Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,792
- 5,342
Kwa muda mrefu nasikia majina tofauti tofauti ya nyoka na sifa zake,hatari zake...lakini je ni yupi ndio kiboko ya yote...yaani funga kazi.anapatikana wapi
Wanasifika sana ni kama vile
Koboko,chatu,cobra,anakonda,futu, n.k
Tujuzane kidogo wakuu
Wanasifika sana ni kama vile
Koboko,chatu,cobra,anakonda,futu, n.k
Tujuzane kidogo wakuu