Namba saba ina nini !!

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,720
Najaribu kutafakari hii namba saba lakini ina niweka kunywe kutafakari zaidi hata kiimani zaidi.

Si geni kwa wale wanao jua dini kusikia kwenye vitabu biblia na Quran ikitaja siku saba za umbaji.
Lakini ki sayansi kupata ardhi leya saba kushuka chini.
IMG_2774.jpg


Angani napo ni saba
IMG_2775.jpg



Ukija kwenye ngozi kuna layer saba
IMG_2776.jpg


Kuna neno kitaalamu DNA lakini utambulika kujua vina saba(7)

Mpaka kujua mwisho wa ulimwengu wa anga lazima umalize mbingu saba
IMG_2773.jpg


Na hii nimoja inayotambulika
IMG_2772.jpg


Je na lile neno msamehe saba mara sabini

Tuchambueni jamani
Wanazengo
 
Kibiblia 7 inamaanisha 'ukamilifu' hata neno 'saba' ni la kiebrania na maana yake ni utimilifu/satisfaction/completeness

Ndomana kuna
Makanisa saba ya ufunuo.
kila baada ya miaka 7 waisrael ilibidi wasamehe madeni na kachia watumwa.
Naamani aliambiwa na Elisha akaoge mtoni mara 7.
Waisrael waliuzunguka Jeriko mara saba, kwa siku saba wakiwa na Tarumbeta saba.

Ufunuo imejaa saba,Kuna malaika saba,mihuri saba,Tarumbeta saba,vikombe saba,Taa saba nk. nk.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inamaana kama Mungu aliumba Na Alipomaliza ikawa ndio siku ya saba kuna tatzo kwani????
...Kama MUNGU angeamua kuumba taratibu kuna uwezekano mkubwa angemalizia uumbaji siku ya kumi,

...Hiyo Samehe saba mara sabini kwani ina shida gani? mbona minaona ni neno la kawaida sana? hiyo maana yake nikwamba samehe mara nyingi,

Mnapenda kujitwisha mizigo kibaaao bure
 
Najaribu kutafakari hii namba saba lakini ina niweka kunywe kutafakari zaidi hata kiimani zaidi.

Si geni kwa wale wanao jua dini kusikia kwenye vitabu biblia na Quran ikitaja siku saba za umbaji.
Lakini ki sayansi kupata ardhi leya saba kushuka chini.
View attachment 1646318

Angani napo ni saba
View attachment 1646319


Ukija kwenye ngozi kuna layer saba
View attachment 1646321

Kuna neno kitaalamu DNA lakini utambulika kujua vina saba(7)

Mpaka kujua mwisho wa ulimwengu wa anga lazima umalize mbingu saba
View attachment 1646329

Na hii nimoja inayotambulikaView attachment 1646331

Je na lile neno msamehe saba mara sabini

Tuchambueni jamani
Wanazengo
7 bwana kuupata undani wake ni ngumu sana.

Kwa kabila la wakurya huwezi kutoa mahari ya ng'ombe saba, huwezi kufanya sherehe yoyote mwezi wa saba, huwezi kumpa mtu zawadi yoyote yenye namba au jumla ya vitu saba nk. Kwa hiyo hii namba 7 ina siri kubwa sana.
 
7 bwana kuupata undani wake ni ngumu sana.

Kwa kabila la wakurya huwezi kutoa mahari ya ng'ombe saba, huwezi kufanya sherehe yoyote mwezi wa saba, huwezi kumpa mtu zawadi yoyote yenye namba au jumla ya vitu saba nk. Kwa hiyo hii namba 7 ina siri kubwa sana.
Ukuryani hata kabla ya hizi dini hazijajja walikuwa wakianza msimu wa kazi, siku ya saba wanapumzika
 
Kibiblia 7 inamaanisha 'ukamilifu' hata neno 'saba' ni la kiebrania na maana yake ni utimilifu/satisfaction/completeness

Ndomana kuna
Makanisa saba ya ufunuo.
kila baada ya miaka 7 waisrael ilibidi wasamehe madeni na kachia watumwa.
Naamani aliambiwa na Elisha akaoge mtoni mara 7.
Waisrael waliuzunguka Jeriko mara saba, kwa siku saba wakiwa na Tarumbeta saba.

Ufunuo imejaa saba,Kuna malaika saba,mihuri saba,Tarumbeta saba,vikombe saba,Taa saba nk. nk.


Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom