Chidu Mangalili
Senior Member
- Mar 24, 2017
- 144
- 96
Kama kuna ukweli kwa jinsi kila mtu afikiriavyo likilotokea kwa familia hii na kwa upande uliohusishwa au kutendewa kwa vyovyote,na kwa alilolitekeleza Mh.Raisi wa Jamhuri yetu adhimu ya Tanzania,itoshe kuamini katika sala kwa Mungu alie pia Mola wetu kuwa "Utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyowasamehe wanaotukosea".