Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Ni kazi Nyeti unajilipua tuu na kubadilisha Uraia hii inahusisha hata ambao ni Askari hasa waliotoka Ngerengere na Monduli wamesema pia hawana Waalimu/instructors wa kijeshi. IT HAS been a long...
2 Reactions
54 Replies
7K Views
Kero kero mpaka unatamani kuacha gari nyumbani kwani kuna tatizo gani nchi hii?
14 Reactions
88 Replies
9K Views
Makondakta wote hususani wa mabasi ya mikoani hasahasa kampuni ya Kandahari inayoendesha safari zake katika mikoa ya Singida,Kilimanjaro na Arusha wanapaswa kujitahidi kujenga sifa nzuri...
0 Reactions
2 Replies
725 Views
Wadau kuna kitu kime nishangaza saana huku kwetu kisiwani . Unajuwa katika kipindi hiki cha awamu ya tano tuna aminishwa kwamba kuna uwajibikaji mkubwa wa watumishi wa uma lakini pengine kwenye...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ilikuwa tarehe 22 December tukiwa ndani ya bus aIna ya coster tukitokea dar tukielekea bk. Baada ya kufika kutuo cha polisi Muleba tulisimamishwa na askari wakiongozwa na askari mwenye nyota na...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Naomba kujua namna ya kuvunja mkataba wa fixed account ktk benki ya crdb,kwa anayefaham anisaidie
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kutokana na hali ya kiuchumi ilivyo na habari ya kufilisika mabenki pamoja na sheria ya Amana za pesa zetu benki ikifilisika, ni afadhali kutohifadhi pesa nyingi benki kwa vile hakuna usalama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shikamoo popote uliko Mh. rais, mimi nakusalimia nikitokea Kinore hapa mkoani Morogoro! Baada ya salamu ninakuuliza wewe rais na waziri mliofungia viroba na baada ya viroba watu wakaamia kwa...
2 Reactions
20 Replies
7K Views
SPIKA, kwa wale Watakaokuwa Wanaropoka ropoka, Watoe nje ili waropokee Nje. Na Wakiropokea nje , mimi nitawashughulikia -Mr president voice. Hii kauli Unaitafakari vipi kwenye inch yenye...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanajamvi habari; Ikiwa bado mwaka ndio umeanza basi ni vyema pamoja na mambo mengine tukamfahamu vyema huyu Babu Sea na familia yake kiujumla, ambaye yeye na mwanae walipata msamaha wa rais baada...
3 Reactions
51 Replies
13K Views
MK ULTRA SEDUCTION[emoji769] is rooted in advanced psychology and mind control strategies,works on virtually every female type on the planet - from the homely girl-next-door to the top supermodel...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Ni swali tu kwa wanasheria wasomi wa nchi yetu ya Tanzania.......... Huu ukimya wake una maana gani mwaka wa 4 sasa au ndiy bado upepelezi unaendelea?
5 Reactions
122 Replies
13K Views
Wadau Mwanadamu kwa miaka mingi ameshirikia mambo ya kishirikina kwa imani ya kutatua shida zake.Hata hivyo ushirikina ulishazuiwa kwa mujibu wa vitabu vitakatifu. Zipo ''faida'' za ushirikina...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu miaka 30 jela watu watano akiwemo Mfanyabiashara Moriss Malianga maarufu kama ‘Rais wa Sinza’ baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la unya’nganyi wa...
3 Reactions
46 Replies
12K Views
Tukio hilo lilitokea usiku wa mkesha wa Mwaka Mpya Shangani Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja. Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Hassan Nassir Ali, akizungumza na Nipashe kisiwani hapa jana, alisema...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato nchini kupitia kampuni ya Yono Aunction Mart imeendesha mnada wa magari 140 yaliyotelekezwa bandarini. Licha ya watu wengi kujitokeza kwenye mnada huo uligubikwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nipo mbeya mjini. Ila huko kyela Nina eneo kubwa zuri tu lipo barabarani , barabara inayoelekea Matema beach ambayo kwa sasa ipo katika hatua za mwisho za kuwekwa lami . katika kiwanj a kuna maji...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
WATU wawili wameuawa wilayani Kalambo mkoani Rukwa katika matukio tofauti, likiwamo la mtoto kuuawa kwa kupigwa ngumi na mateke tumboni na baba yake. Katika tukio la kwanza lililotokea Januari 1...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hhhh
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Sasa huyu aliona shida gani kuongea kilugha chao kujiona anajua kingereza kah
0 Reactions
0 Replies
823 Views
Back
Top Bottom