IF YOU SUPPORT ISRAEL OCCUPATION IT MEANS YOU SUPPORTED APARTHEID POLICY IN SOUTH AFRICA .........................................
BREAKING: 128 UN member-states vote to reject U.S. recognition of...
Habari wana JF, natumai nyote wazima na kama kuna yoyote hayupo sawa basi Mungu awe naye arudi kwenye afya yake ya zamani
Nilikuwa naomba yoyote mwenye kitabu cha WHEN WE RULED BY ROBIN WALKER...
Kiwanda cha nguo cha urafiki kwa kushirikiana na kampuni ya udalali ya Yono imewatoa zaidi ya wapangaji 100 katika nyumba zinazomilikiwa na kiwanda hicho kutokana na kudaiwa kodi ya pango la zaidi...
1. Dini
Hii ilikua njia kuu miaka ya 1900 kurudi nyuma ambayo ilitumika ili kudumaza race ya waafrika ambayo ingeweza kuwa tishio kwa dunia.
Baada ya wahusika kuona uwezekano wa kutawaliwa na...
Wakuu Niko hapa ofisi za NSSF Ilala karibu na Mwalimu Complex nafuatilia mafao yangu baada ya kuachishwa kazi katika kampuni moja ya kichina mwaka mmoja uliopita.
Lakini hali iliyopo hapa, watu...
Habari...naomba tushirikishane,je mikoa ipi/ wilaya zipi nzuri kwa kufanya biashara. Ondoa Dar.
Na pia naomba mwenye ile chati inayoonesha data za hali ya uchumi kwa kila mkoa.
Asanteni na...
Wadau,
Jana Mahakama ya Kisutu Dsm,ilitoa hukumu kwenye kesi ya madai ambapo Mkurugenzi Wa hamlshauri ya Mbinga aitwaye Gombo akituhumiwa kuwatapeli wananchi Wa Kigamboni zaidi ya mil 160 za...
Haifai kwenda kununua pikipiki mjini, kwakuwa ukitoka dukani unakamtwa kwa kuwa hauna kibali cha kuingia na kutoka, hapo lazima mlungula ukutoke.
Sasa kwanini haya maduka ya pikipiki...
Mwanza. Jeshi la polisi mkoani Mwanza linamshikilia mtu mmoja kwa kosa la kujifanya daktari, katika hospitali ya mkoa Sekou Toure.
Joseph Mbagata 25,mkazi wa mtaa wa Mabatini jijini humo...
Ni kweli tumeaminishwa na dini zetu tulizokulia kwamba MUNGU ni muumba wakila kitu na kwake maisha ni rahisi na ni kama vitu vinapatikana kwa wepesi sana. Jambo ambalo linaonekana kama sio kweli...
Tuna malalamiko ya hali kuwa vyuma vimekaza kwa wafanyabiashara na wajasiliamali
Wenzetu watu wa siasa vip maana kazi ya kisiasa ni kujitolea haihitaji malipo serikali inatoa ruzuku nanyi...
Tarehe 8 December 2017 nilileta malalamiko humu jamvini kuwa kipindi kizito cha "Malumbano ya hoja" kinachorushwa na ITV Alhamisi saa tatu usiku kinaendeshwa na "wachekeshaji/washehereshaji." Hii...
Wapendwa inakujaje mtu anakuwa mgeni katika ofisi anakuta top Management and other worker inampa ushirikiano mbovu kama hawataka kumsaidia kwa chochote
Sasa je mtu Huyu atafanyaje kazi? Hii sio...
Ningependa kujua wafuatao walikuwa watumishi wa umma wako wapi
1.Alikuwa kamishna TRA makontena ya bandari yakamtoa kwenye system
2. Edward Hosea takukuru
3.Felix wa Ewura
4.Engineer wa...
Habari wanabodi, huyu mhandisi ni noma sana, yaani akikuchambulia mifumo ya Gari kuanzia utendaji kazi, namna ya kutunza, namna ya kuendesha nk utamtaka, huyu ni hazina pale NIT.
Nimejikuta...
Kampuni ya simu za mkononi ya Bharti Airtel Limited (Bharti) kutoka India, imenunua rasmi kampuni ya simu za mokono ya Zain inayoendesha shughuli zake katika nchi 15 za Afrika, ikiwemo Zain...
10 Cleanest Cities in Africa
1. Cape Town (South Africa)
2. Port Louis (Mauritius)
3. Johannesburg (South Africa)
4. Nairobi (Kenya)
5. Gaborone (Botswana)
6. Tunis (Tunisia)
7. Accra (Ghana)
8...
Salaam wakuu.
Katika uzi huu tuambizane namna tulivyopitia masahibu mbalimbali katika kupambana na tatizo la kukojoa kitandani, either utotoni au hadi katika utu uzima hasa kupitia ndotoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.