumekuwa tukisikia watu wakilaumiwa au kulaumiana kutoa 'siri' za serikali kwa wananchi. Hivi hizo zinazoitwa siri za serikali ni zipi na kwanini zinakuwa siri?
Ikiwa tunaaminishwa...
Habari zenu wana-JamiiForums,
Leo napenda kushare nanyi moja kati ya mjadala ambao umenivutia sana kati ya manguli wawili waliowahi kupata kuishi nchini Marekani, James Baldwin na William...
If anyone has listened to the podcast by Power Corrupts, from dictators to demigods, they will have stumbled on the above question. May I begin with a disclaimer, that this thread is meant to...
Kuna tabia au hulka ambazo binadamu huzaliwa nazo na kuna zile ambazo mtu anazipata anapochangamana na watu mballimbali katika mazingira aliyopo.
Ukiachilia mbali tabia ya kutopenda kulaumiwa...
Wakuu naombeni kujuzwa nimeona Kwenye rank za usalama wa taifa duniani ya ya Pakistan inaonekana iko juu nafasi ya kwanza ikifuatiwa na CIA ya Marekani.
Leo ninataka kujua 'rank' ya ubora wa hivi...
Kwa muda mrefu nimekua nikisikia watu wengi wakikanusha uwepo wa Mungu na wakatoa evidence nyingi tu katika ukanushaji huo especially Jamii inteligence.
Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham...
imekuaje hadi nikajiuliza hilo swali?
story yenyewe iko hivi.
nina rafiki yangu wa kike,siku za hivi karibuni yapata kama mwezi sasa,mara kwa mara na humtokea baada ya kutoka kusali tu,anajikuta...
Barrack Obama aliwaita mkurugenzi mkuu wa CIA Leon Paneta pamoja na majenerali kadhaa wa jeshi la Marekani siku chache baada ya CIA kumtaarifu Rais Obama kuwa ,tayari maficho ya Osama waliweza...
Leo katika hafla ya uapisho wa Viongozi mbalimbali pale Ikulu lipo jambo limenitafakarisha sana.
Katika kusanyiko lile walikuwepo Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama;Mkuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.