Je, ni wakati sasa wa Jeshi letu kuwa na Technological Defense Command (Technological Warfare Command)?

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,568
5,674
Sijajua kama nimeweka huu uzi katika jukwaa sahihi ila ninaamini kabisa kwamba kuna Maofisa ambao wanapita humu ambao wanao uwezo wa kuliweka hili mezani na kulijadili kwa kina kwa kuzingatia mazingira yanvyobadilika.

Kumeibuka aina mbalimbali za uhalifu kama vile Cyber Crimes na pia kumekuwa na tuhuma pia za Chemical warfare and Biological Warfare. Katika hilo tumeona mengi yakitokea ikiwamo kushambuliwa au kudukuliwa kwa mifumo ya serikali, kutengenezwa kwa virusi hatara kama COVID 19 na attacks kama hizo.

Hii ina maana kwamba dunia imebadilika, kama ambavyo zamani sisi tulizoea vita za Mapanga na Mashoka na wenzetu wakaja na Bunduki na Mabomu tutambue kwamba sasa Nature ya vita inaenda ikabadilika. Mambo ya Drone Warfare, Chemical and Biological Weapon na Cyber Warfare ni mambo ambayo tayari yapo duniani na kama taifa lazima tuanze kujipanga kaika hili.

Maoni yangu binafsi ni kuundwa kwa Technological Warfare Command ambayo itahusika na kulinda taifa letu dhidi ya Technological Attacks kama Vile Cybe Attacks, Chemical Attacks etc na pia kufanya tafiti kwa ajili ya kufanya similar attacks kwa maadui zetu.

Kama ambavyo pesa zinatumika kuwalisha maafisa na kuwakimbiza mchaka mchaka kila siku asubuhi nafikiri inaweza tengwa Pesa kwa ajili ya kuwawezesha hawa Askari wetu waweze kujifunza kuhusu Technological Warfare na kufanya Tafiti kuhusu Technological Warfare. Baadhi ya mambo watakayogundua kama yana tija kwa taifa yanaweza achiwa kutumia katika matumizi ya RAIA.

Ni fikra zangu kwamba wazo hili litatazamwa kwa miwani ya kijeshi na mabadiliko yanayoendelea dunia
 
Gharama ndogo ni relative term. Kwenye nchi maskini, risk vs mitigation costs ndio debate kubwa; size of the problem vs costs to mitigate.
Gharama ndogo ni relative term. Kwenye nchi maskini, risk vs mitigation costs ndio debate kubwa; size of the problem vs costs to mitigate.
Gharama ndogo ni relative term. Kwenye nchi maskini, risk vs mitigation costs ndio debate kubwa; size of the problem vs costs to mitigate.
Gharama ndogo ni relative term. Kwenye nchi maskini, risk vs mitigation costs ndio debate kubwa; size of the problem vs costs to mitigate.
Gharama ndogo ni relative term. Kwenye nchi maskini, risk vs mitigation costs ndio debate kubwa; size of the problem vs costs to mitigate.
hiki ni kisingizio tu cha kukwepa majukumu,Hili jambo linawezekana na hawa TPDF wakitaka Wanaweza kunitumia hata mimi kuwapa mwongozo wa kuandaa strategy ya Command hio kwa kutumia wanajeshi kutoka katika Command zilizopo sasa.
 
hiki ni kisingizio tu cha kukwepa majukumu,Hili jambo linawezekana na hawa TPDF wakitaka Wanaweza kunitumia hata mimi kuwapa mwongozo wa kuandaa strategy ya Command hio kwa kutumia wanajeshi kutoka katika Command zilizopo sasa.
Gharama ni realities, hakuna cha bure duniani. Cyber Commands are manned by highly qualified engineers and scientists. Tuanzie hapo, tunao? Na kama hatuna, kuna uwezo wa ku-recruit and train hawa watu? Mishahara yao je? Maana sio midogo, hawa ni watu ambao hutawalipa your typical salaries.

Wenzetu cyber commands zao, majority ya employee wako pale kutengeneza CV kesho waende Google and Microsoft kuvuta Seven figure salaries.
 
Gharama ni realities, hakuna cha bure duniani. Cyber Commands are manned by highly qualified engineers and scientists. Tuanzie hapo, tunao? Na kama hatuna, kuna uwezo wa ku-recruit and train hawa watu? Mishahara yao je? Maana sio midogo, hawa ni watu ambao hutawalipa your typical salaries.

Wenzetu cyber commands zao, majority ya employee wako pale kutengeneza CV kesho waende Google and Microsoft kuvuta Seven figure salaries.
Mkuu,unafikiri kwamba haya malipo ni makubwa kuliko mshahara wa wabunge?Tuache kuwaza kinyume na tuwaze kama watu wanaotaka kwenda Mbele.Tuanze na tulicho nacho na kukijenga taratibu.Huo ndo msingi wa maendeleo
 
Gharama ni realities, hakuna cha bure duniani. Cyber Commands are manned by highly qualified engineers and scientists. Tuanzie hapo, tunao? Na kama hatuna, kuna uwezo wa ku-recruit and train hawa watu? Mishahara yao je? Maana sio midogo, hawa ni watu ambao hutawalipa your typical salaries.

Wenzetu cyber commands zao, majority ya employee wako pale kutengeneza CV kesho waende Google and Microsoft kuvuta Seven figure salaries.
Mkuu,unafikiri kwamba haya malipo ni makubwa kuliko mshahara wa wabunge?Tuache kuwaza kinyume na tuwaze kama watu wanaotaka kwenda Mbele.Tuanze na tulicho nacho na kukijenga taratibu.Huo ndo msingi wa maendeleo
 
Mkuu,unafikiri kwamba haya malipo ni makubwa kuliko mshahara wa wabunge?Tuache kuwaza kinyume na tuwaze kama watu wanaotaka kwenda Mbele.Tuanze na tulicho nacho na kukijenga taratibu.Huo ndo msingi wa maendeleo

Uko sahihi... ndio maana my initial point ilikuwa risk na mitigation costs.

Binadamu hatubadiliki mpaka pain threshold inapofikiwa. Je tumeumia vya kutosha mpaka kuamua kuwekeza huko? Wewe ni waziri wa fedha, utoe pesa ya vituo vya afya au cyber command? Hizo ndio realities, tukipigwa hela za kutosha, tutakuwa tu Cyber Command. Mabenki yaliumia vya kutosha, yakaanza kuwekeza kwenye information security.
 
Uko sahihi... ndio maana my initial point ilikuwa risk na mitigation costs.

Binadamu hatubadiliki mpaka pain threshold inapofikiwa. Je tumeumia vya kutosha mpaka kuamua kuwekeza huko? Wewe ni waziri wa fedha, utoe pesa ya vituo vya afya au cyber command? Hizo ndio realities, tukipigwa hela za kutosha, tutakuwa tu Cyber Command. Mabenki yaliumia vya kutosha, yakaanza kuwekeza kwenye information security.
So,kwa mtazamo wako unafikiri kuna umuhimu wa kuanza kulifanyia kazi hata katika small scale?
 
Ukiwa unatunza akiba yako ya mshahara ndani labda mfano ni milioni 1, halafu
mwizi ana subiri utoke anaiba yote, ukatunza tena akaiba na likawa jambo la kujirudia, je ni bora uweke mlinzi uwe unamlipa laki 1 na nusu alinde mali yako ubaki na laki 8.5 au usiajiri mlinzi uwe unaibiwa kila siku pesa yako yote?

Lakini kama mwizi haji kuiba sidhani kama utapata wazo la kuajiri mlinzi.

Bado hatujalizwa vya kutosha itafikia muda tutaanzisha na sisi, lakini bado tunapambania maji na bara bara.

Mleta uzi umewaza vizuri sana.
 
Sisi hatupo pabaya sana polepole tunasonga tupo kwny hatua ya watu wasiojulikana.
Huko mbele tutafikia patam tu.
 
Mkuu mbona unakuwa hivyo?Unaelewa ninachoongea?
Wewe si unataka ulinzi wa kijeshi ambao unasema sio wa gharama. Mimi nakwambia kama una uwezo anzisha private firm ya cyber security. Russia wana cyber warfare capabilities lakini haikumzuia Kasperky kuanzisha private firm. US vilevile haikumzuia yule jamaa wa McAfee kuianzisha.

Kuna makampuni mengi sana binafsi yanashiriki katika ulinzi na yanapewa tenda duniani. Anza wewe kwenye tech masuala ya chemical warfare wakati hata Salin gas hatujui kutengeneza tutayatoa wapi. Hata mabomu ya machozi tunanunua.
 
Back
Top Bottom