Dstv ni haya mawingu au?

Dstv ni haya mawingu au?

nusuhela

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
6,491
Reaction score
8,161
Tangu asubuhi ni scanning in progress
Searching for signal.........

Nini tatizo wakati tunawalipa? Ina maana mnashindwa kuboresha mitambo yenu?
Hamjui kuwa hakuna fidia kwa muda uliopita bila kuangalia?!!!!

Fanyeni mpango turudi hewani
 
Daah bro nilidhani ni kwangu tuu kumbe watu kibao tunaona hii kitu eeh...wanazingua sasa
 
Back
Top Bottom