Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Inatuchukua miaka mingi ya kujitolea na kumwomba Mungu hadi kufanikiwa kujenga nyumba za ibada. Kama Magufuli hajashiriki kujenga nyumba za ibada, hajui gharama kubwa inayotupata kujenga nyumba...
10 Reactions
27 Replies
3K Views
Jiji la Dar es Salaam limechukua tuzo ya Bloomberg Philathropies kutokana na mradi wa mabasi ya mwendokasi DART ambao umepunguza foleni barabarani na uchafuzi wa hali ya hewa Usafiri huu...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Mimi ni wakala wa m-pesa hapa mtaani wapo mawakala wenzangu huwa tunaaminiana kama mawakala maana miongoni mwa sifa kuu ya kuwa wakala ni uaminifu. Sasa ipo hivi kuna siku nilikosea kutuma pesa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naamini uncle utawaambia wenzio Basi LA Kampala limewekwa taa za kuchajia toka SAA kumi namoja kama vile halina taa kabisa Ukiuliza dreva anakwambia ukishindwa kuona siti yako tuite kha Basis...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
hili jambo limekuwa likinikera sana. ni utaratibu wa hovyo sana kuwah kutokea kwenye sherehe na mikutano mbalimbali. wewe huna hili wala lile umemaliza sherehe au mkutano unatoka nje unakuta picha...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Shambulizi lililotekelezwa na ndege vita za Japan dhidi ya Marekani katika Bandari ya Pearl huko Hawaii halitakaa lisahaulike na Wamarekani.Walipigwa vibaya. Kimsingi lilikuwa shambulizi la...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
RUSHWA HUANZAJE KWENYE SYSTEM? 1.Unaachiwa maziwa au unamuachia mtoto wako mkubwa chakula cha mdogo anakula chote, 2.Monitor darasani anawapanga wengine ratiba za usafi lakin rafiki yake hampangi...
0 Reactions
2 Replies
649 Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Nataka kufikia mwaka kesho mwanzon nihame mwanza nihamie arusha Naomba wenyeji mnambie ni mtaa upi mzur wa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hello wakuu wa nchi ,bado tunashikilia hii record wakuu ,maana najua tulikuwa number one Kwa Africa ,
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Yaani pasipo uzinduzi na yeye ni kama haishi au hayupo kabisa dunia hii! Anaishi panapo uzinduzi,pasipo na uzinduzi hana maisha na ndio maana kila panapo uzinduzi na yeye ndipo anapozinduka...
13 Reactions
20 Replies
2K Views
Hii ni hotuba aliyoitoa Mugabe katika mkutano wa 36 wa nchi wanachama wa umoja wa Africa huko addis ababa mwaka jana. Alikuwa anadai Africa ipewe walau seat moja kwenye baraza la usalama la umoja...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna wamama wamevaa nguo za ccm wanatembeza pesa hapa warid lodge iliyopo makole karibu na mahakamani naona wanaopokea wengi ni vijana wa kike na wamama mmoja mmoja anaingia chumbani na wapangaji...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Kwa hapa Tanzania inakadiriwa kwamba miaka ya kuishi ni 45, japo wapo ambao wanafika mpaka 80 lakini wengi ni wacheza kwenye 45 mpaka 50 na baadhi mpaka 62. Yaani miaka mitatu baada ya stress za...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu tafadhali nisaidieni gharama na namna ya kujiunga packages za startimes dish maana imekata hapa ata sielewi
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Kwasisi wafanyabiashara tumewahi kukumbana na kitu kinaitwa CHUMA ULETE, nimebahatika kuwa na kijiofisi cha M-Pesa mitaa ya Mbagala hapa basi huyu Mwanadada niliyemuweka hapo...
4 Reactions
19 Replies
6K Views
Mkuu Wa shule ya sekondari bondeni inayomilikiwa na taasisi ya dini ya Bakwata,jijini Arusha Rahimu Masawe amekiona cha moto Mara baada ya ofisini yake kugeuka lokapu ya kumsurubu baada ya walimu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Waliooa wanawake wenye ndevu tusaidieni kitu. Ndevu zao hunyolewa au huwa hazikui? Wengi hawapendagi kuzinyoa ili tusiwatofautishe na waume zao! Lkn inakuwaje unaoa mwenye ndevu aisee? Wawe...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau , kuna jambo ambalo binafsi silielewi, mmiliki wa gari amemkodisha mtu ambae katika hoja yangu nitamwita Dereva kwa mkataba uliosainiwa kisheria na kuainisha haki za Dereva na Haki za...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Apandacho mtu ndo avunacho Ukipanda karanga utavuna karanga Ukipanda uchafu utavuna magonjwa Ukipanda juhudi utavuna mafanikio Kwa upande wangu kanuni hii ndo huwa naiona inauhalisia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…