Maelezo ya habari hiyo ni kwamba Novemba 15, baada ya Mugabe kuwekwa kuzuizini na jeshi la nchi hiyo ndani ya makazi yake, alimwaga machozi kumkumbuka Sally na mtoto wao aliyeishi duniani miaka...
Mikoa niliyoitaja hapo imekuwa na matatizo sugu yanayohitaji kiongozi jasiri mwenye uzoefu kama vile RC Makonda.
Matatizo yaliyoko katika mikoa hiyo ni pamoja KILIMO cha bangi, uvamizi wa hifadhi...
WATU milioni saba hufariki dunia kila mwaka kutokana na matumizi ya bidhaa zitokanazo na tumbaku hususan uvutaji sigara, imeelezwa.
Takwimu hizo ni matokeo ya utafiti wa Shirika la Afya Duniani...
Katika mradi wa Kawe' wa NHC' 711 ambao unajengwa na kampuni ya ESTIM" huyu raia wa kigeni kutoka India jina lake ni Bipin Vekariya'
Huyu muhindi amekua akitoa aina ya maneno ya kashfa juu ya...
“Afya njema ni msingi mkubwa wa maendeleo katika taifa. Nchi ambayo wananchi wake hawana afya njema kamwe haiwezi kupata maendeleo, hii ni kwa sababu mwananchi asiye na afya njema hawezi kushiriki...
Wakati wafanyakazi wa Wakala wa Barabara (Tanraods) wakiendelea kuweka alama kwenye nyumba zinazotakiwa kubomolewa kupisha upanuzi wa Barabara ya Morogoro, wakazi wanaoishi kati ya Ubungo na...
Tukio hili liko mubashara ITV muda huu, ukuta umeshabomolewa na sasa anasubiriwa Waziri aje kutoa mazagazaga yake ili ofisi yake na Naibu wake zipigwe chini. Source ITV breaking news!
Habari JF
Mimi ni mtumishi wa afya kama Lab scientist katika hospitali X ya mkoa Y. Hivi karibuni nimehitimu degree ya uzamili (masters) katika fani ya tafiti za afya yaani Clinical research...
Habari wadau..
Magufuli anafanya mengi sana. Nimependa wazo la kuunganisha mifuko ya hifadhi ya jamii, maana ilikuwa mingi bila sababu ma ceo wengi huku kazi ni zile zile...
Kuna ujinga mwingine...
huyu mzee alikuwa ni mtaalamu sana wa kutafsiri mikanda yaan movie, kipindi hicho ukiwa umetumwa sehem au unapita karibu na kibanda ukasikia sauti ya mkandara akisema "KATIKA JIJI LILE KUU LA...
samahani wakuu nina shida ya tv nimeona matangazo kupatana kuhusu jamaa flan wapo zanzibari naomba mawazo kwa mwenye uzoefu na kuagiza mizigo toka huko.
Natumai asilimia 80 ya wana jf humu ndani ni wanachama wa
Makundi mengi ya kijamiii
Ninaposema makundi ya kijamiii
Hapa nazungumzia ma group
Ya whatsapp ambayo upo added
Vyama vya kufa na...
Ndugu wana jf ninawasalimu wote na kuwapa pole/hongera
kwa majukumu ya kulijenga taifa letu.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kufuatia mjadala unaoendelea juu ya fao...
Wakuu..
Fans wa Arsenal msiwe mbogo na makamanda wenzangu msinizingue mwana w3nu; ila embu tiririka kujibu swali..
Binafsi mimi si mpenzi wa kilabu cha Arsenal washika bunduki (pyu pyu) ila ni...
Habari ya jumapili wakuu.
Sasa naanza kuamini kua Dr. Shika ni muongo na yote aliyoyasema hayana ukweli.
Hati yake ya kusafiria inaonyesha amezaliwa 31.12.1969, ni sawa na kusema amezaliwa...
-Tangu jana eneo la Mwananchi - Jiji la Mwanza hatuna huduma ya maji na MWAUWASA hawajatueleza kuwa kuna tatizo gani?. Nawashauri muwe kama wenzenu wa TANESCO ambapo kama tatizo lolote...
Habari za wakati huu!!
Jana ilikuwa ni Black Friday, na vitu vilikuwa vinauzwa kwa bei ya punguzo.
Nilipata mda wa kuperuzi kwenye Jumia online market, na bahati nzuri nikakuta kuna bidhaa...
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga (wa tatu kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori-Mweka, Brightone Mbilinyi kuhusu mafunzo ya...
Wataalamu wa afya wanadai kulia kwa kutoa machozi kuna faida kiafya kama kuondoa bakteria wa maambukizi machoni & kuondoa mkazo (stress), wasiwasi (anxiety) na huzuni. Kulia pia si udhaifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.