Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Maelezo ya habari hiyo ni kwamba Novemba 15, baada ya Mugabe kuwekwa kuzuizini na jeshi la nchi hiyo ndani ya makazi yake, alimwaga machozi kumkumbuka Sally na mtoto wao aliyeishi duniani miaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mikoa niliyoitaja hapo imekuwa na matatizo sugu yanayohitaji kiongozi jasiri mwenye uzoefu kama vile RC Makonda. Matatizo yaliyoko katika mikoa hiyo ni pamoja KILIMO cha bangi, uvamizi wa hifadhi...
3 Reactions
107 Replies
9K Views
WATU milioni saba hufariki dunia kila mwaka kutokana na matumizi ya bidhaa zitokanazo na tumbaku hususan uvutaji sigara, imeelezwa. Takwimu hizo ni matokeo ya utafiti wa Shirika la Afya Duniani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika mradi wa Kawe' wa NHC' 711 ambao unajengwa na kampuni ya ESTIM" huyu raia wa kigeni kutoka India jina lake ni Bipin Vekariya' Huyu muhindi amekua akitoa aina ya maneno ya kashfa juu ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
“Afya njema ni msingi mkubwa wa maendeleo katika taifa. Nchi ambayo wananchi wake hawana afya njema kamwe haiwezi kupata maendeleo, hii ni kwa sababu mwananchi asiye na afya njema hawezi kushiriki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati wafanyakazi wa Wakala wa Barabara (Tanraods) wakiendelea kuweka alama kwenye nyumba zinazotakiwa kubomolewa kupisha upanuzi wa Barabara ya Morogoro, wakazi wanaoishi kati ya Ubungo na...
3 Reactions
90 Replies
12K Views
Tukio hili liko mubashara ITV muda huu, ukuta umeshabomolewa na sasa anasubiriwa Waziri aje kutoa mazagazaga yake ili ofisi yake na Naibu wake zipigwe chini. Source ITV breaking news!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari JF Mimi ni mtumishi wa afya kama Lab scientist katika hospitali X ya mkoa Y. Hivi karibuni nimehitimu degree ya uzamili (masters) katika fani ya tafiti za afya yaani Clinical research...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wadau.. Magufuli anafanya mengi sana. Nimependa wazo la kuunganisha mifuko ya hifadhi ya jamii, maana ilikuwa mingi bila sababu ma ceo wengi huku kazi ni zile zile... Kuna ujinga mwingine...
13 Reactions
44 Replies
5K Views
huyu mzee alikuwa ni mtaalamu sana wa kutafsiri mikanda yaan movie, kipindi hicho ukiwa umetumwa sehem au unapita karibu na kibanda ukasikia sauti ya mkandara akisema "KATIKA JIJI LILE KUU LA...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
samahani wakuu nina shida ya tv nimeona matangazo kupatana kuhusu jamaa flan wapo zanzibari naomba mawazo kwa mwenye uzoefu na kuagiza mizigo toka huko.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Natumai asilimia 80 ya wana jf humu ndani ni wanachama wa Makundi mengi ya kijamiii Ninaposema makundi ya kijamiii Hapa nazungumzia ma group Ya whatsapp ambayo upo added Vyama vya kufa na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndugu wana jf ninawasalimu wote na kuwapa pole/hongera kwa majukumu ya kulijenga taifa letu. Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kufuatia mjadala unaoendelea juu ya fao...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari za muda huu, Natokea Tabata nataka kufika Kunduchi Beach KKKT. Msaada wa kuelekezwa ili niweze kufika.
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Wakuu.. Fans wa Arsenal msiwe mbogo na makamanda wenzangu msinizingue mwana w3nu; ila embu tiririka kujibu swali.. Binafsi mimi si mpenzi wa kilabu cha Arsenal washika bunduki (pyu pyu) ila ni...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari ya jumapili wakuu. Sasa naanza kuamini kua Dr. Shika ni muongo na yote aliyoyasema hayana ukweli. Hati yake ya kusafiria inaonyesha amezaliwa 31.12.1969, ni sawa na kusema amezaliwa...
6 Reactions
93 Replies
16K Views
-Tangu jana eneo la Mwananchi - Jiji la Mwanza hatuna huduma ya maji na MWAUWASA hawajatueleza kuwa kuna tatizo gani?. Nawashauri muwe kama wenzenu wa TANESCO ambapo kama tatizo lolote...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za wakati huu!! Jana ilikuwa ni Black Friday, na vitu vilikuwa vinauzwa kwa bei ya punguzo. Nilipata mda wa kuperuzi kwenye Jumia online market, na bahati nzuri nikakuta kuna bidhaa...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga (wa tatu kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori-Mweka, Brightone Mbilinyi kuhusu mafunzo ya...
0 Reactions
2 Replies
11K Views
Wataalamu wa afya wanadai kulia kwa kutoa machozi kuna faida kiafya kama kuondoa bakteria wa maambukizi machoni & kuondoa mkazo (stress), wasiwasi (anxiety) na huzuni. Kulia pia si udhaifu...
3 Reactions
8 Replies
5K Views
Back
Top Bottom