Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Hii nchi yetu bado masikini sana. Bado sana.
Deal moja la kununua kampuni moja nchini Marekani kati ya Disney na fox entertainment ni trilioni 149.
Hii ni bajeti ya Tanzania ya miaka 5. Bado tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Muamala mmoja tu huko marekani ni bajeti yetu ya miaka 5.
Deal moja la kununua kampuni moja nchini Marekani kati ya Disney na fox entertainment ni trilioni 149.
Hii ni bajeti ya Tanzania ya miaka 5. Bado tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Muamala mmoja tu huko marekani ni bajeti yetu ya miaka 5.