Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

MWANDISHI:Habari yako mzee, kwani Ng'ombe wako huwa unawalisha nini? MZEE:Ng'ombe yupi unamuulizia,? Mweupe au mweusi? MWANDISHI:Mweupe. MZEE:Huyo namlisha majani. MWANDISHI:Na mweusi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wandugu, nimesoma kuhusu muswada wa mfuko mpya wa jamii kama ilivyoripotiwa na gazeti la Mwananchionline hapo jana tarehe 23/11/2017. Nina mashaka na kilichoripotiwa, aidha aliyeripoti kuna vitu...
0 Reactions
1 Replies
883 Views
Wakati serikali hii ya awamu ya tano chini ya usimamizi mahiri Wa kabisa Wa Comrade JPM unaanza kutekeleza ilani yake moja ya vitu vilivyopigiwa kelele ni pamoja na utolewaji Wa elimu bure pasipo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jaman Jana nilienda kijijiflan kutembelea ndugu ila maajabu nilio kutana nayo nikama hivi ,,,, kuna kimlima flan hivi kipo kijijini hapo ambacho ukifikapo rangi ya ngozi ya mwili wako...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hali si shwari. Kuna vitu huko Kibiti, Mkuranga na Rufiji vinapaswa kuchimbwa na kuwekwa wazi. Vitu vitakavyosaidia kumaliza kinachoendelea huko. Lazima wananchi tujitoe kwa ajili ya usalama na...
11 Reactions
69 Replies
6K Views
Habari wana JF. Kuna hii sera ya serikali ya matibabu bure kwa wazee, wamama wajawazito pamoja na watoto chini ya miaka mitano kutolewa katika hospitali zote za serikali, je lina uhalisia wowote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni kweli sasa Clouds Media Group mnaboa, mmetuchosha hadi tumelazimika kusema. Vituo vyenu vyote sasa ni kutangaza grand finale ya tigo fiesta kuanzia asubuhi mpaka jioni mpaka kesho yake...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau habarini Katika kuunga mkono jitihada za RC Makonda, jumla ya Madaktari Bingwa Na Wataalamu wa Afya 381 kutoka Jeshi la China watawasili nchini tarehe 20/11/2027 na kutoa huduma za matibabu...
3 Reactions
179 Replies
25K Views
Bill hiyo inaenda kuua wastaafu. 1. Mafao utalipwa 38% na 62% utakuwa unalipwa monthly. Mfano kama ilikuwa ulipwe milioni 100 maana yake kwa mswada mpya utalipwa pension ya mkupuo 38 milioni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jana nimepokea deni nalodaiwa na bodi ya mikopo toka kwa mwajiri ,aiseeh linatisha. Nimegraduate 201.... na nilipata mkopo kwa asilimia 100 degree ya sayansi chuo flan hapa bongo. Nashukuru...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakazi wa vijiji 46 kati ya 82 vya wilaya ya Magu mkoani Mwanza hawana uhakika wa kupata huduma za afya jirani na maeneo yao, kufuatia vijiji hivyo kutokuwa na zahanati kwa zaidi ya miaka 50...
0 Reactions
3 Replies
45K Views
Watanzania wenzangu sipingi kuwepo kwa flyover. Tulikuwa hatuitaji flyover Dar kabla ya kutengeneza/ kuweka Lami kwenye barabara zote za mitaani. Tumetumia pesa nyingi sana kwenye flyover ya...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Kumekuepo na video kadhaa zinazorushwa mitandaoni kila mara zikiionesha ndege yetu iliyokamatwa uko Canada ikiwa imeparkiwa tu kama gari kwenye maegesho, na kumekuwepo na mashaidi ambao wamekiri...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Ni hatari makini salama, wapiga kura hao wawekewa alama ya X ili kupisha barabara (sio barabara kuu) ni barabara ya ndani. Wananchi hao wanyonge wamebambikiziwa kesi ya kujenga bila hati wakati...
1 Reactions
55 Replies
8K Views
Miezi kadhaa nyuma clouds fm walikua wana walilia waTanzania kwamba Makonda kawatenda isivyo, watu wengi walisikitika sanaa na vyombo vya hanari vikaungana nao kukemea uvamiaji ule, kama haitoshi...
12 Reactions
111 Replies
10K Views
Mara nyingi nimesikia Serikali/Statistics officer wakisema mfumuko umepungua, wanataja mazao peke yake Sukari Ngano Mafuta ya kula/kupika Gesi ya kupikia Mafuta taa Nguo madukani Vyote hivyo hapo...
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Inaeleezwa kuwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji vinaendelea katika ngazi ya familia na jamii kwasababu baadhi ya watu wanaoshuhudia matendo maovu hawatoi taarifa kwa mamlaka husika ili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanafunzi wengi wa chuo cha Ardhi wamekuwa na kasumba ya kucheleweshewa mikopo yao au kutopewa kabisa licha ya kusaini majina yao kwenye majina ya watu waliopata mkopo. Pia hata kwa wale ambao...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Dr. Shika ametuma hela kama bima ya kuletewa cheki yake ya mabilioni ya hela toka Asia, ili anunue magorofa ya Lugumi. Utapeli kama huu umejaa duniani na hasa WaNigeria wamekubuhu. Wanakwambia...
28 Reactions
144 Replies
16K Views
Back
Top Bottom