Kuna sauti mbili humwongoza mwanadamu mawazoni mwake

Kuna sauti mbili humwongoza mwanadamu mawazoni mwake

under the same sun

Senior Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
160
Reaction score
37
Utakuta mtu anapitiwa na rafiki zake waende mahali flani halafu kuna sauti inamwambia usiende na nyingine inamwambia nenda, na kisha baada ya kuiskiliza mojawapo ama kwenda au kutokenda mtu huyo hujilaumu ama kwa sababu kaenda ama kutokwenda, au kupata faida ama kwa kwenda ama kutokwenda, sasa swali langu ni kwamba muongozo huo hutokea wapi? je hii umeshakutana nayo? je huwa unajiuliza huo mwongozo unaupata kutoka kwa nani na wapi?
 
Ni kweli sauti hizo huwa zipo, lakini ili uweze kufanya maamuzi sahihi inahitaji busara na neema ya mungu la sivyo kila siku utajikuta unafanya maamuzi yasiyo sahihi
 
Hizo ni sauti za malaika wako.kila mwanadamu anatembea na malaika wawili.wa upande wa kushoto na upande wa kulia.wa kushoto ni shetani ambaye anakuongoza kwa kutenda mabaya,wa kulia ni malaika mzuri anayekuongoza kutenda mazuri hivyo mvutano unaouckia ww ndo mwamuzi ufate upande gani
 
Hizo ni sauti za malaika wako.kila mwanadamu anatembea na malaika wawili.wa upande wa kushoto na upande wa kulia.wa kushoto ni shetani ambaye anakuongoza kwa kutenda mabaya,wa kulia ni malaika mzuri anayekuongoza kutenda mazuri hivyo mvutano unaouckia ww ndo mwamuzi ufate upande gani

Hiyo ni apriori theory/thinking!
Hembu nijibu hili swali:
kwani mtu akiambiwa ampeleke mwenzie safari flani, kuna ulazima wa kuwa hiyo safari ni mzuri or mbaya kiimani?
 
Utakuta mtu anapitiwa na rafiki zake waende mahali flani halafu kuna sauti inamwambia usiende na nyingine inamwambia nenda, na kisha baada ya kuiskiliza mojawapo ama kwenda au kutokenda mtu huyo hujilaumu ama kwa sababu kaenda ama kutokwenda, au kupata faida ama kwa kwenda ama kutokwenda, sasa swali langu ni kwamba muongozo huo hutokea wapi? je hii umeshakutana nayo? je huwa unajiuliza huo mwongozo unaupata kutoka kwa nani na wapi?

Nothing strange happens when somebody got two decision in same matter except conflict of interest!
Actually everyone has his/her own interest and believe! When somebody convice you out of your interest or belief, you must face that kind of sound!
...
Na hii haiwezi kuingia kwenye subconscious mind kwa sababu, subconscious mind sana sana humtokea mtu akiwa amelala or hata akiwa out of sleeping but hupata hiyo kitu kabla ya tukio husika!

Hata mtu akipata hizo subconscious mind, wakati anapokuwa na two diff decision upon one matter, tunarudi pale pale kwenye conflict of belief!
...
Nadhani nimesomeka hapo!
 
Kila jambo hubeba pande mbili.
Kikubwa ni kutafakari msingi wa jambo husika ili kupata uamuzi sahihi.
 
Hiyo ni apriori theory/thinking!
Hembu nijibu hili swali:
kwani mtu akiambiwa ampeleke mwenzie safari flani, kuna ulazima wa kuwa hiyo safari ni mzuri or mbaya kiimani?

Ndio ulazima upo, kwa binadam ambaye matendo yake yametangamana na uzuri wa kiiman, suala la kukupeleka safar lazima alitathmini, (1)hivi utaamua nini ikiwa rafiki yako anakwambia umpeleke bar (akapate au mkapate moja baridi moja moto?) Bila shaka hio si safari nzuri! (2) ila utaamuaje ikiwa rafiki yako amepitia mkasome pamoja?

Kwa akili ya kibinadam, ikiwa atakwenda safar namba moja na akakutana na jambo baya bas bila shaka atajuta mana alijua haikua safari nzuri kimatendo. Na ikiwa atafikwa na ajali katika safari ya pili akili yake itamwambia ni mipango ya mungu!
 
Ndio ulazima upo, kwa binadam ambaye matendo yake yametangamana na uzuri wa kiiman, suala la kukupeleka safar lazima alitathmini, (1)hivi utaamua nini ikiwa rafiki yako anakwambia umpeleke bar (akapate au mkapate moja baridi moja moto?) Bila shaka hio si safari nzuri! (2) ila utaamuaje ikiwa rafiki yako amepitia mkasome pamoja?

Kwa akili ya kibinadam, ikiwa atakwenda safar namba moja na akakutana na jambo baya bas bila shaka atajuta mana alijua haikua safari nzuri kimatendo. Na ikiwa atafikwa na ajali katika safari ya pili akili yake itamwambia ni mipango ya mungu!

Hapana!
Either hukulielewa swali or unaenferiority comlex!
Kwa mantiki hiyo, namanisha si kila safari inanguvu kiimani! =kuna safari zenye uzito kiimani! Mfano mzuri ni kama mifano miwili uliyoiweka hapo!

Kwa upande wa pili, kuna safari zisizo na nguvu kiimani!
Mfano: mtu anakwambia nisindikize dukani nikanunue nguo or mahitaji mengine ya personal interests!
Kiimani ukikataa kumpeleka hiyo safari, hauwezi kupewa thawabu wala dhambi!
 
Kila jambo hubeba pande mbili.
Kikubwa ni kutafakari msingi wa jambo husika ili kupata uamuzi sahihi.

Ivi mkisema kila jambo hubeba pande mbili, mnamaanisha nini?
Ivi ni kweli mambo yote yanabeba pande mbili?
Hakuna jambo linalobeba pande moja?
Hakuna mambo yanayobeba pande zaidi ya mbili?
 
malaika wa MUNGU hawezi kuwa sehemu moja na washetani ninapinga vikali.
Hizo ni sauti za malaika wako.kila mwanadamu anatembea na malaika wawili.wa upande wa kushoto na upande wa kulia.wa kushoto ni shetani ambaye anakuongoza kwa kutenda mabaya,wa kulia ni malaika mzuri anayekuongoza kutenda mazuri hivyo mvutano unaouckia ww ndo mwamuzi ufate upande gani
 
Huyo ni wewe mwenyewe pale unapoangalia possibility ya matokeo baada ya maamuzi..
 
Hizo ni sauti za malaika wako.kila mwanadamu anatembea na malaika wawili.wa upande wa kushoto na upande wa kulia.wa kushoto ni shetani ambaye anakuongoza kwa kutenda mabaya,wa kulia ni malaika mzuri anayekuongoza kutenda mazuri hivyo mvutano unaouckia ww ndo mwamuzi ufate upande gani
Utajuaje kuwa hii sauti inatokea upande wa kushoto na nyingine upande wa kulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom