Nchi ya kila kitu cha hovyo

Nchi ya kila kitu cha hovyo

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
52,072
Reaction score
101,942
Nchi ya hovyo, ardhi ya hovyo, Raia wa hovyo, vijana wa hovyo, wazee wa hovyo, siasa za hovyo, uongozi wa hovyo, viongozi wa hovyo, viongozi wa dini wa hovyo.
Ni nchi gani hiyo katika Africa?
 
Nchi ya hovyo, ardhi ya hovyo, Raia wa hovyo, vijana wa hovyo, wazee wa hovyo, siasa za hovyo, uongozi wa hovyo, viongozi wa hovyo, viongozi wa dini wa hovyo.
Ni nchi gani hiyo katika Africa?

Hama kutoka katika nchi hiyo kama wewe unaishi humo
 
Nchi ya hovyo, ardhi ya hovyo, Raia wa hovyo, vijana wa hovyo, wazee wa hovyo, siasa za hovyo, uongozi wa hovyo, viongozi wa hovyo, viongozi wa dini wa hovyo.
Ni nchi gani hiyo katika Africa?
Thread ya hovyo kutoka kwa mpuuzi
 
Kwa hiyo watu wakae kimya huku katiba ikikanyagwa, mahakama, Bunge zikidharauliwa, sheria zikipindishwa, uchwara anatoa rushwa ili kununua wachumia tumbo na hivyo kuingiza walipa kodi gharama zisizo na kichwa wala miguu za chaguzi, anateka, kutesa na hata kuua Watanzania. Ndani ya miaka miwili kishajichotea karibu 3 trillions bila idhini ya Bunge, uongo uliokithiri wa kuokota vichwa vya treni mwenyewe hajulikani wakati vina nembo ya TRC ubavuni na vimeshalipiwa 71 billions. Juzi wanadai wamevinunua kichwa kimoja $3 millions magari yaliyoagizwa 2015 na ofisi ya Rais aliyeagiza hajulikani!!!!

Usiendelee kutetea maovu yaliyodhihiri kwani Watanzania wakichoshwa na huu uhuni na upumbavu wa miaka nenda miaka rudi hakuna atakayekuwa salama. NGUVU YA UMMA ni habari nyingine kabisa.

 
Kwa hiyo watu wakae kimya huku katiba ikikanyagwa, mahakama, Bunge zikidharauliwa, sheria zikipindishwa, uchwara anatoa rushwa ili kununua wachumia tumbo na hivyo kuingiza walipa kodi gharama zisizo na kichwa wala miguu za chaguzi, anateka, kutesa na hata kuua Watanzania. Ndani ya miaka miwili kishajichotea karibu 3 trillions bila idhini ya Bunge, uongo uliokithiri wa kuokota vichwa vya treni mwenyewe hajulikani wakati vina nembo ya TRC ubavuni na vimeshalipiwa 71 billions. Juzi wanadai wamevinunua kichwa kimoja $3 millions magari yaliyoagizwa 2015 na ofisi ya Rais aliyeagiza hajulikani!!!!

Usiendelee kutetea maovu yaliyodhihiri kwani Watanzania wakichoshwa na huu uhuni na upumbavu wa miaka nenda miaka rudi hakuna atakayekuwa salama. NGUVU YA UMMA ni habari nyingine kabisa.
Mkuu punguza kulalamika
 
Nchi ya hovyo, ardhi ya hovyo, Raia wa hovyo, vijana wa hovyo, wazee wa hovyo, siasa za hovyo, uongozi wa hovyo, viongozi wa hovyo, viongozi wa dini wa hovyo.
Ni nchi gani hiyo katika Africa?
Hiyo nchi inahitaji maombi wallah....
 
Uelewa wako bado mdogo sana. Nadhani Baba yako angekuwa Lissu usingeandika upuuzi kama huu. Mkuki kwa nguruwe haukuhusu wala huoni uchungu wa aina yoyote ile.



Mkuu punguza kulalamika
 
Uelewa wako bado mdogo sana. Nadhani Baba yako angekuwa Lissu usingeandika upuuzi kama huu. Mkuki kwa nguruwe haukuhusu wala huoni uchungu wa aina yoyote ile.


Huu muda wa kuhudumia ndoa
 
Maisha yangu hayakuhusu kwa namna yoyote ile na sijawahi kukuomba ushauri wa aina yoyote ile. Mind your own business.

Huu muda wa kuhudumia ndoa
 
Kwa hiyo watu wakae kimya huku katiba ikikanyagwa, mahakama, Bunge zikidharauliwa, sheria zikipindishwa, uchwara anatoa rushwa ili kununua wachumia tumbo na hivyo kuingiza walipa kodi gharama zisizo na kichwa wala miguu za chaguzi, anateka, kutesa na hata kuua Watanzania. Ndani ya miaka miwili kishajichotea karibu 3 trillions bila idhini ya Bunge, uongo uliokithiri wa kuokota vichwa vya treni mwenyewe hajulikani wakati vina nembo ya TRC ubavuni na vimeshalipiwa 71 billions. Juzi wanadai wamevinunua kichwa kimoja $3 millions magari yaliyoagizwa 2015 na ofisi ya Rais aliyeagiza hajulikani!!!!

Usiendelee kutetea maovu yaliyodhihiri kwani Watanzania wakichoshwa na huu uhuni na upumbavu wa miaka nenda miaka rudi hakuna atakayekuwa salama. NGUVU YA UMMA ni habari nyingine kabisa.
Inauma sana watu wanajitoa ufaham kwenye mambo yaliyopeupe
 
Uelewa wako bado mdogo sana. Nadhani Baba yako angekuwa Lissu usingeandika upuuzi kama huu. Mkuki kwa nguruwe haukuhusu wala huoni uchungu wa aina yoyote ile.


Moja wapo ya mambo ambayo yanaweza mfanya nyerere afufuke ni uwepo Wa pombe na anavyoiendesha serikali na ccm
 
Nchi ya hovyo, ardhi ya hovyo, Raia wa hovyo, vijana wa hovyo, wazee wa hovyo, siasa za hovyo, uongozi wa hovyo, viongozi wa hovyo, viongozi wa dini wa hovyo.
Ni nchi gani hiyo katika Africa?
Moshi wa mwenge umetufanya tuwe wa hovyo
 
Thread ya hovyo kutoka kwa mpuuzi
Mpuuzi mimi ni mwanafunzi wa Mwalimu wangu mama yako. Alikuwa Mwalimu wangu Hivyo kama upuuzi ni makosa ya mwalimu wangu mama yako. Nilifundishwa na mwalimu hovyo! Unamtukana mama bila kujua kuwa ndiye mwalimu wangu primary school.
 
Nchi ya hovyo, ardhi ya hovyo, Raia wa hovyo, vijana wa hovyo, wazee wa hovyo, siasa za hovyo, uongozi wa hovyo, viongozi wa hovyo, viongozi wa dini wa hovyo.
Ni nchi gani hiyo katika Africa?
Hiyo itakuwa ni Nchi ya kusadikika kwa kuwa HAIPO DUNIANI. Kama unafikiri ipo naomba utujuze huku ukiweka vigezo ulivyo tumia vikihusisha Nchi ngapi ulizo zitembelea/zisoma kwa undani kujiridhisha kuwa majibu yako ni sahihi
 
Katiba imetupa haki Watanzania kuikosoa Serikali na waliomo ndani ya Serikali, waambie waifute haki hiyo ili iwe hivyo utakavyo wewe.

Changanya na za kwako!
 
Back
Top Bottom