Tunataka anti doping yetu hapa Tanzania. Serikali iwe serious sana na hili ----->>> Ushauri kwa Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya, Wizara ya michezo, TFF pamoja na BMT
Sasa ni miaka mingi...
Top 10 Greatest Philosophers in History
This list examines the influence, depth of insight and wide-reaching interest across many subjects of various “lovers of wisdom,” and ranks them...
NB: Tafadhali usiibe makala za Infantry Soldier kutoka kwenye groups za WhatsApp pamoja na Facebook bila idhini yake.
Mbabe na mwamba katika medani za kivita katika eneo lote la Mashariki ya...
Habari wakuu,
Miaka zaidi ya 25 iliyopita Tanzania ilipokea ugeni wa kiongozi wa juu kiutawala kutoka kanisa katoliki Papa John Paul II.
Alifanya ziara yake maeneo tofauti tofauti hapa nchini...
Kama ilivyo kwa maeneo mengi duniani, nchini Rwanda kuna vipindi vinne vya majira ya mwaka; Kipupwe, Kiangazi, Vuli na Masika. Kipindi cha Masika huanzia mwezi Machi, Aprili hadi Mei, mvua...
Salute!
Siku kadhaa nilibandika uzi hapa kuhusu siri kubwa iliyofichwa katika kifo cha Adolf Hitler. Nilipanga kudondosha mifululizo kadha kujadili ulimwengu wa Hitler, lakini nilipata ombi...
Ile gari kazi yake nini? pia kuna gari fulani lipo kama noah fulani huwa linafanya kazi gani?
Pia kwanini magari karibu yote ya rais yana rangi nyeusi!
Tena kuna ndege mbili lazima ziwe juu...
Nazungumzia dunia ya uhai? dunia inayoongelewa kwenye vitabu vyetu vya dini!
Tumekuwa na mada ihusuyo bustani ya Eden kimsingi binafsi imenisaidia kuongeza ufahamu.
Ni katika mada hiyo nimegundua...
Mfahamu Alien
Nikiumbe Kama Kinacho Fanana Na Binadamu Ila Wao Wanaishi Galaxy Nyingine Na Hii Tunayo Ishi Sisi Yaani Ukiachana Na Jumla Ya Sayari 8 Zinazo Zunguka Jua Ambapo Binadamu Anapatika...
AJENDA IJULIKANAYO KAMA, (21--2030), YA FREEMASONS KUTOKA MWAKA 1776 MPAKA MWAKA 2030 NA PUNGUZO LA WATU DUNIANI.
TUangalie kile kinachojulikana kama ajenda 21--2030 ya Illuminati iliyoandaliwa...
Salam wana JF.
Leo ningependa tujadili lawama anazopewa CDF General Mabeyo baada ya kuonekana kama ameleeza mengi yaliyo paswa kuwa siri kuhusu ujenzi wa Makao Makuu Ya Jeshi la Wnanchi (JWTZ)...
Turkey tested its first Russian-made S-400 Triumph systems on F-22 Raptor and F-35 Lightning II fighters, learned BulgarianMilitary.com citing the Evening Courier and Fighter Jets World magazines...
Kupanda kwa mkubwa wa karanga karanga leo kutoka ubrigedia hadi meja jenerali ndani ya miezi aisee nimepigwa na bumbuazi
Anyway katika taaluma ya kijeshi cheo mtu hapandi haraka haraka au...
asalaam ndugu zangu wa forum pendwa JF,natumai muwazima kifya na wenye kutia nguvu nia katika mkazo wa kufanya njia ya maisha ya kila siku iwe sawia na salama kwa kila mnapozidi kujongea katika...
Wanasayansi wamelitaja eneo la kusini mwa mto Zambezi kuwa ndiko binaadamu wote walio hai hii leo wanatokea.
Eneo hilo sasa limegubikwa kwa chumvi lakini kwa wakati mmoja lilikuwa ni ziwa kubwa...
Kauli mbiu: Ninyi ni wanajeshi kamili. Miili pamoja na **** zenu ndio silaha za vita.
KGB Ujasusi kwa njia ya ngono.
Ilikuwa ni Urusi ya zamani (USSR) ambayo ilianzisha kitengo maalum duniani...
Habari!
Katika masimulizi ya Biblia tunaona kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa na Mungu ni Adamu na Eva. Tena tunaambiwa kuwa, hawa ndio wazazi halisi wa binadamu wote duniani. Quraan nayo kwa upande...
Nimekaa nikatafari sana baadaeeee nikaja Kujua wewe shetani una uzuri wa pekee ambao wengine hawauoni.
Hivi bila wewe utajiri wa makanisa na misikiti yangetoka wapi?
Wewe ndio umetoa ajira kwa...
Ebu fikiria kwanza hivi kungekuwa na raha gani kama kusingekuwa na Kifo?
Yaani binadamu na wanyama wasingekuwa na mwisho (immortal), tungekuwa tunaishi milele na milele kungekuwa na maana gani...
Jana zilisanbaa video zikionyesha Rais wetu akiwa kwenye gari lenye namba binafsi akikatiza mitaa ya Dodoma akiwa na ulinzi hafifu sana,katika kile kilichoelezwa ni kutenganisha kazi za chama na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.