Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Shekhe Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubakar Zuberi, ametaka viongozi wa dini nchini kuheshimiwa na jamii ikiwemo kutekelezewa mahitaji yao ya msingi ili waweze kujikimu kimaisha. Akizungumza na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
msaada tafadhali ninaweza kujua aina hii ya madini
2 Reactions
76 Replies
30K Views
Kuhusu umauti ulivyomkuta Mfinaga, Soma => Empakai, Arusha: Ndege ya Shirika la Coastal Aviation yaanguka. Watu 11 wafariki dunia
1 Reactions
47 Replies
8K Views
Habari ndugu,samahani naomba kufahamishwa kama kuna uwezekano wa mwanamke ambae amepita mafunzo ya kijeshi kuweza kupewa cheo cha CDF,na kama hawezekani ni kwa vigezo gani vinavyopelekea asipewe...
0 Reactions
0 Replies
633 Views
Habari zenu Jf niliomba ushauri kuhusu kuomba kuruhusiwa na mke wangu ninywe Kwa Uhuru. Nilimuomba Jana usiku Kwa unyenyekevu kabisa huku nikimwambia nilishauriwa na daktari kabla sijamuoa Bali...
0 Reactions
2 Replies
606 Views
Mamlaka ya Mapato TRA,mkoa Wa Arusha, imevifunga vituo vitano vya mafuta kwa kosa la kukwepa kodi kwa kushindwa kutoa risiti za mauzo wakati wa kutoa huduma ya mafuta kwa wateja. Aidha mamlaka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wadau Niende moja kwa moja kwenye mada Hii halmashauri watendaji wake ni wabovu sana katika ofisi ya mkurugenzi Nilichokiona pale ni kujuana,undugu na rushwa vimetamalaki Binafsi nimekua...
0 Reactions
1 Replies
830 Views
Leo nimefika tanesco kwa ajili ya kufatilia utaratibu waliouweka mpya wa kukusanya madeni kwa wadaiwa.Kifupi utaratibu huu ni gunia la misumari kwa watu wa kipato cha chini na hasa ukizingatia kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mamlaka ya Mapato nchini kupitia kampuni ya Yono Aunction Mart imeendesha mnada wa magari 140 yaliyotelekezwa bandarini. Licha ya watu wengi kujitokeza kwenye mnada huo uligubikwa na malalamiko...
5 Reactions
39 Replies
10K Views
Habari wakuu, Kichwa chajieleza hapo juu, Mimi ni mfanyakazi wa kampuni nimeajiriwa miezi 6 ilopita, kutokana na ugeni wa eneo ninaloishi hua nikitoka kazini nakua nipo tuu sina cha kufanya...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Chikopelo Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, Mwanaidi Yakobo ni miongoni mwa mamia ya wanafunzi wasichana nchini wanaopitia changamoto za kukosa...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Pesa huwa zimeishia kwenye bata za sikukuu na kwa kutembelea familia zetu na ukweni. Ada za watoto na kodi za hapa na pale. Nini kifanyike kujinasua na taabu za mwezi january? Wapi tunakosea.
1 Reactions
5 Replies
826 Views
[Kwa wale watumiaji wa Halotel... Ukiweka vocha unatumiwa msg hii hapa..] [HALO WIN] Hongera, Umepoke namba ya Bahati! Tafadhali tuma 7728469 kwenda 0901220004 au piga 0901220004 fuata...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
DC Sumbawanga Dkt. Khalifan Haule, amepiga marufuku biashara ya chakula (mama lishe), biashara ya pombe za kienyeji, harusi pamoja na kupika chakula misibani katika eneo la Muze na Mtowisa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Hoja yangu ipo hapa Mfungwa yeyote ambae sio raia wa Tanzania akitoka ama kuachiwa gerezani anakabidhiwa kwa Ubalozi wa nchi yake au anatakaiwa kuondoka nchini mwenyewe kama uwezo anao. Kwa kina...
2 Reactions
71 Replies
7K Views
Husika na kichwa cha habari Nilipewa jina la kienyeji na wazazi ambapo kwa maana yake katika Jamii sio nzuri. Kila nikijitambulisha lazma nikejeliwe. Sio mtu mzima, hata wadogo. Huwa naogopa...
0 Reactions
6 Replies
959 Views
Ni wamawake wachache ambao hupatwa na matatizo ya mshtuko wa moyo wanaoweza kufa ikiwa watapata matibabu sawa na yale wanayopewa wanaume, uchunguzi umeonyesha. Utafiti huo uliangazia matokeo ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Uyole Mbeya,Hoteli ya Westpine iliyojengwa hivi karibuni kajengo kake ka mbele na fence viliwekwa X wakati Wa ujenzi.Lakini baadaye kidogo aliendeleza Ujenzi na sasa amewekewa alama ya X ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana tuliendelea na zoezi la uwekaji mpaka baina ya eneo la hifadhi ya bonde la Ardhi Oevu la Kilombero na eneo la vijiji katika wilaya ya Malinyi, mkoani Morogoro. Pamoja na kuambiwa kuwa...
3 Reactions
85 Replies
10K Views
Kwanza kabisa nianze kwa kuhisifia dstv kwa huduma nzuri pale unapo subscribe your account.picture ni clear,programs full HD.balaa linaanza kifurushi chako kinapoisha,licha ya maelekezo mazuri ya...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom