Kipi watumiaji wa IPHONE wanakipata, wa ANDROID hawakipati?

Kipi watumiaji wa IPHONE wanakipata, wa ANDROID hawakipati?

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,559
Reaction score
3,814
Binafsi sijawai kutumia au kumiliki iPhone, ila napenda COMPAS DIRECTION na ile huduma ya GUIDE ACCESS yan kma mtu ameomba cm apige sim bas hatoki apo hadi pini,

Wajuzi karibuni
 
Binafsi sijawai kutumia au kumiliki iPhone, ila napenda COMPAS DIRECTION na ile huduma ya GUIDE ACCESS yan kma mtu ameomba cm apige sim bas hatoki apo hadi pini,

Wajuzi karibuni
Hizo Ulizotaja ni Mojawapo tayari,
 
Binafsi sijawai kutumia au kumiliki iPhone, ila napenda COMPAS DIRECTION na ile huduma ya GUIDE ACCESS yan kma mtu ameomba cm apige sim bas hatoki apo hadi pini,

Wajuzi karibuni
Sijaelewa hizo huduma zinausiana na nini nieleweshe tafadhali.
 
Vitu ambavyo wengi wanaangalia kwenye simu ni hivi:
1. Ubora wa Camera
2. Speed ya internet
3. Usalama wa simu
4. Brand name (Aina simu mfano Samsung, Iphone, Tecno, Huawei na etc)

Wengine wanataka simu za kuonesha status zao basi.
 
Back
Top Bottom