Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

IF YOU SUPPORT ISRAEL OCCUPATION IT MEANS YOU SUPPORTED APARTHEID POLICY IN SOUTH AFRICA ......................................... BREAKING: 128 UN member-states vote to reject U.S. recognition of...
1 Reactions
0 Replies
469 Views
Blood wanted urgent 0 Negative Ongoin operation needs 1 to 2 pints urgently Contact 0787713336
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wana JF, natumai nyote wazima na kama kuna yoyote hayupo sawa basi Mungu awe naye arudi kwenye afya yake ya zamani Nilikuwa naomba yoyote mwenye kitabu cha WHEN WE RULED BY ROBIN WALKER...
0 Reactions
0 Replies
824 Views
Kiwanda cha nguo cha urafiki kwa kushirikiana na kampuni ya udalali ya Yono imewatoa zaidi ya wapangaji 100 katika nyumba zinazomilikiwa na kiwanda hicho kutokana na kudaiwa kodi ya pango la zaidi...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
1. Dini Hii ilikua njia kuu miaka ya 1900 kurudi nyuma ambayo ilitumika ili kudumaza race ya waafrika ambayo ingeweza kuwa tishio kwa dunia. Baada ya wahusika kuona uwezekano wa kutawaliwa na...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakuu Niko hapa ofisi za NSSF Ilala karibu na Mwalimu Complex nafuatilia mafao yangu baada ya kuachishwa kazi katika kampuni moja ya kichina mwaka mmoja uliopita. Lakini hali iliyopo hapa, watu...
8 Reactions
66 Replies
8K Views
Habari...naomba tushirikishane,je mikoa ipi/ wilaya zipi nzuri kwa kufanya biashara. Ondoa Dar. Na pia naomba mwenye ile chati inayoonesha data za hali ya uchumi kwa kila mkoa. Asanteni na...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wadau, Jana Mahakama ya Kisutu Dsm,ilitoa hukumu kwenye kesi ya madai ambapo Mkurugenzi Wa hamlshauri ya Mbinga aitwaye Gombo akituhumiwa kuwatapeli wananchi Wa Kigamboni zaidi ya mil 160 za...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Haifai kwenda kununua pikipiki mjini, kwakuwa ukitoka dukani unakamtwa kwa kuwa hauna kibali cha kuingia na kutoka, hapo lazima mlungula ukutoke. Sasa kwanini haya maduka ya pikipiki...
4 Reactions
38 Replies
12K Views
Mwanza. Jeshi la polisi mkoani Mwanza linamshikilia mtu mmoja kwa kosa la kujifanya daktari, katika hospitali ya mkoa Sekou Toure. Joseph Mbagata 25,mkazi wa mtaa wa Mabatini jijini humo...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Ni kweli tumeaminishwa na dini zetu tulizokulia kwamba MUNGU ni muumba wakila kitu na kwake maisha ni rahisi na ni kama vitu vinapatikana kwa wepesi sana. Jambo ambalo linaonekana kama sio kweli...
2 Reactions
6 Replies
5K Views
Tuna malalamiko ya hali kuwa vyuma vimekaza kwa wafanyabiashara na wajasiliamali Wenzetu watu wa siasa vip maana kazi ya kisiasa ni kujitolea haihitaji malipo serikali inatoa ruzuku nanyi...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Tarehe 8 December 2017 nilileta malalamiko humu jamvini kuwa kipindi kizito cha "Malumbano ya hoja" kinachorushwa na ITV Alhamisi saa tatu usiku kinaendeshwa na "wachekeshaji/washehereshaji." Hii...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapendwa inakujaje mtu anakuwa mgeni katika ofisi anakuta top Management and other worker inampa ushirikiano mbovu kama hawataka kumsaidia kwa chochote Sasa je mtu Huyu atafanyaje kazi? Hii sio...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Ningependa kujua wafuatao walikuwa watumishi wa umma wako wapi 1.Alikuwa kamishna TRA makontena ya bandari yakamtoa kwenye system 2. Edward Hosea takukuru 3.Felix wa Ewura 4.Engineer wa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari wanabodi, huyu mhandisi ni noma sana, yaani akikuchambulia mifumo ya Gari kuanzia utendaji kazi, namna ya kutunza, namna ya kuendesha nk utamtaka, huyu ni hazina pale NIT. Nimejikuta...
2 Reactions
39 Replies
9K Views
Kampuni ya simu za mkononi ya Bharti Airtel Limited (“Bharti”) kutoka India, imenunua rasmi kampuni ya simu za mokono ya Zain inayoendesha shughuli zake katika nchi 15 za Afrika, ikiwemo Zain...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
10 Cleanest Cities in Africa 1. Cape Town (South Africa) 2. Port Louis (Mauritius) 3. Johannesburg (South Africa) 4. Nairobi (Kenya) 5. Gaborone (Botswana) 6. Tunis (Tunisia) 7. Accra (Ghana) 8...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Salaam wakuu. Katika uzi huu tuambizane namna tulivyopitia masahibu mbalimbali katika kupambana na tatizo la kukojoa kitandani, either utotoni au hadi katika utu uzima hasa kupitia ndotoni...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Usisahau kusubscribe Channel kwa Matukio zaidi, karibu.
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Back
Top Bottom