Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Nianze kwa kuweka pembeni mafundisho ya dini yoyote kuhusu Mungu. Nitakupa maana yangu niliyoibuni nilipokuwa mdogo chini ya miaka 10. Nilimuuliza Bibi yangu mzaa Baba: Sisi tumeumbwa na Mungu...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Dunia imegawanyika katika sehemu kuu tatu. 1.Vitu halisi vinavyoweza kuthibitishwa na milango ya fahamu ya binadamu mfano kiti,mlima, nguo,nyumba,mnyama,binadamu mwenzako,nyota,sayari n.k.Pia...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za wakati huu ni matumaini yangu kuwa Jumamosi yenu inakwenda vyema kabisa. Naombeni kuleta uzi kuhusu familia hii ya kipekee kidogo katika uso Wa dunia. Karibuni. Hii ni familia ya Bwana...
7 Reactions
27 Replies
8K Views
Angalia vitu vyote katika maendeleo yao na mageuzi yao, hewa ni ya lazima. Michakato yote ya viumbe haiwezekani bila uwepo wa hewa. Kitalaamu hewa inaelezwa kuwa ni mkusanyiko wa gesi mbalimbali...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Wengi watajiuliza baada ya kusoma kichwa cha habari. Je, ni kitabu gani hicho haswaa cha wahenga kilichomaanishwa hapa? Jibu ni rahisi kuwa kitabu kilichomaanishwa ni hicho hicho maarufu zaidi...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
'Leo ntazungumzia mada tata kidogo ya kifo maana kamwe hata mwanasayansi hawezi thibitisha undani wake si kwa sababu haiwezekani la hasha hakuna aliye tiyari kutangulia na madamu ukienda huko ndo...
4 Reactions
60 Replies
8K Views
Heshima kwenu wakuu; Katika ulimwengu huu tunaoishi ambao teknolojia ya mawasiliano imekuwa ikipanuka na kushamiri kwa kasi kiasi cha kufanya dunia kuwa kama kijiji kwa kuwaunganisha watu kupitia...
5 Reactions
32 Replies
9K Views
Rupia pamoja hela fulani za zamani ambazo zinatafutwa sana na watu hata kwakununuliwa kwa mabilioni ya fedha kuna uhusiano fulani na baraka za kutoka kwa mungu.Hili swala nalizungumzia kwa...
14 Reactions
23 Replies
15K Views
Kwa nini dini ya Kikristo imeweza kupata mafanikio makubwa kwa maana ya kuwa na idadi kubwa ya wafuasi kuliko dini zozote zilizoitangulia ? Inakadiriwa ukirsto una idadi ya wafuasi bilioni 2.3,hii...
7 Reactions
75 Replies
8K Views
Jamani, nasikia Usalama wa Taifa ni watu makini sana na nadhifu,na wana siri kuu za dunia. Sasa ikiwa unataka kumuoa, anaruhusiwa kukueleza siri za nchi kwakuwa mmekuwa mwili mmoja na unampataje...
4 Reactions
37 Replies
11K Views
Ebu Leo tuambizane ukweli hapa!! Hivi ni kweli kabisa Dunia imeshindwa kuwakamata waliotengeneza kirusi cha korona? Mataifa makubwa wameshindwaje kung'amua mipango ya uaandaaji wa kirusi hiki...
3 Reactions
43 Replies
7K Views
Jina la Kitabu. Tough Times Never Last, But Tough People Do! Mwandishi. Robert H. Schuller Mchambuzi. Nanyaro EJ Utangulizi Mwandishi anasema kuwa Mwenyenzi Mungu amempa mwongozo mzuri na...
9 Reactions
15 Replies
5K Views
Habari wakuu napenda kuwadokeza asili ya mwanadamu wa kwanza kuumbwa dunia na highly supreme being au jina lingine GOD ama the source of creation without been created. Mwanadamu wa kwanza...
6 Reactions
447 Replies
29K Views
Leo nitapenda nizungumzie usingizi kwa mtizamo wa kujikita upande wa ndoto ambazo tunaamini ubeba jumbe au tafsiri fulani ni kwanini tunapolala uota ndoto za namna fulani na ndoto hizo huwa na...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Kitabu.Parenting with Love and logic Mwandishi.Foster Cline & Jim Fay Mchambuzi.Nanyaro EJ Utangulizi Mwandishi anasema kuwa swala la malezi ni mjadala mpana na ambao hakuna njia moja...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
MINAMATA DISEASE Ugonjwa uliogundulika kwa mara ya kwanza sehemu iliyoitwa Minamata kwenye mji wa Kumamoto huko Japan mwaka 1956. Nini chanzo za ugonjwa wa Minamata? Tarehe 21 april mwaka 1956...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Nijuavyo wapo binadamu baadhi wameyajua matamanio ya binadamu kiujumla!,namaanisha wanajua ubongo wa binadamu unataka kusikia nini..? Unafikiria nini juu ya mambo mtambuka na binadamu anahisia...
10 Reactions
120 Replies
17K Views
Inasemekana wakati wa ubaguzi wa rangi Africa ya kusini serikali ya makaburu ilikuwa na silaha za nyuklia. Ilikuwa inajiandaa iwapo mataifa huru yangeungana na kuivamia. Wakati Pakistan...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Zamani wazungu walikuwa wanawabagua wajapani wakiwaita nyani. Lakini baada ya wajapan kuendelea na kuonyesha mambo wanayoweza kufanya kumekuwa na heshima kubwa sana kati yao. Wajapan wenyewe...
12 Reactions
18 Replies
3K Views
Najaribu kutafakari hii namba saba lakini ina niweka kunywe kutafakari zaidi hata kiimani zaidi. Si geni kwa wale wanao jua dini kusikia kwenye vitabu biblia na Quran ikitaja siku saba za umbaji...
3 Reactions
29 Replies
8K Views
Back
Top Bottom