Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Wakuu poleni na majukumu na harakati za hapa kazi tuu!!ni mda mrefu kidogo sikuwa hapa jukwaani kutokana na kazi!!vilevile niwatakie heri ya chrissmass na mwaka mpya! Namshukuru mungu nimerudi...
9 Reactions
126 Replies
20K Views
Wakuu ni jambo la heri kumtukuza MUNGU,alitoa upendeleo zaidi kwa wanadam kuliko viumbe wengine,lakini mara nyingi wanadam tunamkwaza kwa matendo yetu maovu. Mungu anao uwezo wa kufan...
8 Reactions
106 Replies
15K Views
MKASA WA MAUAJI YA CHUMBA NAMBA 1046. (KIVULI CHA 'DON' NA JASHO LA WAPELELEZI) . . . . Katika jiji la Kansas, Missouri, mchana wa mwezi wa kwanza, tarehe 2 mwaka 1935, mwanaume mmoja aliingia...
27 Reactions
162 Replies
24K Views
Nashukuru Mungu kuendelea kuniweka hai kwa mengi niliyopitia nijionapo naendelea kuwa hai ni jambo la kustaajabisha ashukuriwe Mungu Muweza wa Yote. Poleni kwa majukumu ya kila siku na Mungu...
13 Reactions
59 Replies
9K Views
Inatisha sana. Hizi ni baadhi ya picha za ndani ya kanisa la Evora huko portugal lililojengewa kuta zake na decoratiwa kwa mafuvu. MAAJABU HAYATAISHA DUNIANI. [] Capela de Ossos Bone Chapel...
4 Reactions
37 Replies
7K Views
Bila shaka mmebahatika kuamka salama kama ilivyo kwa mzee wa kasumba Langu ni hili Naomba kujuzwa kuhusiana na masuala ya kijeshi na kiulinzi kwa ujumla wake. Hivi katika jeshi ni watu gani...
10 Reactions
354 Replies
58K Views
Katika kipindi hiki ambacho kuna vifo vingi, nime experience baadhi ya matukio ambayo huwa ni nadra kutokea ila huashiria jambo ambalo si la kheri 1. Kuna siku jirani yangu nilimkuta anamwaga...
11 Reactions
52 Replies
10K Views
Naomba kujua wajuzi mnijuze haya madude yanaitwaje na yanafanya vipi kazi. Ni manual au automat? Je, kwa nchi yetu tunayo? Ni mangapi yako wapi. Elimu haina kikomo
0 Reactions
17 Replies
3K Views
CHIMBUKO LA AL SHABAAB, VITA YA AL SHABAAB VS AHLUL SUNNA WAL JAMAA NA DHANA YA UGAIDI CHINI YA KIVULI CHA UISLAM Naam Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakat, Katika nakala na machapisho...
9 Reactions
34 Replies
7K Views
Napenda kukutakia heri ya mwaka mpya wa Ishirini Ishirini, Leo napenda Leo tuzungunze juu wanasayansi wanavyofanya Ili kuuokoa ulimwengu na mwisho wake Kwanza napenda ujue wataalamu kama Albert...
5 Reactions
75 Replies
14K Views
Habari zenu wakuu,swali Hilo linanisumbua Sana,je Ni kweli tuna uwezo WA kuamua nini cha kufanya juu ya maisha yetu??je tuna uwezo WA kuchagua wema au ubaya??sio hatma yetu imeshaamriwa...
11 Reactions
142 Replies
15K Views
UNABII WA DANIEL UNAONESHA VZR ATABATIZWA,KUUWAWA KATIKA MIAKA 27B.C NA 31B.C, HIVO UTAWEZA KUJUA PIA ALIZALIWA LINI Danieli 9:25 “Basi ujue na kufahamu, ya kuwa amri ya kutengeneza na kuujenga...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
JANGWA LA SAHARA; MAMA WA MAJANGWA YOTE DUNIANI. Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA) Thursday- 18/02/2021 Marangu, Kilimanjaro, Tanzania Jangwa la sahara ndio Jangwa kubwa zaidi barani Afrika, Pia...
8 Reactions
15 Replies
8K Views
Uchina nitaifa linalokuja kwa kasi duniani, nanaona linahitaji kutambulika kuwa ni taifa lenye uwezo kama yalivyo mataifa makubwa kama marekani, uingereza na urusi. Kwa namna China inavyoenenda...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
KUIPER BELT Kadiri tunavyoendelea kuwepo kwenye dunia hii tunaendelea kupata kujua mengi sana kuhusiana na mazingira yetu na yale yote ambayo yanatuzunguka.Ukiacha maswali mengi ambayo binadamu...
69 Reactions
293 Replies
36K Views
LIMAO, TANGAWIZI NA SAYANSI Limao, ndimu, tangawizi, vitunguu maji na vitunguu swaumu nk. ni viungo vya chakula vyenye faida kedekede za kiafya. Kuwa na faida kedekede za kiafya hakumaanishi ndio...
16 Reactions
68 Replies
8K Views
The most striking part of this story is her description of daily life during the Third Reich and then during the war in Europe (1939-1945). Her account reminds me of the way my own grandmother...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Licha ya mabadiliko mbalimbali katika nyakati ni dhahiri kabisa kuna baadhi ya tamaduni za imani za kale kwa miaka maelfu kadhaa zimeendelea kudumu nakubaki kuwa misingi ya imani kuu za walio...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
habari vipi wadau Jarida moja la times nimelisoma wiki iliopita nimejionea mambo amabayo wazungu hasa usa na canada mambo waliyoandaa kufanyika miaka 2000 ijayo nimependa nileta humu na nyie...
12 Reactions
38 Replies
7K Views
Miaka ya nyuma kuanzia 2009 kuna huduma vpn ilitamba sana mpaka zile kampuni kama PD proxy Sio ngeni kwa walio kuwa wanatumia huduma hii na n.k Huduma hii ilitamba sana kwa watumiaji wa data...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom