Mods mtanisaidia kuhamisha huu uzi kama hapa si mahala pake sahihi:
"Note: No one was seriously hurt in this clip."
This video is for educational purposes only as it demonstrates the real...
Wanajamii Forums heshima kwenu... Mwaka huu 2017 unaelekea ukingo, Tunamshukuru Mungu mpaka leo hii tupo salama, je kwa mwaka ujao una malengo gani umejiwekea yan kwa Mwaka 2018 Mungu akiendelea...
Wakuu, kama inavyojieleza hapo, BINAFSI, sijawahi kukutana au kuona msiba unasafirishwa kutoka mikoani, kupelekwa kuzika Dar es salaam. Je hii ni kwa sababu Dar wengi ni wahamiaji...?? Au sababu...
Wanabodi habari za Jumapili;
Niende moja kwa moja kwenye mada,mimi ni miongoni mwa waliobahatika kupata ajira katika kada hii ya afya kwa ajira zilizo tangazwa.Chuo nilicho soma tumebahatika...
Amani kwenu nyote hapa ubaoni
Huyu si kikwazo kikubwa zaidi kwa CUF kusonga mbele na kuimarika zaidi na kurudisha hadhi yake ya Chama kama zamani. Ila kwa anayoyafanya ndani ya Chama cha...
Habari.
Wadau tukutane hapa tuelekezane wapi mtu unaweza kupata elimu,ujuzi,ufundi au maelekezo ya kutosha kuhusiana na huduma inayohusiana na elimu au ujuzi ambayo mtu unaitafuta.
Mfano:
Mimi...
Niende moja kwa moja kwenye swali la msingi tumeambiwa tuko kwenye Tanzania ya viwanda mi naomba tu list au hata picha tu ya kiwanda kilicho kwenye hatua ya ujenzi au hata tu eneo lililofyekwa...
Kati ya Ofisi ya Basata, Wizara ya Michezo, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ipi yenye uwezo wa kutoa katazo kwa wasanii, mfano kukatazo la Fiesta hadi asubuhi nani kati ya hao ambaye anatakiwa atoe katazo...
Jeshi la polisi mkoani Tanga limewatuhumu baadhi ya viongozi wa serikali waliopo katika kata ya Kigombe wilayani Muheza kuwa ni miongoni mwa watuhumiwa wanaosaidiana na baadhi ya wafanyabishara...
Nimeongia kwenye Tv Mpya hapa kwa jina JTV mara namuona JK akisakata rumba huku anakula popcorn!
Nimejiuliza ni tangazo la biashara au jamaa ana ubia na tv hii?
All in all jamaa yuko vizuri sana...
Ujue walimu wa Tz sijui wamerogwa
Walimu wa Tz ndo wanatumika kuibeba CCM kipindi cha uchaguzi mwisho wa siku wanatupwa kama makapi ,mshahara wanaongezewa elfu 6 kweli walimu mnanyanyasika sana...
Iki kitendo cha kuwakamata na kuwazuia mawakala wote wa upinzani kuingia vituoni au kusimamia uchaguzi kwa haki na amani, kunawapa taswila mbaya sanaa viongozi walioko madarakani hasa rais na tume...
Niaje wanaJamiiForums?
Nimekutana na haya maeneo ambayo hayaelezeki historia yake na mengine maelezo yake hayana mashiko, lakini maeneo haya yana maajabu yake tofauti na chumba chako cha kulala...
Katika kipindi hiki mimi Deogratius Kisandu nikiwa na umri wa miaka 17 nilikuwa nasoma sekondari-Form One(Evenning Classess) na nikitoka Shule jioni naingia mzigoni kama Mhudumu wa Bar( Kaunta na...
Mzuqa wanajamvi!
Kuna dogo flani nimjivuni Sana halaf anamashindano flan Na Mimi. Kaliletwaga long time hapa Na maza yake.
Mara ya kwanza kufahamiana naye 2010alikuwa akiongea kwenye simu...
Suala la kuwepo ombaomba mijini na Serikali kutokuwa na mikakati ya kudumu kukabiliana nalo, nalileta kwa majadiliano. Hii ni baada ya kufanya marejeo ya bandiko kadhaa humu JF:
Tatizo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.