Bahati mbaya vipaji vya bongo hufia njiani

Bahati mbaya vipaji vya bongo hufia njiani

medsebapol

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2015
Posts
327
Reaction score
225
Mara nyingi kila binadamu tu akizaliwa uzaliwa na kipawa kutoka kwa muumba wetu.
Kipindi cha udogo utafanya mambo ya kushangaza mpaka wanaojua watasema huyu atakuja kuwa na fani flan.

Baada ya kukua na kufukia stage flani ukubwani basi kile alichokuwa nacho udogoni,ukubwani atakua na fani nyingine tofauti.

Kweli mzungu anatengeneza mambo mengi ila waga wanamueshimu sana mwenyezi mungu.ila sisi uku tulikobarikiwa na mambo mazuri basi tu
1471109249761.jpg
 
awesome......rocket scientist,space engineer,astronomer,civil engineer,surveyor,geologist etc
 
Tatizo ni wazazi na wazazi ni tatizo la wazazi wao....wenzetu wanaangalia mtoto anapenda nini ana kipaji gani Kisha wanamuendeleza kutokana na kipaji chake....huku mtoto atakariri miaka saba atakaririshwa tena miaka sita kisha anaajiriwa then atafanya hiyo kazi anastaafu anakufa.....Kwisha....
 
Tatizo ni wazazi na wazazi ni tatizo la wazazi wao....wenzetu wanaangalia mtoto anapenda nini ana kipaji gani Kisha wanamuendeleza kutokana na kipaji chake....huku mtoto atakariri miaka saba atakaririshwa tena miaka sita kisha anaajiriwa then atafanya hiyo kazi anastaafu anakufa.....Kwisha....
Na ndiyo tunaamini hayo ndiyo maisha... Aisee
 
Wala wazazi hawajali kuhusu hilo.imefika hatua wanawalazimisha watoto wao kufanya kazi wazipendazo wao na sio watoto wao!
 
Isivyokua bahati sio Tanzania pekee wala Afrika pekee hii ni human nature utofauti ni kiwango tu!

Marehemu Dr. Emanuel Manroe aliyekua mchungaji na motivation speaker aliwahi sema katika moja za lecture zake kwamba Wazazi wamekua wakiua vipaji vya watoto wao kwa makusudi au kwa kudhani wao ni future director wa watoto.

Hii hutokana na ukweli kwamba "Wazazi huuona utoto wao kupitia wao" hivyo hujikuta wakiamua kuyaishi maisha yasiyokua yao wala wakati usiokua wao.

Pili yupo motivation speaker na mchekeshaji nchini marekani bwana Steve Horve aliwahi kuelezea kisa kimoja kwamba Mwl. aliwaambia wanafunzi waandike wanataka kuwa nani katika maisha yao na kati ya wote yeye aliandika anataka kuongea kwenye TV na Mwalimu alimuita na kumshambulia mbele ya darasa kwa kuandika ujinga.

Ila leo hii jamaa gethering zake watu wachache ni kuanzia 5000 kwenda juu.

ANGALIZO
Wazazi na walimu wanatakiwa wapewe miongozo namna ya kumuelekeza mtoto juu ya goals zake na si kumuongoza kufanya kile wao wanachoona ni sahihi kwao.
 
Constant life routine from 0 to mid 20's years of age. Yani hapo ukienda kinyume na system unaonekana nunda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom