Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

UPANDE wa kushoto namuona Chinua Achebe, gwiji wa fasihi ya kiafrika ambaye vitabu vyake vinatumika kwenye shule na vyuo mbalimbali ulimwenguni. Lakini kwa upande wa kulia macho yangu yanatua kwa...
8 Reactions
12 Replies
2K Views
HUU NDIO MUUNDO WA KIJESHI KWA MAJESHI YOTE DUNIANI Katika ulimwengu wa Kijeshi kuna mfanano mkubwa sana ambao watu wengi hasa 'Raia Wema' hawafahamu. Labda tu niseme tu wazi kuwa mimi...
78 Reactions
318 Replies
69K Views
Miezi kadhaa iliyopita tulishuhudia 'ziara ya kihistoria' ambapo *Kim Jong-Un*, Rais wa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea (Korea Kaskazini) akikutana na Rais wa Jamhuri ya Korea...
9 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu WanaJamii, nadhani tu wazima sisi ni jambo la kumshukuru manani. Mwenye ujuzi nilikuwa nataka atufafanulie maana ya Philosophy (Falsafa). na vipi mtu awe Philosopher (MwanaFalsafa) kama...
2 Reactions
46 Replies
39K Views
Habari ya mchana ndugu mpendwa mfuatiliaji wa makala zetu mablimbali zenye kukupa ufahamu juu ya maradhi mbalimbali yanayoizunguka jamii yetu,iwe ni maradhi yanayotokana na nmazingira...
6 Reactions
80 Replies
26K Views
SOCRATES Wengi tumemsikia au kumsoma Socates kwenye elimu,falsafa,kwenye saikolojia ,siasa na fasihi lakini ni wachache ambao waliamua kwenda ndani Zaidi kumwangalia huyu Socrates ni nani. Huyu...
31 Reactions
48 Replies
17K Views
Hodi humu, nimetoroka MMU kidogo nipate ufafanuzi... Jana nilioangalia tukio la uwanja wa ndege ukifunguliwa rasmi na mkuu wa nchi. Mambo mengi yalitukia pale Ila naombeni mnifafanulie kitu...
19 Reactions
119 Replies
18K Views
Kuna baadhi ya watu huaminisha watu kuwa dini yao ni ya kweli na bila hiyo dini huwezi ona mbingu na ukiangalia dini na watu cha kwanza ni watu na dini zilikuja kwa baadae sasa je waliokufa...
23 Reactions
243 Replies
30K Views
WAKALA WA KUZIMU ALIYETUMWA NA MAFIA Kuna mambo ambayo tumezoea kuyaona kwenye filamu, tukaishia kufurahia, kusimuliana na kukumbushana. Mambo haya wakati tunasimuliana huwa tunaamini yapo tu...
43 Reactions
120 Replies
16K Views
Mlinzi wa Rais wa Tanzania huwa anachaguliwa na rais mwenyewe au kuna utaratibu mwingine unatumika kumpata? Je, Mlinzi huyu anakuwa na likizo? Kama hana likizo, Je, Anapataje muda wa kujamiiana...
24 Reactions
213 Replies
84K Views
As-salaam alaykum, Amani iwe nanyi. Leo ninawaletea picha za video na picha mnato kuhusu namna wanawake wanavyojihusisha katika majeshi ya ulinzi na usalama. Nitajikita hapa Afrika mashariki...
12 Reactions
433 Replies
68K Views
Habari zenu wakuu kuna hali huwa inanitokea ya kufananishwa na watu tofauti tofaut wengine nawafaham na nisio wafaham, nimeona nije nishee hapa pengine kuna jambo ila mi ndo silijui, Nitaweka...
3 Reactions
65 Replies
8K Views
Naandika huu Uzi kwa majonzi baada ya kuona dada zetu wakichukuliwa nchi za Afrika kama Tanzania Kenya Uganda Sudan etc. Na kuchukuliwa wakipelekwa nchi mbalimbali wakiahidiwa kazi na makazi na...
8 Reactions
7 Replies
1K Views
Kanisa la Sabato mwanzilishi mwanamke. Vitabu wanavyotumia vya huyo mwanamke Helen White. Kwa nini hawawapi uchungaji wanawake? Wakati huyo Mama White ndie mhimili wa imani ya kisabato?
17 Reactions
265 Replies
56K Views
Wakuu kuna usafiri wa aina kadhaa ktk Dunia yetu,kama nilivyotaja hapo juu. Kuna wakati majira ya mvua nyingi na kali ukiwa kwenye gari huwa hata wiper zinashindwa kufuta kioo vizuri na...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Habari za mida wakuu... Ni muda sasa tangu mabishano juu ya uwepo wa mungu kuzuka humu ndani na kutokea kwa makundi moja linaamini juu ya uwepo wa kiumbe huyo... Na lingne halisadiki hamadani...
0 Reactions
455 Replies
33K Views
  • Redirect
Wakuu salamu. Kwa wale wataalamu wa maswala ya ushushushu, upelelezi n.k Je,huyu jamaa anayejifanya anaipenda Tanzania kuliko sisi wazawa hawezi kuwa na elements zozote zile za kipelelezi...
0 Reactions
Replies
Views
KUZALIWA NA KUFA KWA CIA WA ZAMANI WA MAREKANI SADDAM HUSSEIN -Mwaka 1959 Sadam Hussein alielekea Misri baada ya kushindwa mapinduzi ya kumuondoa rais General Qassim. -A lipokuwa Cairo Misri...
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Naileta hii hoja, ntatoa ujuzi wangu nilionao juu ya hizi Binaural beats, kwa wenye ujuzi zaidi wanaweza kuchangia, criticizing pia inaruhusiwa, ni kwa ajili ya watu kujifunza na kuweza kufikia...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Sasa naweza amini kuwani kweli mtu mweusi yawezekana akawa ana mchango ama ndo chimbuko la usraarabu Duniani. Nimestaajabu katka pitapita yangu katika kujisomea makala nikakuta kuna wachina...
6 Reactions
29 Replies
9K Views
Back
Top Bottom