Wakuu poleni na majukumu na harakati za hapa kazi tuu!!ni mda mrefu kidogo sikuwa hapa jukwaani kutokana na kazi!!vilevile niwatakie heri ya chrissmass na mwaka mpya! Namshukuru mungu nimerudi...
Wakuu ni jambo la heri kumtukuza MUNGU,alitoa upendeleo zaidi kwa wanadam kuliko viumbe wengine,lakini mara nyingi wanadam tunamkwaza kwa matendo yetu maovu.
Mungu anao uwezo wa kufan...
MKASA WA MAUAJI YA CHUMBA NAMBA 1046. (KIVULI CHA 'DON' NA JASHO LA WAPELELEZI)
.
.
.
.
Katika jiji la Kansas, Missouri, mchana wa mwezi wa kwanza, tarehe 2 mwaka 1935, mwanaume mmoja aliingia...
Nashukuru Mungu kuendelea kuniweka hai kwa mengi niliyopitia nijionapo naendelea kuwa hai ni jambo la kustaajabisha ashukuriwe Mungu Muweza wa Yote.
Poleni kwa majukumu ya kila siku na Mungu...
Inatisha sana. Hizi ni baadhi ya picha za ndani ya kanisa la Evora huko portugal lililojengewa kuta zake na decoratiwa kwa mafuvu.
MAAJABU HAYATAISHA DUNIANI.
[]
Capela de Ossos Bone Chapel...
Bila shaka mmebahatika kuamka salama kama ilivyo kwa mzee wa kasumba
Langu ni hili
Naomba kujuzwa kuhusiana na masuala ya kijeshi na kiulinzi kwa ujumla wake. Hivi katika jeshi ni watu gani...
Katika kipindi hiki ambacho kuna vifo vingi, nime experience baadhi ya matukio ambayo huwa ni nadra kutokea ila huashiria jambo ambalo si la kheri
1. Kuna siku jirani yangu nilimkuta anamwaga...
Naomba kujua wajuzi mnijuze haya madude yanaitwaje na yanafanya vipi kazi. Ni manual au automat?
Je, kwa nchi yetu tunayo? Ni mangapi yako wapi.
Elimu haina kikomo
CHIMBUKO LA AL SHABAAB, VITA YA AL SHABAAB VS AHLUL SUNNA WAL JAMAA NA DHANA YA UGAIDI CHINI YA KIVULI CHA UISLAM
Naam Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakat, Katika nakala na machapisho...
Napenda kukutakia heri ya mwaka mpya wa Ishirini Ishirini,
Leo napenda Leo tuzungunze juu wanasayansi wanavyofanya Ili kuuokoa ulimwengu na mwisho wake
Kwanza napenda ujue wataalamu kama Albert...
Habari zenu wakuu,swali Hilo linanisumbua Sana,je Ni kweli tuna uwezo WA kuamua nini cha kufanya juu ya maisha yetu??je tuna uwezo WA kuchagua wema au ubaya??sio hatma yetu imeshaamriwa...
UNABII WA DANIEL UNAONESHA VZR ATABATIZWA,KUUWAWA KATIKA MIAKA 27B.C NA 31B.C, HIVO UTAWEZA KUJUA PIA ALIZALIWA LINI
Danieli 9:25 “Basi ujue na kufahamu, ya kuwa amri ya kutengeneza na kuujenga...
JANGWA LA SAHARA; MAMA WA MAJANGWA YOTE DUNIANI.
Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Thursday- 18/02/2021
Marangu, Kilimanjaro, Tanzania
Jangwa la sahara ndio Jangwa kubwa zaidi barani Afrika, Pia...
Uchina nitaifa linalokuja kwa kasi duniani, nanaona linahitaji kutambulika kuwa ni taifa lenye uwezo kama yalivyo mataifa makubwa kama marekani, uingereza na urusi. Kwa namna China inavyoenenda...
KUIPER BELT
Kadiri tunavyoendelea kuwepo kwenye dunia hii tunaendelea kupata kujua mengi sana kuhusiana na mazingira yetu na yale yote ambayo yanatuzunguka.Ukiacha maswali mengi ambayo binadamu...
LIMAO, TANGAWIZI NA SAYANSI
Limao, ndimu, tangawizi, vitunguu maji na vitunguu swaumu nk. ni viungo vya chakula vyenye faida kedekede za kiafya. Kuwa na faida kedekede za kiafya hakumaanishi ndio...
The most striking part of this story is her description of daily life during the Third Reich and then during the war in Europe (1939-1945). Her account reminds me of the way my own grandmother...
Licha ya mabadiliko mbalimbali katika nyakati ni dhahiri kabisa kuna baadhi ya tamaduni za imani za kale kwa miaka maelfu kadhaa zimeendelea kudumu nakubaki kuwa misingi ya imani kuu za walio...
habari vipi wadau
Jarida moja la times nimelisoma wiki iliopita nimejionea mambo amabayo wazungu hasa usa na canada mambo waliyoandaa kufanyika miaka 2000 ijayo nimependa nileta humu na nyie...
Miaka ya nyuma kuanzia 2009 kuna huduma vpn ilitamba sana mpaka zile kampuni kama PD proxy
Sio ngeni kwa walio kuwa wanatumia huduma hii na n.k
Huduma hii ilitamba sana kwa watumiaji wa data...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.