Kama kuna ukweli kwa jinsi kila mtu afikiriavyo likilotokea kwa familia hii na kwa upande uliohusishwa au kutendewa kwa vyovyote,na kwa alilolitekeleza Mh.Raisi wa Jamhuri yetu adhimu ya...
Wanabodi,
Awali ya yote naomba kutoa shukurani za dhati kwa Mh Rais kwa msamaha kwa ndugu na jamaa zetu wote ingawa najua future yao ipo mashakani sana.
Ila naombeni kujuzwa huyu Mzee Matonya...
Binafsi sijawai kutumia au kumiliki iPhone, ila napenda COMPAS DIRECTION na ile huduma ya GUIDE ACCESS yan kma mtu ameomba cm apige sim bas hatoki apo hadi pini,
Wajuzi karibuni
Muda umefika kukubali kushikiwa akili na kuacha kufanya Yale tunayoamini
Tufanye kazi kama wanaotuongoza watavyo
Kila kona vijana vijana hii ni kweli
kama ni kweli uzalendo kwanza ni nini...
Kwako Rais Magufuli.
Nakushukuru kwa kuwaachia huru Babu Seya naPapii. Najua ukweli unaujua ndio maana ulifikia huu uamuz.
Hi kesi iliendeshwa kimaghumashi Sana Na kukomoana. Yani mwalimu...
Wakuu
Taarifa za hivi punde zinasema kuwa gari la kampuni ya vinywaji TBL likiwa katika safari zake limepata ajali maeneo ya Tabata Jijini Dar es salaam.
Hakuna taarifa zozote za wahanga wa...
Wanasiasa kuweni na akiba ya maneno.Kumbukeni Kamanda Lowassa amewatangulia kuijua Siasa, Katiba ya nchi anaijua, Ikulu amekaa kwani Waziri Mkuu Ana ofisi pale hakukurupuka kusema atamwachia Babu...
Wakuu hawa watu ni janga mno unaweza kutuma pesa kwa bahati mbaya ukawa umeikosea na ukawahi kuwapigia simu kisha wanakujibu tumeuzuia sasa usubir masaa 24 unaweza kusubir hayo masaa 24 na bado...
Siku chache baada ya Raisi Magufuli kutangaza kubomolewa kwa jengo la Tanesco kuna sms ilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa watu wajiandae, wanunue umeme mapema maana siku yoyote yawezekana...
TAARIFA YA UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM) KWA VYOMBO VYA HABARI.
_______________
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana Agosti 29 kimezindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani...
Ni vema tukafahamu kwamba katika maisha rafiki anaweza kuja kuwa adui au msaliti kwenye mambo mengi sana yakiwemo mambo ya kwenye mapenzi, biashara, kupata nafasi kazini, mahusiano na marafiki...
Kumekuwa na tuhuma nyingi sana kwamba kuna Wanyarwanda wapo nchini wanafanya kazi kwenye taasisi za umma vikiwemo vyombo vya usalama, huku lengo lao likiwa ni kuiba taarifa na kupeleka walipo...
Habari zenu wakuu.
Mi ni miongoni mwa wateja ambao wanatumia sim bank.
Sasa sehemu ambayo naomba nisaidiwe ni hapa.
Ikiwa mwanzo ulikua unatumia line ya tigo ghafla sehemu uliyokwenda ikawa haina...
Hbr wapendwa.
Najiuliza,
Tunaambiwa kanuni ya mwandishi wa habari n kuweka mizania ktk habari husika kwa pande zote.
Mbona sijaona mwandishi yeyote atuhabarishe kuhusu waathirika walivyolipokea...
Unaweza kuongeza uliyokutana nayo au ya kwako.
"Zangu source hazijulikani"
Mfalme wa Italia wa 18, Umberto alikwenda mgahawani huko Monza na Mkuu wa majeshi Emilio Ponzia Vaglia. Mmiliki wa...
Baadhi ya wakazi wa Kiangu na Chuno mjini Mtwara wamelazimika kuyahama makazi yao yaliyojaa maji baada ya mvua kunyesha.
Mvua ilinyesha usiku wa kuamkia jana Jumamosi Desemba 9,2017 saa nane...
Nianze kwa salamu ziwafikie wanajamvi wooote, nimatumaini yangu muwazima wa afya njema!
Nirudi kwenye maada, takriban siku 20 zimepita toka nisajil laini yangu ya simu katika mawakala wa moja...
Wakuu samahani naomba mnisaidie
seriez online ina subtittle ila nikiidownload inacheza bila subtittle
Nimetumia VLC Nina pc kupitia idm asante
Nimeipenda Dramacool kwa sababu unadownload file...
Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu ambaye anaendelea na matibabu nchini Kenya jijini Nairobi amefunguka na kusema kuwa wanaendelea kupigana na watashinda vita hiyo.
Lissu amesema hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.