Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Naomba hatua za kurasimisha ardhi na gharama zake zinaweza zikafka 330000. Plz naomba mnisaidie kwa ambao wanafahamu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarini Blood group yangu ni O Ninatabia ya kutokamilisha mipango yangu, yaani naweza nikapanga jambo/biashara/masomo then nikaanza utekelezaji nikifika njian kwenye utekelezaji naghairi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hii nchi yetu bado masikini sana. Bado sana. Deal moja la kununua kampuni moja nchini Marekani kati ya Disney na fox entertainment ni trilioni 149. Hii ni bajeti ya Tanzania ya miaka 5. Bado...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Niende moja kwa moja kwenye mada,ni karibu mara zote kwa upande wangu,sijui kwa wengine,mziki nitakaousikia mara ya kwanza ninapokuwa nimeamka asubuhi na hii hasa ni kwa mziki ninaoufahamu,ni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Imekua ni utamaduni kwa jiji la Dar es salaam lenye mkusanyiko mkubwa wa shughuli mbalimbali za kiserikali na kibiashara kukosa umeme siku tano kati ya siku saba za wiki,nimechunguza nikagundua ni...
0 Reactions
2 Replies
646 Views
Miaka miwili kabla ya utawala wa Magu kulikuwa na msemo mtaani hasa kwa yeyote anayeibuka na utajiri wa ghafla. Utasikia huyo Freemason ,kwasasa huo msemo umeanza kusahaulika kabisa vinywan mwa...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya watu huandika kama inavyoonekana hapo juu mlangoni nje hasa mwanzo wa mwaka, maana yake ni ipi?
0 Reactions
2 Replies
897 Views
Je wewe ni mpenzi wa Riwaya za Taharuki, hususan kutoka kwa mkali wa riwaya hizo nchini, HUSSEIN TUWA? Kama jibu ni ndiyo, basi sasa ndio wakati wako wa kufunga na kufungua mwaka kwa riwaya kali...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
HAKIKA YOTE YAMETIMA Nimekaa nikasikiliza mashairi ya huu wimbo wa Mh.Joseph Haule ,Nang'atuka mpaka nimeshtuka na kama sii kuogopa. Ni kama vile jamaa alioteshwa. Yote yalioimbwa yatatimia...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Wasalaam wanajamii, Nirukie kwenye swali moja kwa moja nahitaji kufahamu ufafanuzi wa student visa je, visa hii utolewa kwa watu waliopata scholarship tu au kwa mtu yeyote mwenye dhamira ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tusali pamoja kuwaombea mapacha hawa walioungana Maria na Consolatha waliolazwa kwenye Taasisi ya Moyo ya Jakaya kikwete jijini Dar es salaam wakipatiwa matibabu ya Moyo. Na hii ni video...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tangu asubuhi ni scanning in progress Searching for signal......... Nini tatizo wakati tunawalipa? Ina maana mnashindwa kuboresha mitambo yenu? Hamjui kuwa hakuna fidia kwa muda uliopita bila...
0 Reactions
1 Replies
667 Views
Wakati serikali ukijitahidi kuondoa kero katika jamii, kituo cha polisi kati Mwanza kimekuwa kero kwa kuziba njia ambayo imekuwa ikitumiwa na wasafiri wanaotumia meli ziendazo Bukoba na Ukerewe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Paul Makonda , Leo amehaidi Kuijengea Nyumba ya Vyumba Vinne (4) Familia ya Mwandishi (mpiga picha) wa Magazeti ya Serikali TSN wanaochapisha Magazeti ya Habari...
10 Reactions
103 Replies
13K Views
Nchi ya hovyo, ardhi ya hovyo, Raia wa hovyo, vijana wa hovyo, wazee wa hovyo, siasa za hovyo, uongozi wa hovyo, viongozi wa hovyo, viongozi wa dini wa hovyo. Ni nchi gani hiyo katika Africa?
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Kwa ufupi Mkazi wa Ilala Bungoni, Dar es Salaam, Richard Mrutu alisema kushuka kwa usajili katika shule binafsi kumetokana na kuimarika kwa hali ya elimu katika shule za Serikali ikilinganishwa na...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Shirika la Stemm ambalo lilitoa msaada wa kuwatibu mtoto Shadia,Doreen,na Wilson nchini Marekani walionusurika katika ajali iliyouwa wanafunzi 32 dereva pamoja na walimu 2 wa shule ya Luckvicent...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wana Jf! Napenda kujua habari zao,namna walivyofanya,walivyotendewa,sioni wakisikika tena,hivi wako wapi? wanafanya nini? Mustakabali wao wa maisha ya siasa,na Ulimboka Taaluma yake ya...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Nasikitika kwajulisha msiba wa Dr Agustino Goodman,uliotokea nyumbani kwake segerea juzi usiku,mazishi yanatarajiwa kufanyika Hapo Hapo nyumbani kwake jumatatu Kwa kifupi Dr Goodman alikuwa...
11 Reactions
45 Replies
9K Views
Habarini, mimi ni mwanafunzi wa chuo mwenye dhumuni ya kuuza bidhaa Za natural hair Za aunt Jackie's, kwa yeyote anae Jua nawezaje kuagiza kutoka nje ya nchi Naomba msaada
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…