Wadau
Timu ya madaktari Bingwa wa upasuaji kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili wamepiga kambi katika hospital ya rufaa Sokoine Lindi ili kupambana na kutokomeza ugonjwa...
Wadau
Jumla ya Wanafunzi 95 wa Shule za Sekondari Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro wamepewa mimba katika kipindi cha kuanzia January- October 2017 na hivyo kukatizwa masomo yao.
Watuhumiwa bado...
Dua yangu kwako mungu wangu.... wa babu zangu...... muongoe huyu Al-watan. Ana upeo wa hali ya juu ila umeelekezwa sipo. Hakujui wewe baba wala uwepo wako.
Namuombea aujue uzima wa milele. Na...
Ukiwa mpole sana unaitwa zoba
Ukiwa mdadidisi sana unaitwa mjuaji
Ukiwa mtu wa black and white unaitwa mchuro
Ukiwa na self initiative unaitwa anajipendekeza
Ukiwa smart ( physical and...
Wakala wa huduma ya misitu Tanzania TFS wilaya ya Kilwa mkoani Lindi, imekamata mbao zaidi ya vipande mia moja aina ya Mkongozene ujazo wa Cubic mita 7,4 zenye thamani ya shilingi 2,500,000...
tukiwa tunaelekea mwishoni mwa mwaka 2017 matukio ya uhalifu katika jiji la DSM na haswa pembezoni mwa jiji kama vile kibamba, kiluvya n.k kumekuwa na matukio ya uhalifu kila kukicha!!
Tunaomba...
Mfumo wa Rais wa Kukusanya Mapato Kielekroniki eRCS umepaisha mapato ya kodi ya makampuni ya simu kwa 102%
Na Mwandishi wetu
Mfumo wa Kukusanya Mapato Kielekroniki (eRCS) umeonyesha mafanikio...
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linakanusha Taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ikiwataka Wateja kununua Umeme kwa wingi kutokana na zoezi linaloendelea la kubomoa Ofisi za Makao...
Niliuzwa kama mtumwa mara tatu Chad na Libya'
29 Novemba 2017
Mshirikishe mwenzako
Harun Ahmed 27, now in GermanyHaki miliki ya pichaHARUN AHMED
Harun Ahmed ni mmoja tu kati ya maelfu ya vijana...
Ni condition ambayo mtu/mtoto anashindwa kuandika,kusoma ama spelling,
nimeiona hii nikafikiri,
labda wale wanaosemwa wamemaliza elimu ya msingi bila kujua kusoma,wana hili tatizo......
Mzigo...
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imemhukumu kifungo cha miaka 10 jela mfanyabiashara Gairo Mtozoma (43) kwa kosa kupatikana na silaha na risasi kinyume cha taratibu.
Mshtakiwa...
1. Harar, Ethiopia
2. Jimbo la Jujuy, Argentina
3. Tbilisi, Georgia
4. Sydney, Australia
5. Oaxaca, Mexico
6. Viena, Austria
7. North Shore Oahu, Hawaii
8. Malmo, Sweden
9. Jordan Trail...
Raisi kashajua watumishi wa tanzania ni mazuzu. Kwamba mshahara tunapata kwa ajili ya chakula na hatuna jinsi hatuwezi kuacha kazi. Kwa huo mtazamo raisi kashawaona watumishi walala hoi, watoto...
Wakuu habari?
Kama nilivyotangulia hapo nategemea kufika mkoa wa Morogoro kuanzia mwezi January, 2018 hasa katika shughuli hiyo ya kilimo, hasa mboga mboga.
Naombeni wenyeji mnijuze ni wilaya ipi...
Hapo vip!!
Kuna hii taasisi inaitwa VICOBA(www.wezeshavkoba.wapka.mobi) na makao makuu yapo Dodoma.
Taasisi imejinasibu katika mitandao yakwamba inatoa mikopo and infact vigezo vyao ni simple...
Mkulima mmoja alikuwa na Punda aliyedumu nae kwa miaka mingi sana akimsaidia shughuli za kilimo na uchukuzi. Alikaa naye toka akiwa mtoto mpaka punda akawa mzee kabisa.
Siku moja wakiwa wanatoka...
Kwa hili Tanesco kisarawe hatuwezi kulivumilia,kwani nimelipia kuunganishiwa umeme nyumbani kwangu majohe huu mwezi wa pili toka nimelipia,sihitaji nguzo kwangu,lakini mpaka leo hii ni siku 60 za...
TANESCO imesema hitilafu imetokea katika mashine namba tatu ya kuzalisha umeme kwa njia ya gesi asilia kituo cha Ubungo II.
Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.