Fahamu sehemu kuu tatu za mgawanyo wa ulimwengu unaoishi

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,558
46,099
Dunia imegawanyika katika sehemu kuu tatu.

1.Vitu halisi vinavyoweza kuthibitishwa na milango ya fahamu ya binadamu mfano kiti,mlima, nguo,nyumba,mnyama,binadamu mwenzako,nyota,sayari n.k.Pia vitu kama hewa,umeme,radi ambavyo kuna njia za kisayansi kuweza kuvipima.Hivi ni vitu ambavyo ni dhahiri na havitegemei utamaduni au hadithi za binadamu kuwepo kwake.

2.Vitu/hali visivyo halisi ambavyo vimejengwa tu katika akili za watu mfano dini, taifa, utamaduni, uzalendo, Taifa, mifumo ya kifedha.Hizi ni dhana ambazo wanadamu wameziunda kutokana na kuambiana story kwa muda mrefu lkn sio vitu halisi hasa bali vilivyoundwa katika fikra za binadamu tu, nje ya hapo havipo,sio vitu halisi.

Kwa upana zaidi ni kwamba huwezi kuliona Taifa,japo kuna watu wanakufa katika vita kwa sababu ya mataifa yao.Huwezi kuliona kampuni japo kila siku watu wanaenda kufanya kazi kwenye kampuni zao, huwezi kuuona uzalendo japo umekuwa ni wimbo katika kila taifa.Hivi vyote ni vitu ambavyo binadamu wamekubaliana tu viwepo baada ya hadithi nyingi wakati wowote wanapokubalina visiwepo au wakafarana kwa kiwango cha juu huwa vinatoweka.Hivyo ni dhahiri ni vitu vilivyo katika fikira za binadamu tu ila sio vitu dhahiri.

3.Vitu/hali zilizo katikati ya vitu halisi na visivyo halisi mfano hisia za mapenzi, huruma, ndoa, familia, aibu, haya n.k

Vitu vilivyo katika kundi namba mbili na tatu ndivyo vinavyoitwa utaratibu wa ulimwengu(order) na ndivyo vinavyoathiri maisha ya binadamu katika kukaa pamoja.
 
Mkeka (mada umeifupisha sana) ungetudadavulia bayana...
Dunia imegawanyika katika sehemu kuu tatu

1.Vitu halisi vinavyoweza kuthibitishwa na milango ya fahamu ya binadamu mfano kiti,mlima, nguo,nyumba,mnyama,binadamu mwenzako,nyota,sayari n.k.Pia vitu kama hewa,umeme,radi ambavyo kuna njia za.kisayansi kuweza kuvipima.

2.Vitu/hali visivyo halisi ambavyo vimejengwa tu katika akili za watu mfano dini, taifa, utamaduni, uzalendo, nchi, mifumo ya kifedha.Hizi ni dhana ambazo wanadamu wameziunda kutokana na kuambiana story kwa muda mrefu lkn sio vitu halisi hasa bali dhahania tu.

3.Vitu/hali zilizo katikati ya vitu halisi na visivyo halisi mfano hisia za mapenzi, huruma, familia, aibu, haya n.k
 
Dunia imegawanyika katika sehemu kuu tatu

1.Vitu halisi vinavyoweza kuthibitishwa na milango ya fahamu ya binadamu mfano kiti,mlima, nguo,nyumba,mnyama,binadamu mwenzako,nyota,sayari n.k.Pia vitu kama hewa,umeme,radi ambavyo kuna njia za.kisayansi kuweza kuvipima.

2.Vitu/hali visivyo halisi ambavyo vimejengwa tu katika akili za watu mfano dini, taifa, utamaduni, uzalendo, nchi, mifumo ya kifedha.Hizi ni dhana ambazo wanadamu wameziunda kutokana na kuambiana story kwa muda mrefu lkn sio vitu halisi hasa bali dhahania tu.

3.Vitu/hali zilizo katikati ya vitu halisi na visivyo halisi mfano hisia za mapenzi, huruma, familia, aibu, haya n.k
Namba 2 hapo subiri waje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hujaongelea dunia ya giza na mambo yake basi bandiko litasalia burudani chai.
 
Kuna kitu nimekiona kiko namba 2 (uzalendo) na kama kipo tena namba 3(hisi za mapenzi) japokuwa misamiati ni fofauti.

Kwangu mimi uzalendo ni hali yakupenda kitu na kuwa tayari kufanya lolote juu ya hicho kitu. Mfano unaposema mimi ni mzalendo unamaanisha wewe unapenda kitu fulani kinachopendwa na wengi mfano labda waipenda tanzania inayopenda wa watanzania na uko tayari kufanya lolote juu ya hiyo hali ya uzalendo uliyonayo juu ya tanzania.

Sasa upande wa pili wa hisi za mapenzi naona ni sawa na uzalendo , maana hisia au upendo wa kitu fulani hutofautiana mtu mmoja na mwingine. Utakutana na mtu ni mtanzania anipenda nchi yake hata kufikia mahali kuamua kupigana , na vivyo hivyo kwenye mapenzi nwingine yeye yuko tayari kunywa hata sumu juu ya hali ya hisia aliyonayo kwenye kitu anachokipenda.

Mimi naona point ya uzalendo na hizi za mapenzi zote kama zinaingilia kutokana na hali ambazo hazielezeki na hutofautiana mtu na mtu


Ni mtazamo tuu !
 
Kuna kitu nimekiona kiko namba 2 (uzalendo) na kama kipo tena namba 3(hisi za mapenzi) japokuwa misamiati ni fofauti.

Kwangu mimi uzalendo ni hali yakupenda kitu na kuwa tayari kufanya lolote juu ya hicho kitu. Mfano unaposema mimi ni mzalendo unamaanisha wewe unapenda kitu fulani kinachopendwa na wengi mfano labda waipenda tanzania inayopenda wa watanzania na uko tayari kufanya lolote juu ya hiyo hali ya uzalendo uliyonayo juu ya tanzania.

Sasa upande wa pili wa hisi za mapenzi naona ni sawa na uzalendo , maana hisia au upendo wa kitu fulani hutofautiana mtu mmoja na mwingine. Utakutana na mtu ni mtanzania anipenda nchi yake hata kufikia mahali kuamua kupigana , na vivyo hivyo kwenye mapenzi nwingine yeye yuko tayari kunywa hata sumu juu ya hali ya hisia aliyonayo kwenye kitu anachokipenda.

Mimi naona point ya uzalendo na hizi za mapenzi zote kama zinaingilia kutokana na hali ambazo hazielezeki na hutofautiana mtu na mtu


Ni mtazamo tuu !
Kuna mguinea Bissau mmoja alipigana na mnigeria kisa huyu mpopo aliikandia Guiné Bissau
 
Kuna kitu nimekiona kiko namba 2 (uzalendo) na kama kipo tena namba 3(hisi za mapenzi) japokuwa misamiati ni fofauti.

Kwangu mimi uzalendo ni hali yakupenda kitu na kuwa tayari kufanya lolote juu ya hicho kitu. Mfano unaposema mimi ni mzalendo unamaanisha wewe unapenda kitu fulani kinachopendwa na wengi mfano labda waipenda tanzania inayopenda wa watanzania na uko tayari kufanya lolote juu ya hiyo hali ya uzalendo uliyonayo juu ya tanzania.

Sasa upande wa pili wa hisi za mapenzi naona ni sawa na uzalendo , maana hisia au upendo wa kitu fulani hutofautiana mtu mmoja na mwingine. Utakutana na mtu ni mtanzania anipenda nchi yake hata kufikia mahali kuamua kupigana , na vivyo hivyo kwenye mapenzi nwingine yeye yuko tayari kunywa hata sumu juu ya hali ya hisia aliyonayo kwenye kitu anachokipenda.

Mimi naona point ya uzalendo na hizi za mapenzi zote kama zinaingilia kutokana na hali ambazo hazielezeki na hutofautiana mtu na mtu


Ni mtazamo tuu !
Yaah!
 
Kuna kitu nimekiona kiko namba 2 (uzalendo) na kama kipo tena namba 3(hisi za mapenzi) japokuwa misamiati ni fofauti.

Kwangu mimi uzalendo ni hali yakupenda kitu na kuwa tayari kufanya lolote juu ya hicho kitu. Mfano unaposema mimi ni mzalendo unamaanisha wewe unapenda kitu fulani kinachopendwa na wengi mfano labda waipenda tanzania inayopenda wa watanzania na uko tayari kufanya lolote juu ya hiyo hali ya uzalendo uliyonayo juu ya tanzania.

Sasa upande wa pili wa hisi za mapenzi naona ni sawa na uzalendo , maana hisia au upendo wa kitu fulani hutofautiana mtu mmoja na mwingine. Utakutana na mtu ni mtanzania anipenda nchi yake hata kufikia mahali kuamua kupigana , na vivyo hivyo kwenye mapenzi nwingine yeye yuko tayari kunywa hata sumu juu ya hali ya hisia aliyonayo kwenye kitu anachokipenda.

Mimi naona point ya uzalendo na hizi za mapenzi zote kama zinaingilia kutokana na hali ambazo hazielezeki na hutofautiana mtu na mtu


Ni mtazamo tuu !
Uko sawa
 
Back
Top Bottom