Ni vigumu sana kuelewa na wakati mgumu kutafuta,labda usubiri maoni au uzi tu.
Tuachane na hayo
Dunia ina kila ya kilichomo kama makusanyiko yaliyo ndani hapa.
Kueleza kwa mambo kama haya ni...
Straight to the topic.
Africans wengi wanaamini kwenye dini kuliko chochote kile hapa duniani.
Na watu wanaomini kwenye dini wanaamini wapo hapa duniani ili kumuabudu mungu tu na si kingine...
Bill shaka mko poa! mkijiandaa kuuaga mwaka na kuingia mwaka 2021.
Niende moja kwa moja ktk hiki ambacho anata kujua kutoka kwenu!
Kumegunduliwa virusi vipya vya covid 19 huko Uingereza, na...
Historia ya mnara wa Babeli inaelezwa kwa undani kwenye biblia katika kitabu cha Mwanzo 11 katika mistari michache tu. Hii ni stori fupi tu ya mnara wa Babeli unaweza kusoma kwa undani katika...
Je, Kweli Wanasayansi Wamepata Mashimo Meusi?
YAONEKANA kuwa hadithi ya kisayansi—wakati mmoja yalikuwa nyota nyangavu, ambazo zilipoteza mng’ao wake na kuporomoshwa na nguvu zake zenyewe za...
Dunia imejawa na kila aina ya mambo. Usimuone mtu ni tajiri au maarufu ukatamani utajiri wake au umaarufu wake pasipo kujua anapitia nini au alifanya nini mpaka kufikia hapo alipo.
Simaanishi...
Kuna vitu wanadamu tumejaliwa na ubishi hata yesu tukampeleka msalabani na bado vyote kupewa na miujiza ila bado mpaka leo tunabisha tu.
Hivi michoro kama hii iliona nini
Ombi
Tueleze ,kuna...
Hii ni kufikirisha kabisa ila ni kama ukweli kwa nini!
Ulimwengu wa anga kila nyota, tabaka, galaxy na tusivo vijua huko angani vinaleta midaalo mikubwa kutokana na sisi kujua dunia ina majira...
Historia
Mnamo mwaka 1938, mwanafizikia wa Kiitaliano Enrico Fermi na washirika waligundua fission ya nyuklia. Waligundua kuwa fission inapofanyika kipindi wakati kiini cha atomiki cha urani-235...
Habari wanajamvi,
Kwa muda mrefu nimekua nikitatizwa na jambo la
imani kwa upande wa
dini hizi mbili za uislam na ukristo. Awali ya yote
ningependa
kueleweka kuwa nimezaliwa ktk familia ya...
Bado kuna lugha kadhaa za zamani wasomi wa kisasa hawawezi kufafanua, kama hieroglyphics ya Minoan (iitwayo Linear A) au Khipu, mfumo wa ajabu wa Incan wa kuandika kwa mafundo.
Alama hizi zina...
Nimekuwa nikipata mgongano hasa ktk kuelewa ukweli kuhusu Afrika na Muafrika mwenyewe.Katika usomaji wangu wa machapisho mbalimbali na majarida Afrika inaonekana ni sehemu anapopatikana mwanadamu...
Siku zote sayansi ni mazoezi unapotaka kujua nini ?!
Lakini watu wengi tumekuwa tukijiuliza kipi ni kipi na kwa nini kipo.mambo ya kuadithiwa sikutaka na kuisoma vzuri sana.
Basi tunazungumzia...
Duniani watu wachache tu ndio wanatumia akili. Wengine mabilioni hawawezi tena kutumia akili katika kuishi.
Kuna sababu kubwa moja kwanini mabilioni ya watu duniani hawatumii akili katika kuishi...
Kila siku kukicha wanasayansi wanazidi kugundua na kutambua nyota na sayari zilizopo zilizopo na mpaka kujua je mwisho wa hizo nyote ni wapi !.
Ilifikia upande kusema tukijumlisha vyote kwa hiyo...
Ukusanyaji wa data na kupata nini kuna muda tunaitaji vifaa super computer za hali ya juu kuzidi hata google kuhesabu na kujibu kila mmoja.
Lakini wanasayansi wa anga wamejaribu kukusanya picha...
STAFF SERGEANT Carlos Norman Hathcock: Askari Jeshi aliyetambaa mita zaidi ya 2,000 kwa siku 3 msituni bila kula wala kulala na kumuua Major General Vietnam.
Wakati wa mission hatari ya...
Huwa najiuliza uteule wa wayahudi!
Kumbe huhitaji kuwa mkristo ili uwe mteule
AU JE MUNGU NI WA UPENDELEO, watu wengine wakimuasi wanaitwa wadhambi, wengine wakiasi wanaitwa wateule?
Hadi hivi sasa mwanadamu amekuwa akijitahidi kufanya kila kitu ili kutimiza na kurahisisha maisha yake,moja Kati ya jambo pana mpaka sasa kiumbe huyu analotaka ni kutua unyayo wake katika sayari...
Habari wana jamii.
Slogani hizi ndo imenishawishi kutafakari haya yote.
"Education is the Key To Success"
"Education For The Bright Future"
Nimeshindwa kutambua kosa liko wapi lakini natambua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.