JANGWA LA SAHARA; MAMA WA MAJANGWA YOTE DUNIANI.
Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Thursday- 18/02/2021
Marangu, Kilimanjaro, Tanzania
Jangwa la sahara ndio Jangwa kubwa zaidi barani Afrika, Pia...
Uchina nitaifa linalokuja kwa kasi duniani, nanaona linahitaji kutambulika kuwa ni taifa lenye uwezo kama yalivyo mataifa makubwa kama marekani, uingereza na urusi. Kwa namna China inavyoenenda...
KUIPER BELT
Kadiri tunavyoendelea kuwepo kwenye dunia hii tunaendelea kupata kujua mengi sana kuhusiana na mazingira yetu na yale yote ambayo yanatuzunguka.Ukiacha maswali mengi ambayo binadamu...
LIMAO, TANGAWIZI NA SAYANSI
Limao, ndimu, tangawizi, vitunguu maji na vitunguu swaumu nk. ni viungo vya chakula vyenye faida kedekede za kiafya. Kuwa na faida kedekede za kiafya hakumaanishi ndio...
The most striking part of this story is her description of daily life during the Third Reich and then during the war in Europe (1939-1945). Her account reminds me of the way my own grandmother...
Licha ya mabadiliko mbalimbali katika nyakati ni dhahiri kabisa kuna baadhi ya tamaduni za imani za kale kwa miaka maelfu kadhaa zimeendelea kudumu nakubaki kuwa misingi ya imani kuu za walio...
habari vipi wadau
Jarida moja la times nimelisoma wiki iliopita nimejionea mambo amabayo wazungu hasa usa na canada mambo waliyoandaa kufanyika miaka 2000 ijayo nimependa nileta humu na nyie...
Miaka ya nyuma kuanzia 2009 kuna huduma vpn ilitamba sana mpaka zile kampuni kama PD proxy
Sio ngeni kwa walio kuwa wanatumia huduma hii na n.k
Huduma hii ilitamba sana kwa watumiaji wa data...
Nianze kwa kuweka pembeni mafundisho ya dini yoyote kuhusu Mungu.
Nitakupa maana yangu niliyoibuni nilipokuwa mdogo chini ya miaka 10.
Nilimuuliza Bibi yangu mzaa Baba: Sisi tumeumbwa na Mungu...
Dunia imegawanyika katika sehemu kuu tatu.
1.Vitu halisi vinavyoweza kuthibitishwa na milango ya fahamu ya binadamu mfano kiti,mlima, nguo,nyumba,mnyama,binadamu mwenzako,nyota,sayari n.k.Pia...
Habari za wakati huu ni matumaini yangu kuwa Jumamosi yenu inakwenda vyema kabisa.
Naombeni kuleta uzi kuhusu familia hii ya kipekee kidogo katika uso Wa dunia.
Karibuni.
Hii ni familia ya Bwana...
Angalia vitu vyote katika maendeleo yao na mageuzi yao, hewa ni ya lazima. Michakato yote ya viumbe haiwezekani bila uwepo wa hewa.
Kitalaamu hewa inaelezwa kuwa ni mkusanyiko wa gesi mbalimbali...
Wengi watajiuliza baada ya kusoma kichwa cha habari. Je, ni kitabu gani hicho haswaa cha wahenga kilichomaanishwa hapa?
Jibu ni rahisi kuwa kitabu kilichomaanishwa ni hicho hicho maarufu zaidi...
'Leo ntazungumzia mada tata kidogo ya kifo maana kamwe hata mwanasayansi hawezi thibitisha undani wake si kwa sababu haiwezekani la hasha hakuna aliye tiyari kutangulia na madamu ukienda huko ndo...
Heshima kwenu wakuu;
Katika ulimwengu huu tunaoishi ambao teknolojia ya mawasiliano imekuwa ikipanuka na kushamiri kwa kasi kiasi cha kufanya dunia kuwa kama kijiji kwa kuwaunganisha watu kupitia...
Rupia pamoja hela fulani za zamani ambazo zinatafutwa sana na watu hata kwakununuliwa kwa mabilioni ya fedha kuna uhusiano fulani na baraka za kutoka kwa mungu.Hili swala nalizungumzia kwa...
Kwa nini dini ya Kikristo imeweza kupata mafanikio makubwa kwa maana ya kuwa na idadi kubwa ya wafuasi kuliko dini zozote zilizoitangulia ? Inakadiriwa ukirsto una idadi ya wafuasi bilioni 2.3,hii...
Jamani, nasikia Usalama wa Taifa ni watu makini sana na nadhifu,na wana siri kuu za dunia.
Sasa ikiwa unataka kumuoa, anaruhusiwa kukueleza siri za nchi kwakuwa mmekuwa mwili mmoja na unampataje...
Ebu Leo tuambizane ukweli hapa!!
Hivi ni kweli kabisa Dunia imeshindwa kuwakamata waliotengeneza kirusi cha korona?
Mataifa makubwa wameshindwaje kung'amua mipango ya uaandaaji wa kirusi hiki...
Jina la Kitabu. Tough Times Never Last, But Tough People Do!
Mwandishi. Robert H. Schuller
Mchambuzi. Nanyaro EJ
Utangulizi
Mwandishi anasema kuwa Mwenyenzi Mungu amempa mwongozo mzuri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.