Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Hivi kwa mfano ikatokea Mshana Jr, Davinc, Mzizi mkavu, Rakims,kenzy,deadboy, Lifecoded, The bold, Zitto,Pasco, Kiranga na baadhi niliowasahau siku wakakaa meza moja hivi hawawezi kufanya kitu...
18 Reactions
73 Replies
8K Views
Ni rahisi sana kulinda mzigo ama mfu wakati mkifanya michakato mingine ili kuweka mambo sawa! Ni ngumu mno kulinda mtu aliye hai hasa akiwa mateka ama mfungwa....kwa muktadha wa mada hii...
53 Reactions
118 Replies
18K Views
Tunajidili namba tatu kivingine leo... Sio tatu kama tatu la hasha bali mara tatu. Tuangalie kwanza jinsi uhai unavyotengenezwa; Makutano ya jinsia mbili tofauti Kutungwa mimba Kuzaa Mfano huu...
18 Reactions
102 Replies
12K Views
Wadau naomba kujua kwani nini inachukuwa karibu miezi 3 kwa Rais wa Marekani toka achaguliwe mpaka kuapishwa kwake? Je kuna taratibu gani zinazofanyika mpaka zinapelekea kuchukuwa muda huo?
3 Reactions
40 Replies
5K Views
The man known as “Tim Osman” was Osama bin Laden. (OBL) His alias “T.O.” name was assigned to him by the CIA during his tour of the U.S. & U.S. military bases in search of increasing political...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
It's about addition and subtraction! And I will describe it in the following 4 simple sentences; 1. If you add a negative number, it decreases your value. THEREFORE; Stop thinking negatively...
7 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana ndugu mnaendeleaje na vyuma kukaza Moja kwa kwa moja kwenye pointi leo naomba tukumbashane kidogo mtu aliwahi kuvuma sana hapa duniani Enzi za miaka ya 1970 - 2003 miaka hiyo...
49 Reactions
204 Replies
42K Views
Dunia yetu ina mambo mengi ya asili na yasiyo ya asili ambayo yamefanya kuwa sehemu muafaka kwa binadamu kuishi na kuendesha maisha yake. Vitu hivi kwa ujumla wake vimefanya maeneo tofauti tofauti...
77 Reactions
110 Replies
27K Views
Wadau Kumekuwa ni minong'ono mingi sana na fununu juu ya nafasi ya TISS na kazi zao. Nakumbuka kabisa kuna watu huwa wanafanya mambo ya kipuuzi na kijitanabisha kama TISS.Binafsi sijawahi kutana...
17 Reactions
327 Replies
70K Views
Jiji la Gitarama hupatikana katikati ya nchi ya Rwanda, kwa makadirio kilomita arobaini na tano toka kwenye jiji kubwa nchini humo; jiji la Kigali, jiji pekee lililoitangulia Gitarama kwa ukubwa...
35 Reactions
192 Replies
31K Views
4. Mpinga Kristo Matukio yote ambayo yametajwa katika Ufunuo 6-9 yatatokea katika muda wa miaka saba. Muda huu wote ambao ni sawa na siku saba katika wiki moja ni wakati unaoitwa muda wa dhiki...
4 Reactions
24 Replies
8K Views
MAPENZI. JULIAS CAISER NI NANI?. Kama utakuwa ni mfuatiliaji wa mambo ya kihistoria basi jina la Julius Caesar litakuwa si geni masikioni mwako. Julius Caiser alikuwa mwanasiasa hodari na...
22 Reactions
54 Replies
10K Views
POINT BLANK: Watch your laptop, Mr President NKWAZI MHANGO THIS DAY St John’s NL, Canada WHEN it was announced that the DPP's laptop or electronic notebook was stolen, many thought it's...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Salam Wakuu ! Marais karibu Dunia nzima wana ADC wao kila wanapokwenda nadhani ni kutokana na umuhimu kwa Cheo cha Rais. Naomba ikiwa mtu anajua kwa undani hii tofauti mfano ni Rais wetu...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
ASILI YA UBAYA NI NINI?. **************************** Asili ya Ubaya wa Kila kiumbe upo ndani ya Maumbile yake. Kwani hakuna kiumbe kilicho jiumba chenyewe, Kwa kuzingatia hilo, kiumbe aliye...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, ni kitambo kidogo hatujaonaa humu jamvini. Nafikiri wotw wazima wa afya. Bila kuwaste timetuanze mada yetu hapo chini. Mungu alipoumba Dunia aliumba kwa makusudi yake na lengo...
1 Reactions
28 Replies
8K Views
Habari wana jamvi, Natumai tu wazima na tunaendelea na majukumu mbali mbali. Tupo hapa kujuzana, kukumbushan, na kutilia mkazo kwa yale machache kama sio mengi kadri MUNGU atavyoona yafaaa na...
5 Reactions
52 Replies
11K Views
Habari za wakati huu wanajamvi Leo katika harakati zangu za kujifunza nikakutana na nchi hii "the sovereign military order of malta" na haya ni maajabu yake 1.haina eneo la kijographia 2.ina...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Salaam,Wana-GREAT THINKERS... --Ni muda tena tukutane katika ukurasa huu tuweze kukumbushana kuhusu MISEMO YA WATU MAARUFU iliyosemwa kwa malengo ya :-Kuelimisha,kufariji,kuleta hamasa na...
19 Reactions
322 Replies
57K Views
Ndege ya kijeshi ya Israel F-35I iliyonunuliwa kutoka Lockheed huko Marekani ilidhihirisha kwamba kweli,haionekani kwenye radar yeyote, pale March 2018 ilipopenya na kuingia anga la Iran. Ndege...
3 Reactions
32 Replies
9K Views
Back
Top Bottom