Tanzania inacheza upatu kwenye Intelejensia ya Uchumi

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,333
29,122
Wanabodi
Ni muda mrefu wanaJF kadhaa wameandika ssna kuhusiana na haja ya kuwa na kurugenzi kamili ya ujasusi inayoshughulikia sera yetu ya nje na uhusiano wa Kimataifa.

Jana tarehe Jumanne, tulitembelewa na Waziri mdogo wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika. Lengo na madhumuni ni maslahi ya Uingereza. Huu ni mfano mdogo wa nchi zinazotambua ujasusi kwenye masuala ya kiuchumi na diplomasia zinavyowekeza huko.

Kenya imerudi upyaa kwenye kutuzunguka kiuchumi na kututumia lakini sisi bado tunawachekea tukidhani ni ndugu zetu.

Ninapenda kumshauri Rais wetu. Asipoteze wakati, nguvukazi na wataalam wengi anao. Aanzishe hii kurugenzi ili kusaidia kufungua nchi bila kuingia mitego ya ndani na nje.
IMG-20210508-WA0101.jpg
 
Kuna baadhi ya mambo huwa yanatia hasira sana kwa nchi hii basi tuu.
Sometimes sijui ni makusudi ama viongozi hawana vision na mambo makubwa kama wenzao dah inaumiza sana.
 
Malalamiko yako hayana mashiko. Haujaonyesha tatizo lolote la sisi kuwa na mahusiano mazuri na majirani zetu.
 
Malalamiko yako hayana mashiko. Haujaonyesha tatizo lolote la sisi kuwa na mahusiano mazuri na majirani zetu.
Mahusiano mazuri unamaanisha nini mkuu!

mazuri kwa maslahi yako?

mazuri kwa maslahi ya jirani?

mazuri kwa maslahi ya watazamaji?
 
Wanabodi
Ni muda mrefu wanaJF kadhaa wameandika ssna kuhusiana na haja ya kuwa na kurugenzi kamili ya ujasusi inayoshughulikia sera yetu ya nje na uhusiano wa Kimataifa.

Jana tarehe Jumanne, tulitembelewa na Waziri mdogo wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika. Lengo na madhumuni ni maslahi ya Uingereza. Huu ni mfano mdogo wa nchi zinazotambua ujasusi kwenye masuala ya kiuchumi na diplomasia zinavyowekeza huko.

Kenya imerudi upyaa kwenye kutuzunguka kiuchumi na kututumia lakini sisi bado tunawachekea tukidhani ni ndugu zetu.

Ninapenda kumshauri Rais wetu. Asipoteze wakati, nguvukazi na wataalam wengi anao. Aanzishe hii kurugenzi ili kusaidia kufungua nchi bila kuingia mitego ya ndani na nje.View attachment 1782169
Mkuu kazi ya TISS ni kumlinda Rais na kuhakikisha CCM inatawala milele,na kuipeleleza CHADEMA basi....
 
Ww una uhakika hyo idara Hakuna au ndio uhuru wa kulopoka mliokuwa mnautaka Huo kuongea msivyovijua, uchonganishi na umbea kipindi cha jpm Mada hizi zilikua adimu mmeachiwa kidogo kila mtu anajifanya mjuaji.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom