Ebu Leo tuambizane ukweli hapa!!
Hivi ni kweli kabisa Dunia imeshindwa kuwakamata waliotengeneza kirusi cha korona?
Mataifa makubwa wameshindwaje kung'amua mipango ya uaandaaji wa kirusi hiki hadi project ikakamilika?
Ukiangalia mtandaoni zipo video nyingi sana ikiwemo (Contagious) zilizotabiri ugonjwa huu unavyosambaa kwa njia ya hewa, je mataifa makubwa wameshindwaje kuwahoji hawa watu walioandaa hizo video?
Zipo kauli za matajiri akiwemo Billgates alinukuliwa kushabikia ugonjwa huu, je amewahi kuhojiwa kwa lolote?
Haya kirusi cha kwanza kimetoka kimya, cha pili kilichoboreshwa nacho kimekuja kwa kasi, kimyaaa!
Inamaana Dunia imeshindwa kabisa kujua hata ilipo maabara hii ya hawa waharamia?
Ulinzi wa Dunia uko wapi?
Hawa wahuni wanavyotupelekesha hivi wanalipwa na nani?
Kuna project nyingine Lukuki za hatari zipo maabara, je Dunia huwa haioni mapema mambo haya? Mfano project ya (IJUE KESHO YAKO LEO)! Ni project itakayoongeza machafuko kama ikikamilika!
Je; ni kweli hawa watu hawakamatiki kuinusuru Dunia?
Hivi ni kweli kabisa Dunia imeshindwa kuwakamata waliotengeneza kirusi cha korona?
Mataifa makubwa wameshindwaje kung'amua mipango ya uaandaaji wa kirusi hiki hadi project ikakamilika?
Ukiangalia mtandaoni zipo video nyingi sana ikiwemo (Contagious) zilizotabiri ugonjwa huu unavyosambaa kwa njia ya hewa, je mataifa makubwa wameshindwaje kuwahoji hawa watu walioandaa hizo video?
Zipo kauli za matajiri akiwemo Billgates alinukuliwa kushabikia ugonjwa huu, je amewahi kuhojiwa kwa lolote?
Haya kirusi cha kwanza kimetoka kimya, cha pili kilichoboreshwa nacho kimekuja kwa kasi, kimyaaa!
Inamaana Dunia imeshindwa kabisa kujua hata ilipo maabara hii ya hawa waharamia?
Ulinzi wa Dunia uko wapi?
Hawa wahuni wanavyotupelekesha hivi wanalipwa na nani?
Kuna project nyingine Lukuki za hatari zipo maabara, je Dunia huwa haioni mapema mambo haya? Mfano project ya (IJUE KESHO YAKO LEO)! Ni project itakayoongeza machafuko kama ikikamilika!
Je; ni kweli hawa watu hawakamatiki kuinusuru Dunia?