Wandugu, nimesoma kuhusu muswada wa mfuko mpya wa jamii kama ilivyoripotiwa na gazeti la Mwananchionline hapo jana tarehe 23/11/2017.
Nina mashaka na kilichoripotiwa, aidha aliyeripoti kuna vitu...
Wakati serikali hii ya awamu ya tano chini ya usimamizi mahiri Wa kabisa Wa Comrade JPM unaanza kutekeleza ilani yake moja ya vitu vilivyopigiwa kelele ni pamoja na utolewaji Wa elimu bure pasipo...
Jaman Jana nilienda kijijiflan kutembelea ndugu ila maajabu nilio kutana nayo nikama hivi ,,,, kuna kimlima flan hivi kipo kijijini hapo ambacho ukifikapo rangi ya ngozi ya mwili wako...
Hali si shwari. Kuna vitu huko Kibiti, Mkuranga na Rufiji vinapaswa kuchimbwa na kuwekwa wazi. Vitu vitakavyosaidia kumaliza kinachoendelea huko. Lazima wananchi tujitoe kwa ajili ya usalama na...
Habari wana JF. Kuna hii sera ya serikali ya matibabu bure kwa wazee, wamama wajawazito pamoja na watoto chini ya miaka mitano kutolewa katika hospitali zote za serikali, je lina uhalisia wowote...
Ni kweli sasa Clouds Media Group mnaboa, mmetuchosha hadi tumelazimika kusema. Vituo vyenu vyote sasa ni kutangaza grand finale ya tigo fiesta kuanzia asubuhi mpaka jioni mpaka kesho yake...
Wadau habarini
Katika kuunga mkono jitihada za RC Makonda, jumla ya Madaktari Bingwa Na Wataalamu wa Afya 381 kutoka Jeshi la China watawasili nchini tarehe 20/11/2027 na kutoa huduma za matibabu...
Bill hiyo inaenda kuua wastaafu.
1. Mafao utalipwa 38% na 62% utakuwa unalipwa monthly. Mfano kama ilikuwa ulipwe milioni 100 maana yake kwa mswada mpya utalipwa pension ya mkupuo 38 milioni...
Jana nimepokea deni nalodaiwa na bodi ya mikopo toka kwa mwajiri ,aiseeh linatisha.
Nimegraduate 201.... na nilipata mkopo kwa asilimia 100 degree ya sayansi chuo flan hapa bongo. Nashukuru...
Wakazi wa vijiji 46 kati ya 82 vya wilaya ya Magu mkoani Mwanza hawana uhakika wa kupata huduma za afya jirani na maeneo yao, kufuatia vijiji hivyo kutokuwa na zahanati kwa zaidi ya miaka 50...
Watanzania wenzangu sipingi kuwepo kwa flyover. Tulikuwa hatuitaji flyover Dar kabla ya kutengeneza/ kuweka Lami kwenye barabara zote za mitaani. Tumetumia pesa nyingi sana kwenye flyover ya...
Kumekuepo na video kadhaa zinazorushwa mitandaoni kila mara zikiionesha ndege yetu iliyokamatwa uko Canada ikiwa imeparkiwa tu kama gari kwenye maegesho, na kumekuwepo na mashaidi ambao wamekiri...
Ni hatari makini salama, wapiga kura hao wawekewa alama ya X ili kupisha barabara (sio barabara kuu) ni barabara ya ndani.
Wananchi hao wanyonge wamebambikiziwa kesi ya kujenga bila hati wakati...
Miezi kadhaa nyuma clouds fm walikua wana walilia waTanzania kwamba Makonda kawatenda isivyo, watu wengi walisikitika sanaa na vyombo vya hanari vikaungana nao kukemea uvamiaji ule, kama haitoshi...
Mara nyingi nimesikia Serikali/Statistics officer wakisema mfumuko umepungua, wanataja mazao peke yake
Sukari
Ngano
Mafuta ya kula/kupika
Gesi ya kupikia
Mafuta taa
Nguo madukani
Vyote hivyo hapo...
Inaeleezwa kuwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji vinaendelea katika ngazi ya familia na jamii kwasababu baadhi ya watu wanaoshuhudia matendo maovu hawatoi taarifa kwa mamlaka husika ili...
Wanafunzi wengi wa chuo cha Ardhi wamekuwa na kasumba ya kucheleweshewa mikopo yao au kutopewa kabisa licha ya kusaini majina yao kwenye majina ya watu waliopata mkopo.
Pia hata kwa wale ambao...
Dr. Shika ametuma hela kama bima ya kuletewa cheki yake ya mabilioni ya hela toka Asia, ili anunue magorofa ya Lugumi.
Utapeli kama huu umejaa duniani na hasa WaNigeria wamekubuhu.
Wanakwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.