Siku hizi freemason nao vyuma vimekaza

Siku hizi freemason nao vyuma vimekaza

byembalilwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2012
Posts
2,066
Reaction score
951
Miaka miwili kabla ya utawala wa Magu kulikuwa na msemo mtaani hasa kwa yeyote anayeibuka na utajiri wa ghafla.
Utasikia huyo Freemason ,kwasasa huo msemo umeanza kusahaulika kabisa vinywan mwa watu,
Hivi Freemasons nao vyuma vimekaza Siku hizi hawatoi pesa?Au walikuwa wapiga dili wanapitia mgongo huo.
karib tujadili.
 
Mpaka Kaa-Kobe naye vimekaza unadhani mchezo, kuna Dada kule MMU amesema sasa hivi ndio tutawaona matajiri wa kweli, vipato vya kati wa kweli na maskini wa kweli...alitoa mfano wa Kenya kuwa hali hii ya Hapa Kazi Tu walisaizoea tangu 1987.
 
Miaka miwili kabla ya utawala wa Magu kulikuwa na msemo mtaani hasa kwa yeyote anayeibuka na utajiri wa ghafla.
Utasikia huyo Freemason ,kwasasa huo msemo umeanza kusahaulika kabisa vinywan mwa watu,
Hivi Freemasons nao vyuma vimekaza Siku hizi hawatoi pesa?Au walikuwa wapiga dili wanapitia mgongo huo.
karib tujadili.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hao waliokuwa wakijiita Freemason waliishi kwa UJANJAUJANJA ,biashara za ngada, ukwepaji kodi ,utakatishaji fedha, wizi, Dhuluma ,ulaghai nk. Sasa MTAALAMU MJUZI WA MAMBO ALIYEBOBEA, kadhibiti mianya yote ,hakuna cha Freemason wala "Free wizi" wamebaki gogolo gagala, hoi!!!!
 
Betting ndiyo inalipa kwa sasa
ilikuwa ukiona nyumba nzuri ,mke au gari , semi za mafuta unaambiwa za Rizone sijui naye vyuma vimekaza
nataman nione fom yake ya maadili itakuwa na kurasa nyingi bila shaka
 
Back
Top Bottom