Apandacho mtu ndo avunacho
Ukipanda karanga utavuna karanga
Ukipanda uchafu utavuna magonjwa
Ukipanda juhudi utavuna mafanikio
Kwa upande wangu kanuni hii ndo huwa naiona inauhalisia kwenye maisha....
Wewe je kanuni gani unaikubali
Karibuni wadau.
Ukipanda karanga utavuna karanga
Ukipanda uchafu utavuna magonjwa
Ukipanda juhudi utavuna mafanikio
Kwa upande wangu kanuni hii ndo huwa naiona inauhalisia kwenye maisha....
Wewe je kanuni gani unaikubali
Karibuni wadau.