ngokuro
Senior Member
- Mar 15, 2017
- 118
- 98
Kwa baadhi ya ziara za Mhe. Raisi wa JMT nilizoshuhudia hususan nilizokuwepo eneo la tukio, nimeona wanausalama katika misafara hiyo wakikataza Raia kuchukua picha mnato au mjongeo.
Aidha endapo afisa usalama atakuona ukiwa umeshapiga picha atakushurutisha ufute pocha hiyo ktk simu yako au kamera.
Kuna athari gani kwa muhusika au msafara endapo raia wataachwa wakachukua picha?.
Aidha endapo afisa usalama atakuona ukiwa umeshapiga picha atakushurutisha ufute pocha hiyo ktk simu yako au kamera.
Kuna athari gani kwa muhusika au msafara endapo raia wataachwa wakachukua picha?.