Uwezo wa Ubongo wa Binadamu katika kuhifadhi kumbukumbu ukubwa wake ni 2.5 pentabytes
UKUBWA HUU NI SAWA na KUREKODI VIPINDI VYA TELEVISHENI KWA ZAIDI YA MIAKA 300, hapa namaanisha ni sawa na wewe...
Hi Guys!
Wengi tunamfahamu Albert Einstein kwamba alikuwa scientist na hakuishia kuwa scientist tu pia alikuwa ni genius na smart sana. Alifanya mambo makubwa katika field yake na aligundua...
1. Miaka mingi imepita bado waafrika tunapambana na mambo madogo...kuthibitisha Yesu alikuwa Mwafrika
2. Miaka mingi imepita bado waafrika tunapambana kuthibitisha Waisraeli wa asili ni Weusi
3...
Naamini mko poa,kumekuwa na juhudi za mataifa mengi yaliyoendelea kisayansi na kiteknolojia za kuchunguza na kufatilia mambo ya anga za mbali ili pamoja na mambo mengine,lakini kubwa kuliko yote...
Ukweli upo hivi, jua lipo umbali wa maelfu ya futi chache kutoka usawa bahari ndio maana lina miale mikali kama moto, mwezi upo umbali wa malaki ya futi kutoka usawa wa bahari ndio maana miale...
India inatajwa kuwa ni moja ya mataifa yenye idadi kubwa ya wanajeshi na moja ya nchi zenye kumiliki silaha za nyuklia.Hata hivyo kila inapotokea kupigana na kushambuliana na majirani zake basi...
Tareha 22, mwezi wa 4 mwaka 2003, mwanamichezo wamchezo wa kupiga makasia akiwa kwenye mtumbwi wake mdogo akifanya mazoezi katika bahari karibu na daraja lilioingia kwenye maji lijulikanalo...
Wakuu!
Naomba nitumie mfano wa wanyama kujenga hoja yangu, chukulia mbwa ama farasi. Tumekuwa tukiwafundisha lugha zetu ili watuelewe na kisha wawe msaada kwetu, lakini sio kwamba waweze...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to the Almighty. Leo swali langu ni kama hivi;
Kati ya Jasusi na Commando...
Unit 8200 (HEBREW: יחידה 8200, Yehida shmonae -Matayim- "Unit eight - two hundred") is an Israeli Intelligence Corps unit responsible for collecting signal intelligence (SIGINT) and code...
Umofia Kwenu.....
Najaribu kufikiri na kuongeza upeo wa uelewa kupitia hili jukwaa
kwa mfumo wa elimu ya Tanzania wa kujifunza kupitia lugha ya kingereza kwa asilimia 99% je kuna uwezekano...
Jina la Kitabu.The New World Order
Mwandishi.Ralph Epperson
Mchambuzi.Nanyaro EJ
Utangulizi
Mwandishi anajitambulisha kama mtu aliyependa kusoma maandishi mbalimbali,na kila alipomaliza kusoma...
Taarifa z kuaminika nikwamba mlinzi wa Lowassa anaetambulika kwa jina la Aloyce Tendewa yupo mbioni kufunguliwa kesi ya kumtishia kumuua aliyewahi kuwa Katibu binafsi wa Nyerere bwana Kasori...
Vilfred pareto ni mchumi na muanzilishi wa kanuni maarufu sana duniani iliyokuwa inafuatiliwa na wachumi wa kifalsafa kwa muda mrefu kama ni applicable or not, inaitwa 80/20 rule.
80/20 rule ni...
Mossad lilikuwa shirika la kwanza la kijasusi kubaini njama za Osama kuishambulia Marekani, kwa kawaida CIA na Mossad huwa wanabadilishana taarifa za kijasusi, kwa hiyo Mossad waliitaarifu CIA juu...
I think mpo good wadau,
Ningependa kwa anaefahamu kuhusiana na hilo swali hapo juu anijuze. Binafsi nimejiuliza but nimeambulia hollaaa. I hope humu nitapata majibu.
Kwa lugha yetu pendwa; Je...
@Rakims una uzi ulizungumzia jinsi ya kufanya astra projection. Nimejaribu na feedbak ni hivi nmeishia pale kwenye ganzi maana nilihisi kama mwili unamong'onyoka,
Halaf pumzi najikuta nabana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.