Jeshi la polisi mkoani Tanga limewatuhumu baadhi ya viongozi wa serikali waliopo katika kata ya Kigombe wilayani Muheza kuwa ni miongoni mwa watuhumiwa wanaosaidiana na baadhi ya wafanyabishara...
Nimeongia kwenye Tv Mpya hapa kwa jina JTV mara namuona JK akisakata rumba huku anakula popcorn!
Nimejiuliza ni tangazo la biashara au jamaa ana ubia na tv hii?
All in all jamaa yuko vizuri sana...
Ujue walimu wa Tz sijui wamerogwa
Walimu wa Tz ndo wanatumika kuibeba CCM kipindi cha uchaguzi mwisho wa siku wanatupwa kama makapi ,mshahara wanaongezewa elfu 6 kweli walimu mnanyanyasika sana...
Iki kitendo cha kuwakamata na kuwazuia mawakala wote wa upinzani kuingia vituoni au kusimamia uchaguzi kwa haki na amani, kunawapa taswila mbaya sanaa viongozi walioko madarakani hasa rais na tume...
Niaje wanaJamiiForums?
Nimekutana na haya maeneo ambayo hayaelezeki historia yake na mengine maelezo yake hayana mashiko, lakini maeneo haya yana maajabu yake tofauti na chumba chako cha kulala...
Katika kipindi hiki mimi Deogratius Kisandu nikiwa na umri wa miaka 17 nilikuwa nasoma sekondari-Form One(Evenning Classess) na nikitoka Shule jioni naingia mzigoni kama Mhudumu wa Bar( Kaunta na...
Mzuqa wanajamvi!
Kuna dogo flani nimjivuni Sana halaf anamashindano flan Na Mimi. Kaliletwaga long time hapa Na maza yake.
Mara ya kwanza kufahamiana naye 2010alikuwa akiongea kwenye simu...
Suala la kuwepo ombaomba mijini na Serikali kutokuwa na mikakati ya kudumu kukabiliana nalo, nalileta kwa majadiliano. Hii ni baada ya kufanya marejeo ya bandiko kadhaa humu JF:
Tatizo la...
Kuna vitambulisho vimeokotwa royal village Dodoma vya mwanachuo wa IRDP jina Mussa Mwamtemi yeyote anae mfahamu huyo bwana mussa mwamtemi tuwasiliane kwa pm ili vimfikie muhusika.
Ahsante
Salaam wapendwa.
Leo nimepokea kwa huzuni habari za kifo cha aunty yangu(ulale pema peponi shangazi)
Allikua anasumbuliwa na saratani ya titi,
As a coincidence ,asubuhi hii pia nimesoma habari...
Naomba kuuliza jamani mh Jamal malinzi na Rais wetu wa msimbazi bado wapo kolokoloni au wemeshatoka?
Mbona kimya sana naomba mtujuze mnaojua hawa vigogo wapo wap?
Nawasilisha
Waziri wa habari , mh Mwakyembe amekemea tabia ya watu mbalimbali wakimwemo viongozi kupenda matumizi ya lugha zao za asili(makabila yao).
Amesema kwa sasa imekuwa ni suala la kawaida kwa watu...
Hamjambo.
Naomba kujua kama polisi watachukua vijana fresh from school bila kupita jeshi la kujenga taifa.
Je ni lini usaili wa polisi hufanyika?
Kwa niaba ya wadogo zetu walokosa nafasi...
Habari zilizopatikana hivi punde ni kuwa Kleist Sykes Amefariki dunia
Huwezi kuzungumzia Historia na Siasa za Tanzania bila familia hii ambayo mchango wake kwenye uhuru wa Tanganyika nathubutu...
Wadau
Kutoka Wilayani Bunda mwanafunzi wa darasa la saba amejifungua watoto mapacha.
Mwalimu wake atuhumiwa kuhusika. RC Mkoa wa Mara Mhesh Adam Malima aagiza vyombo vya usalama kuchukua hatua...
Kwa mujibu wa mwanasheria mkuu, muswada wa fao la kujitoa unafikiriwa kuwasilishwa na iwapo hautowasiliishwa, basi wabunge wataamua juu ya hatima ya fao la kujitoa.
Maelezo hayo ya mwanasheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.