Bill hiyo inaenda kuua wastaafu.
1. Mafao utalipwa 38% na 62% utakuwa unalipwa monthly. Mfano kama ilikuwa ulipwe milioni 100 maana yake kwa mswada mpya utalipwa pension ya mkupuo 38 milioni...
Jana nimepokea deni nalodaiwa na bodi ya mikopo toka kwa mwajiri ,aiseeh linatisha.
Nimegraduate 201.... na nilipata mkopo kwa asilimia 100 degree ya sayansi chuo flan hapa bongo. Nashukuru...
Wakazi wa vijiji 46 kati ya 82 vya wilaya ya Magu mkoani Mwanza hawana uhakika wa kupata huduma za afya jirani na maeneo yao, kufuatia vijiji hivyo kutokuwa na zahanati kwa zaidi ya miaka 50...
Watanzania wenzangu sipingi kuwepo kwa flyover. Tulikuwa hatuitaji flyover Dar kabla ya kutengeneza/ kuweka Lami kwenye barabara zote za mitaani. Tumetumia pesa nyingi sana kwenye flyover ya...
Kumekuepo na video kadhaa zinazorushwa mitandaoni kila mara zikiionesha ndege yetu iliyokamatwa uko Canada ikiwa imeparkiwa tu kama gari kwenye maegesho, na kumekuwepo na mashaidi ambao wamekiri...
Ni hatari makini salama, wapiga kura hao wawekewa alama ya X ili kupisha barabara (sio barabara kuu) ni barabara ya ndani.
Wananchi hao wanyonge wamebambikiziwa kesi ya kujenga bila hati wakati...
Miezi kadhaa nyuma clouds fm walikua wana walilia waTanzania kwamba Makonda kawatenda isivyo, watu wengi walisikitika sanaa na vyombo vya hanari vikaungana nao kukemea uvamiaji ule, kama haitoshi...
Mara nyingi nimesikia Serikali/Statistics officer wakisema mfumuko umepungua, wanataja mazao peke yake
Sukari
Ngano
Mafuta ya kula/kupika
Gesi ya kupikia
Mafuta taa
Nguo madukani
Vyote hivyo hapo...
Inaeleezwa kuwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji vinaendelea katika ngazi ya familia na jamii kwasababu baadhi ya watu wanaoshuhudia matendo maovu hawatoi taarifa kwa mamlaka husika ili...
Wanafunzi wengi wa chuo cha Ardhi wamekuwa na kasumba ya kucheleweshewa mikopo yao au kutopewa kabisa licha ya kusaini majina yao kwenye majina ya watu waliopata mkopo.
Pia hata kwa wale ambao...
Dr. Shika ametuma hela kama bima ya kuletewa cheki yake ya mabilioni ya hela toka Asia, ili anunue magorofa ya Lugumi.
Utapeli kama huu umejaa duniani na hasa WaNigeria wamekubuhu.
Wanakwambia...
Kwa mujibu wa maelezo ya makamu wa chuo kikuu cha Muhimbili kampasi ya Mloganzila kuwa hospitali hiyo pamoja na chuo kitafunguliwa rasmi tarehe 25/11/2017, ni jambo jema na la kutia faraja kwa...
Wana JF, natamani kusaidiwa ni kwa namna gani naweza kupata cheti cha kuzaliwa cha mtoto ambaye kadi yake ya clinic ilipotea na bahati mbaya sana hata ya mamake pia haipo, naombeni mawazo yenu wadau!!
Huu ni wakati wenu wa kusimamia tamko la waziri juu ya nyumba za kupanga.
Kodi ilipwe kwa mwezi na sio kwa miezi sita au Mwaka.
Kusahau au kutosimamia hili hakutakua na maana saana ikiwa wajumbe...
Tulishawahi kujiuliza ni muda kiasi gani tunaupoteza bila kuutumia kuzalisha mali. Watalaam wa ujasiliamali wanasema :-
Ukiwa na miaka 18 hadi 28 tumia muda mwingi kujifunza mambo mapya na...
Licha ya serikali kuboresha miundombinu ya sekta ya afya, bado vituo vingi vya afya vinatoa huduma hiyo kwa upendeleo na kuwabagua baadhi ya wagonjwa ambao hawana fedha.
Kwa mujibu wa matokeo ya...
Baada ya kusua sua kwa mda mrefu, kiwanda hiki kilichopo Arusha hivi sasa kina mpango kabambe wa kujiimarisha kimataifa ikiwemo kuanza kuuza bidhaa zake nje ya nchi ikiwemo Kenya, Rwanda, Zanzibar...
Kumeibuka tabia ya baadhi ya watu Wetu wa karibu kama ndugu au rafiki au Jirani. Kila akikutafuta au ukikutana nae huwa anapenda kujua unafanya nini Au unashughulika na nini baada ya kufahamu...
Siku huyu akirudi CCM ni balaa. Jamaa ni Genius sema wanamuogopa sana ana sifa zote za kuwa Rais wa nchii hii na ni mzalendo
Tusisahau pia jinsi ambavyo amekuwa akifanyiwa vituko na vikwazo vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.