Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kufahamu ikiwa hadhi wasomi nchini imeshuka au vipi Kiwango cha elimu yangu ni darasa la Saba tu lakini nilikuwa nikisikia na kuona wasomi walivyokuwa...
3 Reactions
64 Replies
7K Views
By Simon Mkina Tanzanian company registration instruments, just like the East African country’s banking institutions, are unaware of a firm that has channeled over Shilling 1.4 trillion ($620...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Watu wengi hushangaa wanawake wanawezaje kukadilia chumvi na mafuta kwenye mboga bila kuzidisha wala kupunguza,wakati watu wengi hasa wanaume hushindwa japo kukadilia tu sukari kwenye chai na...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Korean Air Lines Flight 007: Ndege ya abiria iliyoruka juu ya anga la chuo cha siri cha usalama ikiwa na kamera za upelelezi (Surveillance Cameras) Ndege namba 007 (almaarufu kama Korean Air...
29 Reactions
155 Replies
43K Views
KAMANDA KIVULI Leo acha nimzungumzie 'kamanda kivuli' mfanyakazi wa shirika la maji la mji wa Kermal ambaye baada ya muda wa kazi alikuwa akishinda 'gym' kunyanyua vyuma na kutunisha misuli...
4 Reactions
4 Replies
3K Views
Siku zote nimekuwa nikilalamikia hili kuwa kama Taifa tunapoteza sana Rasilimali watu. Kwa kiwango cha kutisha kila iitwapo leo tunapoteza watu ambao walipaswa kujengwa kiakili. nimekuwa kila...
8 Reactions
28 Replies
4K Views
Tulivutiwa na wajomba wenye IQ kubwa baada ya kuangalia series kama 24,prison break,the bodyguard from Beijing,Jamong na zingine nyingi,hii imepelekea nizijue kazi ngumu wafanyazo wajomba a.k.a...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Nauliza kwa sababu maji ya viwandani huwekewa chemical ili yasiharibike au yasichache sasa Mimi nayaweka bila chemical je yatakuwa mabaya kwa matumizi?
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Mahubiri yake ni ya kimataifa,huu ndio ukweli hutoa mifano hai ya kwenye biblia hata hueleza visa vya manabii na wafalme kwa ufasaha sana,hakika ana upako,dini mbalimbali humsikiliza kupitia tv...
4 Reactions
72 Replies
15K Views
Kuwa rais si jambo dogo,kwani rais humwakilisha muumba hapa duniani,sasa inakuwaje tusiwaone kwenye hela?kwani wakionekana ktk hela huwa ni kumbukumbu ya kizazi cha Taifa kilichopiga kura kwa...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Dar nasikia kila kitu hela,luku,maji ya kunywa ni ya kununua,chumba cha kupanga,maji ya Dawasco huku kuna visima na mabwawa,Gharama ya daladala hadi mbogamboga tofauti ña mkoani kidogo Unaweza...
3 Reactions
43 Replies
5K Views
Usalama ni usalama,Hali ya utulivu katika mazingira ya mzukukayo mwanadamu Kwahiyo mtu kuielewa taasisi hii yenye dhamana ya kuhakikisha hàli ya utulivu ndani ya mazingira yetu si kazi rahisi...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wengi wanahamu ya kupanda Dreamliner. ATCL tunaomba mtenge siti mbili tu kwa week watu waweze jishindia bahati nasibu ya kupanda bure go and return, itapendeza sana. Waheshimiwa wabunge...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Wananidhamu ya hali ya juu,mtoto yeyote wa mwanajeshi hawezi kumpita mkubwa bila kumsalimia au kumsaidia ikiwa ana mzigo au msaada mwingine wowote,kama lifti ikiwa ana usafiri kama pikipiki au...
3 Reactions
20 Replies
8K Views
Seen endless conv somewhere trying to relate the scene with possible causes of death. What do u think, was this murder or suicide?
3 Reactions
40 Replies
7K Views
Wanasayansi wamegundua uwepo wa gas ya phosphine, kwenye mawingu ya venus , wamehusisha gas hiyo na uwezekano wa uwepo wa viumbe hai Kama [emoji89] bacteria wadogo wadogo ambao huwa wana...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Mohammed Majubwa,mkuu wa shule wa zamani wa Milambo sec,na lecture wa sasa chuo kikuu cha Sokoine Sua-Morogoro, Ni mnyenyekevu na maisha yake ni ya kipekee,yamejaa mvuto,aliwahi kuwatoroka...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
TOP GUN GRUMMAN F-11 SUPERSONIC FIGHTER & STORY OF A TIGER WHO HAD BITTEN ITS OWN TAIL: Ndege vita iliyojipiga yenyewe kwa kukimbia speed kuzidi kombora lake. UTANGULIZI: Jaribu kujenga picha...
6 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari, Kumekuwa na maswali mengi kuhusu hawa viumbe kuwa je ni kweli wana exists au ni just myth? Mimi ni miongoni mwa watu ambao nimekuwa nikiziuliza kuhusu huwepo wa hawa viumbe, kabla...
2 Reactions
50 Replies
21K Views
Opera News South Africa Get Opera News on Facebook. JOIN NOW Have you ever felt kind of different from others? Have you ever felt lonely and always be curious about this world?. Well, most...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom