Airtel mbona kabla mwaka haujaisha mnatunyoosha kwa kupandisha gharama za vifurushi hivyo???. Yani zamani ilikuwa sh. 6000 unapata GB 4 NA DK 500 kwa siku 30. Lakini kwa sasa sh. 5000 unapata GB 2...
Msaada wa mawazo jamani hiyo mada tulikuwa nayo maskani tunadiscus lakini hatukupata majibu sahihi.. Upi msemo ambao unapaswa kupigwa marufuku ni "VYUMA VIMEKAZA" AU "VIBAMIA..?
Heri ya christmass ndugu zangu,Leo tukumbushane nyimbo zinazohit wakati wa christmass,kuanzia kwa kina boney M,jimmy reeves,carols na wengine wengi ili tuisindike siku hii salama salimi
Katika mkutano wa jana Dodoma hotuba ya awali ya Rais Magufuli niliguswa na Sehemu moja tu aliposema"Mke wa Mfalme lazima aambatanae na mmewe na sio kumsaliti". Mfalme ni nani ?
Mfalme anaweza...
Niende kwenye mada
Unakuta hawa wanaojiita ma -video queen Yaani kila video wao ni kuonesha maungo Yao nje..Mimi huwa najiuliza hivi huo ndio uburudishaji au?? Lakini huwa hawafikilii kuwa wao...
ALHAJI ALICKO DANGOTE:- BILIONEA NAMBARI 1, AFRIKA..!!na Fred Mmari
Ukisoma kitabu cha "African Apostles" kilichoandikwa na Leke Leecroft, pamoja na visa vingi vya kushangaza, kuamsha roho na...
Waziri mkuu wa zamani wa Israel aliyewahi kuhudumu pia kama rais Shimon Peres amefariki dunia akiwa na miaka 93.
Aliugua kiharusi wiki mbili zilizopita na hali yake ikawa mbaya zaidi ghafla...
Mnamo miaka ya 1980 Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali za nchi za Scandinavia walianzisha mradi uliyokuwa ikiitwa Industry Promotion Project (IPP) ikiwa chini kampuni iliyoitwa...
Maadhimisho ya sikukuu ya Krismasi kitaifa zinafanyika Zanzibar na TBC watarusha mubashara ibada ya misa takatifu kuanzia saa 2 asubuhi. Nimuombe tu mtangazaji wa TBC ndugu Makerubi aache tabia...
Wadau
Waziri wa Ardhi Mh William Lukuvi na Waziri wa Afya Mh Ummy Mwalimu wametajwa kufanya vizuri zaidi kiutendaji katika baraza la mawaziri kwa 2017.
Hii ni kwa mujibu wa maoni yaliyotolewa na...
Jaman, nyie Airtel huku pande za Lindi mbona mnazngua na sikukuu kama hii..!!
Nimenunua bando la maana hapa, ile nizame kwa mtandao nijivinjari na maburudani ila mtandao hata 3G haishiki.. Tatizo...
Katika waandishi wa habari wauliza maswali waliojipanga vizuri mwandishi wa habari Mayage nimempenda. Alipomuuliza Swali Kingunge wakati alipoongea na waandishi wa habari. Swali limekakamaa na...
Kwa wale tulioko Moshi em tuelekezane mitaa, club, gardens, au sehem zozote nzuri kufanya mtoko jumatatu hii ya Sikukuu ya Krismas.
.
Mimi ntakuwa pale Mekuz Bistro, iko karibu na roundabout ya...
Jamani, pale M city wamefunga mashine ya kupima vitu vya asili ya chuma (metal detector) kwa watu wote wanaotaka kuchoma ndani.
So kuna usumbufu wa aina yake kama vile kwa wasafiri wa kupanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.