Soviet Union Female Assassins: Majasusi wa kike wa K.G.B na silaha ndogo ya hatari sana iliyoitwa "Lipstick Pistol" (The Kiss of Death)
UTANGULIZI
=====
Mnamo mwaka 1969 bwana Markov akaondoka...
Katika vitu nilivopitia cha kwanza ni mawasiliano ndio mkate wangu wa kila siku popote na kokote.kila siku teknolojia kutaka kufikisha huduma popote kwa wakati kwa njia yoyote tu ili mtumiaji...
Katika karne ya nne dola ya Rumi ilikuwa kwenye machafuko na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe, Mapigano hayo yalikuwa kati ya mfalme Constantine na mfalme Licinus wa Balkans.
Mbali na vita vya...
Kumekuwa na uvumbuizi na uendelezi mwingi katika teknolojia ambayo kwa sasa ni ngumu kuzungumzia pasipo kusikia jina la Elon Musk. Kwa wale wanaopenda kufuatilia teknolojia bila shaka watakuwa...
Kuna jamii za waafrika weusi (especially wamisri wa kale) ambazo huko zamani sana walikua wanamchukia na wanabishana sana na Mungu wa Israel (na watakatifu wake) na walikua na akili sana...
Kuna mzee wangu mmoja napenda kukaa nae mtaani kwangu kubadilishana mawazo yeye amezaliwa miaka ya nyuma kidogo na bahati nzuri amesoma sana na amefanikiwa kufundishwa na wazungu na kusoma vyuo...
Moja ya kauli ambazo watu wengi hutumia kujiplease pale wanapofanya jambo baya ni hii ya shetani kumpitia mtu.
Huwa najiuliza unakuwa wapi pale hichi kitu kinachoitwa shetani kinapokupitia?
Je...
Waafrika tunahitaji kuthamini uhai na utu wetu Kati yetu na ndipo tutapata heshima, tukifanyiana unyama tunaonekana Kama wanyama na hata wengine hawataona tabu kutuua Kama wanyama.
Baada ya...
Pichani ni Thomas Paine, huyu Alikuwa ni Mwanaharakati, Mwanasiasa na Mwanafalsafa kutoka Uingereza aliyeishi US, ni mmoja wa Wanasiasa wanaokumbukwa sana US kwa Mchango wake katika Mapinduzi ya...
Sijui watu wanafikilia nini !
Labda teknolojia kwao sasa ni kama kuwa nje ya ulimwengu.
Tetesi zilikuwa nyingi na majaribio yapo mengi lakini hayo yote kama kawaida zetu wa kubisha tupo.
Japani...
Kitendo cha kuwa nimelala usiku mmoja na nikawa naota ndoto na ndani ya ndoto hiyo nikawa nazungumzia matendo niliyofanya miaka mingi iliyopita huko huko ndotoni wakati matendo hayo sijawahi...
Sisi wanadamu tuna siri kubwa sana.
Kuna mada zinaweza kuleta mdaalo sana. Kwanini
Binadamu nje ya sayansi kama kuweza uchawi basi ujue sauti ya mungu kaweza kuchunguza sana na kujua sana.
Siyo...
Salamu wakubwa
Kila mara katika pitapita zangu kwenye mitandao na majarida ya ugunduzi wa teknolojia na habari za mambo ya “space” nimekuwa nakutana na jina la huyu jamaa ELON MUSK
Nimemwona...
Habari ndugu zangu,
Maswali yangu nitayafikisha kwa kuandikwa kwa kirefu kidogo.
Hivi ni nini huwa kinafanya nchi fulani kuwa na vyombo imara sana vya kijasusi?
Wanafanya kazi vema sana kuanzia...
Ni jambo la kushangaza sana kukuta kitu fulani kipo kila kona na miaka hiyo ilikuwa si rahisi kufikiana kufanya jambo kwa kuambizana,ila kuna vitu vinaweza kutufikirisha na kushindwa kuchambua...
Ni ngumu kufahamu kama utakuwa mfatiliaji wa mambo ya sayansi kiujumla.
Napo sema mbingu saba kisayansi tunasema ni matabaka saba ambayo ukiweza kuvuka basi utakuwa umetoka nje mbingu ya saba...
Habarin wana jamvi wa JF , natumain mpo poaa na mnaendeleaa na harakati za kulijenga taifa .
Niende moja kw moja kwenye mada husika..kuna hal ambayo inatokea katika maisha yangu ya kila siku watu...
AKIWA Kijana, alifanya tukio. Hakujuta. Na akasahau. Akaishi miaka 44 mingine. Ndipo akatokea mtu akamkumbusha kile alichokifanya. Akaumia. Akatamani asahihishe makosa yake. Hakupata fursa hiyo...
This was a while ago:
2005-04-26 22:02:07
By The Guardian Election Watch Team
Current President of Zanzibar AMANI ABEID KARUME has his incumbency facing a big challenge, both from within and...
Aokigahara au msitu wa kujiua au bahari ya miti ni msitu ambao una ukubwa wa 35 square- kilomita ambao uko karibu na milima ya fuji huko japan
msitu huu ni msitu ambao mbali ya kuwa ni kivutio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.