Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Habari wapendwa poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale. Naomba wataalamu wa mambo mnisadie hivi kama kuna kitu kilipotea na ghafla kikapatikana ndani kwangu lakini nisikishike kwa mikono yangu na...
0 Reactions
0 Replies
814 Views
JF inatambulika kwa uhuru wake wa maoni ambao wachangiaji mbalimbali hutoa. Hilo limekuwa wezeshi kutokana na uwepo wa utambulishi pacha(ID fake). Pia mmiliki-mwenza wa JF amejitahidi sana kulinda...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
KUZALIWA MARA YA PILI NA KUKUMBUKA HISTORIA YAKO YOTE YA NYUMA Tukubali tukatae ila duniani kuna mengi sana yaliyofichwa ambayo katika ulimwengu wa macho ya kawaida huwa hayaonekani kabisa.Wengi...
31 Reactions
141 Replies
25K Views
Wasaalam wajumbe. Nakumbuka kipindi nipo mdogo miaka ya mwishoni ya 80's na mwanzoni mwa 90's ulikuwa ukiangalia angani unakuta nyota zimetanda kwa wingi angani but nowadays ukiangalia angani...
6 Reactions
47 Replies
5K Views
Marekani ndilo taifa linaloongoza kiuchumi na kijeshi duniani,lakini kuongoza kwake kunategemea washirika Israel na Ulaya, Israel wanategemewa ktk teknolojia ya uundwaji wa silaha Kali Kali na...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Leo tarehe 13 Agosti, ni siku ya kimataifa kwa watu wanaotumia mkono wa kushoto duniani. Japokuwa hakuna taarifa za kutosha juu ya lini hasa siku hii imeanza kutambuliwa, lakini bwana Dean R...
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Ofisi za umma/serikali zinatumia OPras kama kipimo cha utendaji kazi ambapo mtumishi anakubaliana na kiongozi wake majukumu atakayotekeleza jambo ambalo ni zuri, mtumishi anaetekeleza majukumu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Umewasha wahi kuona kwenye movie .Timu ya SWAT au kikosi chochote cha kijeshi inapovamia kwenye nyumba ya kikundi cha wahalifu. Afisa mmoja hutupa kitu ndani ya chumba, na hulipuka kinatoa...
7 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Kuna wale ambao hawaamini uwepo wa Mungu wala wa shetani (atheist). Naombeni mtujuze pale mazingaombwe yanapofanyika ( mfano ya kumpasua mtu tumbo au kumtenganisha kichwa na...
11 Reactions
155 Replies
25K Views
GazProm, (GAZovaya PROMyshlennost) au Gas Industry ndio kampuni kubwa kuliko zote duniani katika uzalishaji na uuzaji wa mafuta na gesi. Utajiri wa gazprom unakadiriwa kuwa Dola billion 106, sawa...
7 Reactions
22 Replies
7K Views
Japo Rais Trump amesema mlipuko wa Beirut ni kitu maalum kilichopangwa lakini waLebanoni wenyewe wanaamini imetokana na shehena ifikayo tani za ujazo 2750 za Ammonia nitrate iliyotaifishwa tangu...
6 Reactions
21 Replies
5K Views
Umbo la mwezi hubadilika na hata rangi yake, lakini tangu jadi binadamu amekuwa akivutiwa na maumbile yake. Kuna Mwezi Mpevu, Mwezi Mwandamo, Hilali na hata wakati mwezi hupatwa na jua. Hapa...
8 Reactions
18 Replies
4K Views
Saikolojia: Fahamu tatizo sugu la wasiwasi (Anxiety disorder). Imenisukuma wakati huu kuandika kwa ajili ya makala hii kuhusiana na somo la Hofu au uoga kupitiliza na wasiwasi kutokana tatizo...
9 Reactions
25 Replies
8K Views
Ni mara ngapi huwa unasifia Juhudi na hatua ulizopiga katika harakati zako za kila siku? Au na wewe una ile tabia ya kushabikia Mafanikio ya mtu mwingine huku ukidharau mafanikio yako...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Umewahi kuombwa assist na msela fulani hivi aitwaye Rainyundo ? kama tayari kausha tu aisee .......... Jamaa alikuwa na marafiki wengi humu JF Ila ujanjujanja umemponza na huo ndo umekuwa kama...
29 Reactions
156 Replies
39K Views
Habari za mida hii! Hii kitu huwa naiyona sana hasa usiku nikiwa nataka kulala kama kuna kigiza flani huwa naona kama nikisugua shuka au hata neti naona kuna miale kama vitu vinametameta kwenye...
6 Reactions
73 Replies
11K Views
TAFAKURI …. AKILI SI YA KUHIFADHI WAZO, BALI YA KUBUNI WAZO. Unatoka kazini ukiwa na mambo mengi kichwani . Ghafla unakumbuka unatakiwa kupitia kitu muhimu nyumbani . lakini unasema nikifika tu...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Kanuni ya kutengeneza Kinywaji cha coca cola ambacho hutengenezwa kwa zao la cola (colanut) na majani ya mmea wa coca iligunduliwa na mfamasia wa kimarekani John S Pemberton mwaka 1886 huko...
3 Reactions
20 Replies
9K Views
NB: USIIBE MAKALA YOYOTE YA INFANTRY SOLDIERS KWENYE GROUPS ZA WHATSAPP PAMOJA NA FACEBOOK BILA IDHINI YANGU 1. UTANGULIZI KATIKA andiko hili ambalo mdau una nafasi huru kuchangia mawazo yako...
13 Reactions
25 Replies
6K Views
Back
Top Bottom