Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
bony sijaelewa zitapunguzaje foleni.Afadhali kwa kwel itasaidia sana hzi ruti na zitapunguza sana folen, waanzishe na mbez luis to tegeta/boko/bunju
Magar yatapungua kwenda njia moja kwa maana sio daladala zote za makumbusho zitapita morogoro road kama ilivyokuwa mwanzobony sijaelewa zitapunguzaje foleni.
Lakini ninavyojua nyingi ya hizi route au njia tayari zinahudumiwa na daladala nyingi. Tatizo kubwa la usafiri ni route ya Mpigi Magohe hadi Mbezi Lou's magari ni machache kulinganisha na wingi Wa abiria Ingebidi SUMATRA wafanye market research ya hizi njiaIpo vizuri
Hongera Sumatra
Segerea masaki ipo ila si ya kutoshaKamanda Kahatano amesahau Tabata - Masaki hakuna usafiri wa moja kwa moja