Ndugu hivi karibuni nilikuja na nyuzi za kulalamika kuhusu matatizo yalionikumba.
ISSUE ILIKUA HIVI
Nilikua kwenye gari binafsi natoka arusha kwenda iringa.nilikua na kiasi cha pesa kwenye gari...
Kufuatia kuwepo tetesi, na uwezekano wakuja,na kuboreshwa kwa utaratibu wa kuchukua mafao pale mtu anapokoma ajira yake,Ingependeza sana watunga sera wetu na wapitisha mswada wetu, au kwa lugha...
Opposition/oppose/kupinga/kukataa tumeyatumia haya maneno sana kipindi kile cha debate sijui Maisha ya Mjini ni bora kuliko ya vijijini,mfumo wa vyama vingi ni bora kuliko chama...
Watu kumi wamefariki na wengine ishirini na nne wamelazwa katika hospitali ya Malkia wa ulimwengu Puma na hospitali ya mkoa wa Singida,baada ya magari waliyo kuwa wakisafiria kutoka kwenye...
UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014 KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA
"Sote tuwe na Umoja" (rej. Yn 17:21)
UTANGULIZI:
Ndugu wapendwa, tunapohitimisha kipindi cha Kwaresima...
Ndug zang wana jamvi,..nimehitimu chuo kikuu hapa nchin tanzania..na sasa nahitaj kurejea zangu moshi..from dodoma ila nna mtungi wang wa ges oryx( mkubwa ).nataka nisafir nao kwenye basi..ila...
Amani iwe nanyi wapendwa katika bwana,
Kumezuka tabia ya watu walioishia darasa la laba na wale waliopata zero kidato cha nne huwadharau sana wasomi wenye degree zao. La saba huwadharau sana...
Wanahabari nendeni kwa mganga mkuu au pitieni hospitali zetu muombe majibu ya maswali haya;
1. Takwimu za vifo miaka ya nyuma kabla ya 2016 ilikuwaje.
2. Takwimu ya vifo kwa sasa ipoje.
3. Huduma...
Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetoa muongozo wa upigaji chapa kwenye mifugo kufuatia kuibuka kwa changamoto ya upigaji holela unaoharibu ngozi hali inayoweza kuifanya bidhaa hiyo kukataliwa kwenye...
Arusha. Simba aliyefanyiwa upasuaji Novemba 8 mwaka huu baada ya kuugua ugonjwa wa henia na matatizo ya misuli ya tumbo hatimaye ametengwa na wenzake.
Sababu za kutengwa kwa Simba huyo...
Lakini, pamoja na kuwa usafiri wa haraka, baadhi ya watu ambao wamekuwa wakiutumia usafiri huo, pale ajali inapotokea mtu
anaweza kupoteza maisha au kupata ulemavu.
Kimaisha, usafiri wa bodaboda...
Nina swali kidogo la kuuliza
Mtu mwenye 'Leaner driving license au provisional driving license'.
je,anaweza kuendesha gari akiwa peke yake na kwa muda gani?au ni lazima awe na instructor pembeni...
Amesema hakuna mgao wa umeme nchini na jitihada zinafanyika mgao usitokee.
My take: TANESCO wanakudanganya Mh. Huku Mtwara mgao upo pamoja na waziri kupiga marufuku, wilayani huko ndo usiseme...
Mratibu wa Mauzo na Masoko wa Zantel-Zanzibar, Ndg. Haji Said Khatibu (katikati) akimsaidia Mkazi wa kijiji cha Uroa, Mkoani Kusini-Unguja, Bi. Fatma Abbas kuvuna zao la mwani baada ya Kampuni ya...
Ndugu zangu hii kauli ukweli huwa inanikera saana kama sio kuniudhi. Mungu anachukua walevi wachawi wazinifu wanafiki washirikina wote hao Mungu anakua amewapenda zaidi? Hata kama Mungu hakupendi...
Wandugu, nimesoma kuhusu muswada wa mfuko mpya wa jamii kama ilivyoripotiwa na gazeti la Mwananchionline hapo jana tarehe 23/11/2017.
Nina mashaka na kilichoripotiwa, aidha aliyeripoti kuna vitu...
Tatizo siyo kufa, tatizo ni unakufaje! Tatizo ni unarejeaje kwa mola wako? Kurejea haina shida, we will all follow suit, ni unareje kwa kuacha mchirizi upi?, umeacha maumivu/ukatili/ uonevu/mauaji...
Jana nimeona kisa ambacho mara nyingi tunaona ni vya kawaida ila sio vya haki katika jamii yetu.
Kisa chenyewe ni mama flani jirani apa aliye na tabia ya kutesa watoto wa kambo ambaye mumewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.