UPANDE wa kushoto namuona Chinua Achebe, gwiji wa fasihi ya kiafrika ambaye vitabu vyake vinatumika kwenye shule na vyuo mbalimbali ulimwenguni. Lakini kwa upande wa kulia macho yangu yanatua kwa...
HUU NDIO MUUNDO WA KIJESHI KWA MAJESHI YOTE DUNIANI
Katika ulimwengu wa Kijeshi kuna mfanano mkubwa sana ambao watu wengi hasa 'Raia Wema' hawafahamu.
Labda tu niseme tu wazi kuwa mimi...
Miezi kadhaa iliyopita tulishuhudia 'ziara ya kihistoria' ambapo *Kim Jong-Un*, Rais wa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea (Korea Kaskazini) akikutana na Rais wa Jamhuri ya Korea...
Ndugu WanaJamii, nadhani tu wazima sisi ni jambo la kumshukuru manani. Mwenye ujuzi nilikuwa nataka atufafanulie maana ya Philosophy (Falsafa). na vipi mtu awe Philosopher (MwanaFalsafa) kama...
Habari ya mchana ndugu mpendwa mfuatiliaji wa makala zetu mablimbali zenye kukupa ufahamu juu ya maradhi mbalimbali yanayoizunguka jamii yetu,iwe ni maradhi yanayotokana na nmazingira...
SOCRATES
Wengi tumemsikia au kumsoma Socates kwenye elimu,falsafa,kwenye saikolojia ,siasa na fasihi lakini ni wachache ambao waliamua kwenda ndani Zaidi kumwangalia huyu Socrates ni nani. Huyu...
Hodi humu, nimetoroka MMU kidogo nipate ufafanuzi...
Jana nilioangalia tukio la uwanja wa ndege ukifunguliwa rasmi na mkuu wa nchi. Mambo mengi yalitukia pale Ila naombeni mnifafanulie kitu...
Kuna baadhi ya watu huaminisha watu kuwa dini yao ni ya kweli na bila hiyo dini huwezi ona mbingu na ukiangalia dini na watu cha kwanza ni watu na dini zilikuja kwa baadae sasa je waliokufa...
WAKALA WA KUZIMU ALIYETUMWA NA MAFIA
Kuna mambo ambayo tumezoea kuyaona kwenye filamu, tukaishia kufurahia, kusimuliana na kukumbushana.
Mambo haya wakati tunasimuliana huwa tunaamini yapo tu...
Mlinzi wa Rais wa Tanzania huwa anachaguliwa na rais mwenyewe au kuna utaratibu mwingine unatumika kumpata?
Je, Mlinzi huyu anakuwa na likizo? Kama hana likizo, Je, Anapataje muda wa kujamiiana...
As-salaam alaykum, Amani iwe nanyi.
Leo ninawaletea picha za video na picha mnato kuhusu namna wanawake wanavyojihusisha katika majeshi ya ulinzi na usalama.
Nitajikita hapa Afrika mashariki...
Habari zenu wakuu kuna hali huwa inanitokea ya kufananishwa na watu tofauti tofaut wengine nawafaham na nisio wafaham, nimeona nije nishee hapa pengine kuna jambo ila mi ndo silijui,
Nitaweka...
Naandika huu Uzi kwa majonzi baada ya kuona dada zetu wakichukuliwa nchi za Afrika kama Tanzania Kenya Uganda Sudan etc. Na kuchukuliwa wakipelekwa nchi mbalimbali wakiahidiwa kazi na makazi na...
Kanisa la Sabato mwanzilishi mwanamke. Vitabu wanavyotumia vya huyo mwanamke Helen White. Kwa nini hawawapi uchungaji wanawake? Wakati huyo Mama White ndie mhimili wa imani ya kisabato?
Wakuu kuna usafiri wa aina kadhaa ktk Dunia yetu,kama nilivyotaja hapo juu. Kuna wakati majira ya mvua nyingi na kali ukiwa kwenye gari huwa hata wiper zinashindwa kufuta kioo vizuri na...
Habari za mida wakuu...
Ni muda sasa tangu mabishano juu ya uwepo wa mungu kuzuka humu ndani na kutokea kwa makundi moja linaamini juu ya uwepo wa kiumbe huyo... Na lingne halisadiki hamadani...
Wakuu salamu.
Kwa wale wataalamu wa maswala ya ushushushu, upelelezi n.k
Je,huyu jamaa anayejifanya anaipenda Tanzania kuliko sisi wazawa hawezi kuwa na elements zozote zile za kipelelezi...
KUZALIWA NA KUFA KWA CIA WA ZAMANI WA MAREKANI SADDAM HUSSEIN
-Mwaka 1959 Sadam Hussein alielekea Misri baada ya kushindwa mapinduzi ya kumuondoa rais General Qassim.
-A lipokuwa Cairo Misri...
Naileta hii hoja, ntatoa ujuzi wangu nilionao juu ya hizi Binaural beats, kwa wenye ujuzi zaidi wanaweza kuchangia, criticizing pia inaruhusiwa, ni kwa ajili ya watu kujifunza na kuweza kufikia...
Sasa naweza amini kuwani kweli mtu mweusi yawezekana akawa ana mchango ama ndo chimbuko la usraarabu Duniani.
Nimestaajabu katka pitapita yangu katika kujisomea makala nikakuta kuna wachina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.