Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Ndugu hivi karibuni nilikuja na nyuzi za kulalamika kuhusu matatizo yalionikumba. ISSUE ILIKUA HIVI Nilikua kwenye gari binafsi natoka arusha kwenda iringa.nilikua na kiasi cha pesa kwenye gari...
5 Reactions
120 Replies
9K Views
Kufuatia kuwepo tetesi, na uwezekano wakuja,na kuboreshwa kwa utaratibu wa kuchukua mafao pale mtu anapokoma ajira yake,Ingependeza sana watunga sera wetu na wapitisha mswada wetu, au kwa lugha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Opposition/oppose/kupinga/kukataa tumeyatumia haya maneno sana kipindi kile cha debate sijui Maisha ya Mjini ni bora kuliko ya vijijini,mfumo wa vyama vingi ni bora kuliko chama...
0 Reactions
4 Replies
911 Views
Watu kumi wamefariki na wengine ishirini na nne wamelazwa katika hospitali ya Malkia wa ulimwengu Puma na hospitali ya mkoa wa Singida,baada ya magari waliyo kuwa wakisafiria kutoka kwenye...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014 KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA "Sote tuwe na Umoja" (rej. Yn 17:21) UTANGULIZI: Ndugu wapendwa, tunapohitimisha kipindi cha Kwaresima...
4 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndug zang wana jamvi,..nimehitimu chuo kikuu hapa nchin tanzania..na sasa nahitaj kurejea zangu moshi..from dodoma ila nna mtungi wang wa ges oryx( mkubwa ).nataka nisafir nao kwenye basi..ila...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana, Kumezuka tabia ya watu walioishia darasa la laba na wale waliopata zero kidato cha nne huwadharau sana wasomi wenye degree zao. La saba huwadharau sana...
2 Reactions
31 Replies
5K Views
Mgahawa wa kwanza wafunguliwa Paris kwa watu kupata stafutahi huku wakiwa uchi wa mnyama. habari kamili Nudist restaurant opens in Paris
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanahabari nendeni kwa mganga mkuu au pitieni hospitali zetu muombe majibu ya maswali haya; 1. Takwimu za vifo miaka ya nyuma kabla ya 2016 ilikuwaje. 2. Takwimu ya vifo kwa sasa ipoje. 3. Huduma...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetoa muongozo wa upigaji chapa kwenye mifugo kufuatia kuibuka kwa changamoto ya upigaji holela unaoharibu ngozi hali inayoweza kuifanya bidhaa hiyo kukataliwa kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Arusha. Simba aliyefanyiwa upasuaji Novemba 8 mwaka huu baada ya kuugua ugonjwa wa henia na matatizo ya misuli ya tumbo hatimaye ametengwa na wenzake. Sababu za kutengwa kwa Simba huyo...
4 Reactions
38 Replies
5K Views
Lakini, pamoja na kuwa usafiri wa haraka, baadhi ya watu ambao wamekuwa wakiutumia usafiri huo, pale ajali inapotokea mtu anaweza kupoteza maisha au kupata ulemavu. Kimaisha, usafiri wa bodaboda...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina swali kidogo la kuuliza Mtu mwenye 'Leaner driving license au provisional driving license'. je,anaweza kuendesha gari akiwa peke yake na kwa muda gani?au ni lazima awe na instructor pembeni...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Amesema hakuna mgao wa umeme nchini na jitihada zinafanyika mgao usitokee. My take: TANESCO wanakudanganya Mh. Huku Mtwara mgao upo pamoja na waziri kupiga marufuku, wilayani huko ndo usiseme...
7 Reactions
76 Replies
8K Views
Mratibu wa Mauzo na Masoko wa Zantel-Zanzibar, Ndg. Haji Said Khatibu (katikati) akimsaidia Mkazi wa kijiji cha Uroa, Mkoani Kusini-Unguja, Bi. Fatma Abbas kuvuna zao la mwani baada ya Kampuni ya...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Ndugu zangu hii kauli ukweli huwa inanikera saana kama sio kuniudhi. Mungu anachukua walevi wachawi wazinifu wanafiki washirikina wote hao Mungu anakua amewapenda zaidi? Hata kama Mungu hakupendi...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Wandugu, nimesoma kuhusu muswada wa mfuko mpya wa jamii kama ilivyoripotiwa na gazeti la Mwananchionline hapo jana tarehe 23/11/2017. Nina mashaka na kilichoripotiwa, aidha aliyeripoti kuna vitu...
0 Reactions
1 Replies
644 Views
Tatizo siyo kufa, tatizo ni unakufaje! Tatizo ni unarejeaje kwa mola wako? Kurejea haina shida, we will all follow suit, ni unareje kwa kuacha mchirizi upi?, umeacha maumivu/ukatili/ uonevu/mauaji...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Jana nimeona kisa ambacho mara nyingi tunaona ni vya kawaida ila sio vya haki katika jamii yetu. Kisa chenyewe ni mama flani jirani apa aliye na tabia ya kutesa watoto wa kambo ambaye mumewe...
0 Reactions
1 Replies
842 Views
Back
Top Bottom