padlock
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 329
- 509
Wakati tuko shule ya Tulifundishwa historia ya vitu mbali mbali hasa kuhusu sisi waafrika na mambo yetu, mojawapo ya hoja au misingi ya somo hili ni kuelezea ugunduzi wa vitu mbali mbali na wazungu vilivyomo uku kwetu barani Afrika
Msingi huu ulipelekea somo hili kutuelezea mambo meengi ya ugunduzi wa wazungu kutambua maliasili na rasilimali zetu, lakini swali ni Je hayo yote yalikuwa kweli???
Tuanze kwa kuangalia mzungu wa kwanza kuuona mlima Kilmanjaro kulingana na msingi wa somo alikuwa John Rebman lakini je ni nani alieweza kujua kuwa huyu ni John Rebman?? na ni kweli hakukuwa na mwingine aliewahi kuuona kabla yake?? na nn kilitumika kupeleka huyu kutamkwa wa kwanza?
Si hayo tu ni mengi sana yanahitaji LOGICAL REASONING KUAMINI WANACHOSEMA.
Msingi huu ulipelekea somo hili kutuelezea mambo meengi ya ugunduzi wa wazungu kutambua maliasili na rasilimali zetu, lakini swali ni Je hayo yote yalikuwa kweli???
Tuanze kwa kuangalia mzungu wa kwanza kuuona mlima Kilmanjaro kulingana na msingi wa somo alikuwa John Rebman lakini je ni nani alieweza kujua kuwa huyu ni John Rebman?? na ni kweli hakukuwa na mwingine aliewahi kuuona kabla yake?? na nn kilitumika kupeleka huyu kutamkwa wa kwanza?
Si hayo tu ni mengi sana yanahitaji LOGICAL REASONING KUAMINI WANACHOSEMA.