Wakuu aina hii ya sare (uniform) sijawahi kuiona katika moja ya majeshi ya Tanzania.Kuanzia polisi,JWTZ,Mgambo wala kwingineko.Je naweza kufahamishwa aina hii ya sare ni mpya kwa majeshi yetu au?
Kama si mpya;Je aina hii ya sare huvaliwa na kikosi gani cha ulinzi hapa Tanzania?Hawa jamaa nimewaona leo wakimlinda Rais pale Saba saba na silaha nzito nzito za moto.Tupeane maarifa