Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Airtel mbona kabla mwaka haujaisha mnatunyoosha kwa kupandisha gharama za vifurushi hivyo???. Yani zamani ilikuwa sh. 6000 unapata GB 4 NA DK 500 kwa siku 30. Lakini kwa sasa sh. 5000 unapata GB 2...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wote
1 Reactions
0 Replies
625 Views
Msaada wa mawazo jamani hiyo mada tulikuwa nayo maskani tunadiscus lakini hatukupata majibu sahihi.. Upi msemo ambao unapaswa kupigwa marufuku ni "VYUMA VIMEKAZA" AU "VIBAMIA..?
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu kama yupo tafadhali
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Heri ya christmass ndugu zangu,Leo tukumbushane nyimbo zinazohit wakati wa christmass,kuanzia kwa kina boney M,jimmy reeves,carols na wengine wengi ili tuisindike siku hii salama salimi
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika mkutano wa jana Dodoma hotuba ya awali ya Rais Magufuli niliguswa na Sehemu moja tu aliposema"Mke wa Mfalme lazima aambatanae na mmewe na sio kumsaliti". Mfalme ni nani ? Mfalme anaweza...
4 Reactions
36 Replies
9K Views
Niende kwenye mada Unakuta hawa wanaojiita ma -video queen Yaani kila video wao ni kuonesha maungo Yao nje..Mimi huwa najiuliza hivi huo ndio uburudishaji au?? Lakini huwa hawafikilii kuwa wao...
0 Reactions
3 Replies
910 Views
Nipo home karibuni sana tujumuike hii Christmas
1 Reactions
3 Replies
6K Views
ALHAJI ALICKO DANGOTE:- BILIONEA NAMBARI 1, AFRIKA..!!na Fred Mmari Ukisoma kitabu cha "African Apostles" kilichoandikwa na Leke Leecroft, pamoja na visa vingi vya kushangaza, kuamsha roho na...
34 Reactions
68 Replies
14K Views
Waziri mkuu wa zamani wa Israel aliyewahi kuhudumu pia kama rais Shimon Peres amefariki dunia akiwa na miaka 93. Aliugua kiharusi wiki mbili zilizopita na hali yake ikawa mbaya zaidi ghafla...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mnamo miaka ya 1980 Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali za nchi za Scandinavia walianzisha mradi uliyokuwa ikiitwa Industry Promotion Project (IPP) ikiwa chini kampuni iliyoitwa...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Maadhimisho ya sikukuu ya Krismasi kitaifa zinafanyika Zanzibar na TBC watarusha mubashara ibada ya misa takatifu kuanzia saa 2 asubuhi. Nimuombe tu mtangazaji wa TBC ndugu Makerubi aache tabia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
dd
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Wadau Waziri wa Ardhi Mh William Lukuvi na Waziri wa Afya Mh Ummy Mwalimu wametajwa kufanya vizuri zaidi kiutendaji katika baraza la mawaziri kwa 2017. Hii ni kwa mujibu wa maoni yaliyotolewa na...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Jaman, nyie Airtel huku pande za Lindi mbona mnazngua na sikukuu kama hii..!! Nimenunua bando la maana hapa, ile nizame kwa mtandao nijivinjari na maburudani ila mtandao hata 3G haishiki.. Tatizo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Katika waandishi wa habari wauliza maswali waliojipanga vizuri mwandishi wa habari Mayage nimempenda. Alipomuuliza Swali Kingunge wakati alipoongea na waandishi wa habari. Swali limekakamaa na...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa wale tulioko Moshi em tuelekezane mitaa, club, gardens, au sehem zozote nzuri kufanya mtoko jumatatu hii ya Sikukuu ya Krismas. . Mimi ntakuwa pale Mekuz Bistro, iko karibu na roundabout ya...
1 Reactions
1 Replies
647 Views
Elimu ni bora kwa wote Haiwezekani mumeo akiondoka nawe unachepuka ,katika hili wasiochepuka ni wachache .
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani, pale M city wamefunga mashine ya kupima vitu vya asili ya chuma (metal detector) kwa watu wote wanaotaka kuchoma ndani. So kuna usumbufu wa aina yake kama vile kwa wasafiri wa kupanda...
0 Reactions
2 Replies
853 Views
Uzi huu ni maalum kwaajili ya chrsmas yani unaweka picha kama ni ya maanjumati au mitoko watu tuna like hapa na kukomenti
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Back
Top Bottom