Title yangu inaeleweka vyema. Kwamba ufalme ukiwa sehemu hauwezi kukubali kutumia ili ujifitini kupata mshindani.
Sasa kwenye vitabu vitakatifu kuna sehemu kumeandikwa mungu wa dunia hii. Alafu...
EPUKANA NA WATU WENYE SIFA HIZI 6 KWA AJILI YA AFYA YAKO YA AKILI
Afya ya akili siyo kipaumbele kwa watu wengi kwa sababu wengi huamini elimu ya darasani inatosha
Kama na wewe unaamini elimu ya...
Nilikuwa najaribu kutafakari kwa kina mimi Deogratius Nalimi Kisandu kuwa ikiwa Historia ya Ukristo na Dini kuu inaonekana kuwa Dini hizo zilianzia katika Matifa ya ISRAEL na PALESTINA ambako...
Wakuu salaam
Ninaomba wajuzi wa mambo watusaidie,nimejaribu kupitia tafiti mbalimbali kuhusu lini hasa binadamu alianza kuongea(kutamka maneno) na ilikuwaje,neno la kwanza lilikiwa nini!
Nini...
Karl Friedrich Benz alizaliwa tar. 25 Novemba 1844 akiitwa Karl Friedrich Michael Vaillant huko Mühlburg / Karlsruhe Ujerumani wa Kusini Magharibi.
Baada ya kumzaa mamake Josephine Vaillant...
1990 BLUE CHEVROLET CAPRICE SEDAN & 23 DAYS OF TERROR IN WASHINGTON: Wadunguaji (Snipers) walitoboa tundu dogo nyuma ya boot la gari na kusambaza hofu kubwa ya mauaji
D.C. Sniper Attacks (pia...
Aga Khan family
By Simon Mkina
Bank accounts owned by an individual whose documents at the Barclays Bank show is a Tanzanian, have been used to launder 176 million US dollars from Aga Khan...
Rais Magufuli
Kuna video ndogo inazunguka mitandao ya whatsapp. Inamwonyesha Rais Magufuli akihutubia watu wasioonekana akiwa amesimama kwenye jukwaa fulani.
Kuna nembo ya Bibi na Bwana...
Matatizo mengi tunayoyapitia ya kisiasa, kiuchumi na kijamii yametokana na mifumo tuliyonayo kama nchi na wananchi, pamoja na mifumo iliyojengwa "na dunia".
Bara la Afrika lilikuwa na mifumo yake...
The Saga Of Subcontracted Hit Men For Hire Who Outsourced Murder: Mtandano wa wauaji wa kukodisha waliouziana tenda ya mauaji kiasi cha Dollar 282,600.
Ndugu zangu watanzania, hii story ni fupi...
The world's largest cruise ship - Royal Caribbean International's Oasis of the Seas - has made her UK debut in Southampton.
These spectacular pictures show some of the state-of-the-art facilities...
Kumekuwa na Gumzo kubwa duniani kufuatia nadharia inayodai kuwepo kwa uwezekano wa kusafiri kwenye muda (Time travel).
Ingawa kuna mvutano mkubwa juu ya ukweli wa hili jambo kwa upande wangu...
Soviet Union Female Assassins: Majasusi wa kike wa K.G.B na silaha ndogo ya hatari sana iliyoitwa "Lipstick Pistol" (The Kiss of Death)
UTANGULIZI
=====
Mnamo mwaka 1969 bwana Markov akaondoka...
Katika vitu nilivopitia cha kwanza ni mawasiliano ndio mkate wangu wa kila siku popote na kokote.kila siku teknolojia kutaka kufikisha huduma popote kwa wakati kwa njia yoyote tu ili mtumiaji...
Katika karne ya nne dola ya Rumi ilikuwa kwenye machafuko na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe, Mapigano hayo yalikuwa kati ya mfalme Constantine na mfalme Licinus wa Balkans.
Mbali na vita vya...
Kumekuwa na uvumbuizi na uendelezi mwingi katika teknolojia ambayo kwa sasa ni ngumu kuzungumzia pasipo kusikia jina la Elon Musk. Kwa wale wanaopenda kufuatilia teknolojia bila shaka watakuwa...
Kuna jamii za waafrika weusi (especially wamisri wa kale) ambazo huko zamani sana walikua wanamchukia na wanabishana sana na Mungu wa Israel (na watakatifu wake) na walikua na akili sana...
Kuna mzee wangu mmoja napenda kukaa nae mtaani kwangu kubadilishana mawazo yeye amezaliwa miaka ya nyuma kidogo na bahati nzuri amesoma sana na amefanikiwa kufundishwa na wazungu na kusoma vyuo...
Moja ya kauli ambazo watu wengi hutumia kujiplease pale wanapofanya jambo baya ni hii ya shetani kumpitia mtu.
Huwa najiuliza unakuwa wapi pale hichi kitu kinachoitwa shetani kinapokupitia?
Je...
Waafrika tunahitaji kuthamini uhai na utu wetu Kati yetu na ndipo tutapata heshima, tukifanyiana unyama tunaonekana Kama wanyama na hata wengine hawataona tabu kutuua Kama wanyama.
Baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.