Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Yaani Wahubiri wa siku hiz mahubiri yao Mengi unakuta 75% yanahusu kupata hela, ujasiliamali na mengi yanayofanana na hayo halafu unakuta 25% inayobaki ndio mafundisho ya kibiblia. Kanisani...
2 Reactions
5 Replies
900 Views
Salamu wakuu! Weekend inaendelea vizuri. Kina tabia ya wanaume hasa wa Dsm unakuya mtu anakunywa pombe hana cash mfukoni hata 100. Akishalewa anasema nakulipa kwa mpesa au tigo pesa na mbaya...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Hivi karibuni kumekuwepo na uhamasishaj wa raia kuchangia miradi mbalimbali ya kushtukza ikiwemo hili la kijenga makazi ya askari wa jeshi la polisi. Mimi sikatai kabosa ushirikshwaji kwa sababu...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Waziri wa Madini Mhe. Angela Kairuki leo tarehe 24/12/2017 amekutana Jijini Dar es salaam na kufanya mazungumzo na Balozi wa Kuwait nchini Jasem Al Najem. Wamezungumzia masuala mbalimbali ikiwemo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanabodi nisiwachoshe sana,Salaam? Kuna ndg anaitwa Elias Jonas Samson vyeti vyake vimeokotwa msamvu stand ya mabas morogoro O.level amesoma st peter,A.level amesoma Nyegezi seminary,na chuo...
4 Reactions
3 Replies
3K Views
Jamaa mmoja alichomwa mshale na mtu aliyefanikiwa kukimbia bila kuonekana, akiwa kwenye maumivu makali akabahatika kupata msaada na kupelekwa hospitali Cha kushangaza sana akakataa matibabu...
11 Reactions
19 Replies
4K Views
Tangu jana na juzi kumekuwepo na madai kuwa payroll zinaonyesha kuwa kutakuwa na increment katika mishahara ya mwezi huu kama bwana mkubwa alivyoahidi. Sasa wadau,leo ndio mishahara imetoka na...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Amehami CCM rasmi, naye ameonyesha "kukunwa" na kasi ya Rais Magufuli, mpaka 'kadandia mchuma'. Sasa kwa kuwa RaisMagufuli ana operation ya kubomoa makazi ya raia yanayodaiwa kuwa ndani ya maeneo...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Section 4 & 6 inaanzisha mfuko mpya, unaitwa Public Service Social Security Fund. (PSSSF) Section 77 Inafuta mifuko yote ilokuwepo ispokua NSSF. S.81 Hata Voluntary Schemes za mifuko ilofutwa...
1 Reactions
21 Replies
8K Views
Habari za jioni wanabodi. Ni utaratibu uliokithiri kwenye jamii nyingi bila kuangalia dini zao ama makabila yao, unakuta kwenye msiba mtu amefariki anazikwa na suti,vito vya thamani kama cheni...
0 Reactions
4 Replies
876 Views
Rais John Magufuli amemteua Katibu Mkuu wa zamani, Dk. Willibrod Slaa kuwa balozi. Taarifa za iliyotolewa jana na Ikulu ilisema Dk. Slaa ataapishwa baada ya taratibu zote kukamilika. Hata hivyo...
15 Reactions
99 Replies
15K Views
Musa alikuwa akifanya kazi za ulinzi katika kata ya Itope aliuuawa kwa kipigo na wananchi wenye hasira kali kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake Salome ambaye alifahamika kwa jina moja hilo, mwishoni...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imefanikiwa kufanya upandikizaji wa figo kwa mara ya kwanza Hii itakua imeondoa gharama ya Sh900,000 kwa wiki kwa ajili ya kusafisha figo kwa wenye matatizo hayo...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Imethibitishwa dawa hizi zinasababisha kuharibika kwa figo. Kindly forward to your relatives in Africa. The list of drugs against malaria removed from the market in the European Union. The...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Nimesikia kwenye taarifa ya habari ya asubuhi toka UFM akihojiwa kaka yake Lissu na kudai kuwa, familia iliandika barua kwenda ofisi za Bunge kuomba Bunge kuchukua jukumu la matibabu ya Tundu...
10 Reactions
80 Replies
6K Views
Wafanyabiashara wa Soko la Kimataifa la Kariakoo wamelalamikia gharama za uondoshaji mzigo bandarini kudumaza ufanisi wa shughuli zao. Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo (JWK)...
3 Reactions
61 Replies
10K Views
Umoja wa Ulaya (EU) umeitaka serikali ya Tanzania kuimarisha taasisi za uwajibikaji na uwazi kwa kupanua wigo wa Asasi za Kiraia kufanya kazi na jamii ili ifanikiwe katika mapambano dhidi ya...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Hili ndio swali nalojiuliza mpaka sasa huku mpaka leo hii ikiiwa ni tarehe 24 mishahara bado haijatoka kwa baadhi ya watumishi kitu ambacho sio cha kawaida kabisa. Je,ile ahadi ya kuongeza...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
MWENYEKITI WA CHAMA CHA WENYE VIWANDA VYA KUTENGENEZA DAWA TANZANIA, RAMADHANI MADABIDA. KIWANDA cha Tanzania Pharmaceutical Industry (TPI), ambacho ni pekee cha kutengeneza dawa za kufubaza...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hi great thinkers. Nawashauri watumishi wa umma kuwa na files zao nyumbani kurekodi kila tukio hasa ya kuonewa.Hii itasaidia kuwa na kumbukumbu ya matukio uliyo fanyiwa na ofisa au maofisa kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom