Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Nasikitika kwajulisha msiba wa Dr Agustino Goodman,uliotokea nyumbani kwake segerea juzi usiku,mazishi yanatarajiwa kufanyika Hapo Hapo nyumbani kwake jumatatu Kwa kifupi Dr Goodman alikuwa...
11 Reactions
45 Replies
9K Views
Habarini, mimi ni mwanafunzi wa chuo mwenye dhumuni ya kuuza bidhaa Za natural hair Za aunt Jackie's, kwa yeyote anae Jua nawezaje kuagiza kutoka nje ya nchi Naomba msaada
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wandugu salama, Kuna ukweli wowote kwenye hili, hapa nilipo kuna malumbano yanaendelea juu ya nani mmiliki wa lile jengo la makao makuu ya TANESCO pale ubungo, pia inasemekana kutokuwa mali ya...
8 Reactions
330 Replies
71K Views
Eee Mwenyezi Mungu asante sana kwa siku ya leo. Usiku huu tunajikabidhi kwako, tunalikabidhi Taifa letu la TANZANIA kwako, na pia tunamkabidhi kwako Rais wetu mpendwa Mh John Pombe Magufuli...
0 Reactions
3 Replies
738 Views
wakuu habari z saiz naomba msaada kidogo . kuhusu sheria za kazi..mdogo wangu kike anafanya kazi serikalini yeye ni lecture chuo fulani. kenda masomoni akaawa unapewa mshahara wake kamili kwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Abdul Nondo,ameshinda uchaguzi uliofanyika leo na kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa mtandao wa kutetea wanafunzi Tanzania( TSNP.) baada ya kupata kura 49 za NDIO dhidi ya 1 ya HAPANA
3 Reactions
25 Replies
5K Views
Ukipitia masoko ya bidhaa mtandaoni hapa nchini hasa kupatana utakutana na matangazo ya bidhaa na vifaa vya umeme kutoka Zanzibar kwa bei ya chini sana ukilinganisha na huku bara. Kutokana na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar wana jf Leo nilikuwa naangalia habar za michezo nikamkumbuka hemed kivuyo mzee wa vionjo vionjo Ila kwa sikuhz za karibuni sijamsikia na wala sijamuona itv na mm ni mtamaji pendwa wa itv...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari, Najua wenzangu na mimi wengi tulikuwa na matumaini sanaa na huyu tumuitaye baba la mitandao bongo (Airtel), Tulisifia sanaaa kwa service zao nzuri katika package zao. Hali si hali...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
habari wana jukwaa Wakati tukiuanza mwaka mpya si vibaya tukijikumbusha nyuzi na mada zilizokuwa hot mwaka uliopita. kwa maoni yangu nilitegemea Mods atuletee mchanganuo bora zaidi. Kwa upande...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ule mchezo wa kishamba wa waajiriwa wa jeshi la polisi nchini Tanzania wa kudhalilisha Raia wasio na hatia umeendelea tena bila wasiwasi wowote. Taarifa zinaonyesha kwamba Ofisa mmoja wa Jeshi la...
14 Reactions
179 Replies
28K Views
Habari za weekend wanaJF, natumaini mu wazima na wenye afya tele. Kumekuwa na wimbi kubwa la watu kuhisiwa kupotea katika mazingira tatanishi naamini wengi wetu humu mmeshawea kukutana na baadhi...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Malori kadhaa yamekua yakibeba mchanga huku yakisaidiwa na vijiko vinavyoaminika toka Manispaa. Mh Makonda ukifika karibu na huu mto kuna Bar moja wanaita kwa Mangi hii bar iko busy masaa 12 watu...
2 Reactions
2 Replies
943 Views
Waliojengeaa wanajuaà madhara yake. Mto Kawe umeruhusiwa kuondoolewa mchanga baada ya mvua ya muda mrefu Nawaasa ndugu zangu mnaojengea ule mchanga ni mimba ya mapacha unaweza kujuta milele...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Serikali itatumia zaidi ya shilingi bilioni 2.4 kwa ajili ya ujenzi wa daraja kwenye Kijiji cha Mbuchi litakalounganisha Kijiji cha Mbwela vilivyopo Mbuchi wilaya ya Kibiti Mkoa wa Pwani, ikiwa ni...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau! Kauli ya mgonjwa aliyelazwa hukaririwa kama ni kauli ya mtu ambaye hana akili timamu, kauli ya mgonjwa si kauli ya kuiamini hata kidogo! Hata katika mirathi, wosia unaoandikwa na mgonjwa...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
helo wadau naomba mnisaidie kuhusu visa ya ugiriki nahitaji kusafiri kwenda huko siku za karibuni wakuu
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Ukipitia masoko ya bidhaa mtandaoni hapa nchini hasa kupatana utakutana na matangazo ya bidhaa na vifaa vya umeme kutoka Zanzibar kwa bei ya chini sana ukilinganisha na huku bara. Kutokana na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imeanika majina 57 ya kampuni, shule, vyuo na mashirika ambayo waajiri wake hawawasilishi makato ya wanufaika wa mikopo kwa wakati. Uanikaji wa majina hayo...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Ndugu zangu heri ya mwaka mpya 2018, Naomba kuuliza, je mgao Divident wa HISA za SWISSPORT za mwisho wa mwaka 2017 hazipo mbona kila nikichungulia Bank hakuna kitu?. Kila mwaka tunagawiwa mara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom