Inasikitisha sana wiki ya tano sasa maji ya Moshi UWASA sio salama kwa afya wala kutumika kwa matumizi ya nyumbani. Nimejaribu kufuatilia bila jibu. Maji yanatoka kwenye bomba yakiwa na tope...
MATUKIO ya watu kujiua yamekuwa yakiripotiwa mara kwa mara katika maeneo mbalimbali nchini, ni matukio yanayoshtua na kuogopesha mno pindi tunapoyasikia.
Kwa sababu si jambo rahisi hata kidogo...
Tunapenda sana kujilinganisha na wengine, na kutwa kusema kwa nini hatuko kama USA, EU au sijui Uchina na Ujapani, lkn kuna jambo moja huwa hatutaki kulikubali na huwa tunalificha chini ya kapeti...
Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema kutojitokeza watu kuitambua miili ya wanaume watatu iliyokutwa pembezoni mwa Bahari ya Hindi katika ufukwe...
Habari wana bodi.
Kirushi changu cha azamu kimeisha ila naona kuna channel moja ya tbc1 tu, hivi hili agizo la juzi lililotolewa pale TCRA lilikuwa geresha, au?
Hivi ni kwa nini tuko hivi? Mara nyingi ni kama Maisha yetu yote yamezungukwa na unafiki na visasi, wakati mwingine huwa nafikiri huwa hatuna cha kufanya isipokuwa kukaa na kusubiri Binadamu xyz...
Habari wa wandungu? Format ya maisha kwa kweli imebadilika hebu tubadilishane experience itokanayo na maisha kubadilika i mean vyuma kukaza hapa nchini.
Kumekuwa kukitokea vioja mbali mbali huku...
Unaweza kumwona mtu ana mwili flani tipwa tipwa ukamchukulia poa na kumwona mzembe flani hivi kumbe ukijichanganya unaweza kukalishwa vibaya mnoo.
Kweli sio kila kibonge ni mzembe, mana jamaa...
Dar es Salaam. Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeandaa mazoezi ya pamoja ya kijeshi kwa maofisa kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Mazoezi hayo yaliyopewa jina...
Kwenu,
Tanzania ni mshirika mkubwa wa kibiashara na Jamhuri ya Watu wa China, PRC. Mwaka 2014,kwa mujibu wa takwimu, Tanzania iliuza China bidhaa zenye thamani ya USD 684 milioni hasa mbegu za...
Tangu mwaka 2013, Twaweza imekuwa ikitekeleza mpango wa KiuFunza(Kiu ya Kujifunza). Awamu ya kwanza ililenga kupima athari za bahshishi kwa walimu katika kujifunza kwa wanafunzi wa madarasa ya...
Nimepishana na msafara wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Dar ukiongozwa na Mwenyekiti wake RC Makonda muda huu..!
Nadhani ni kwenda kutoa pole kwa tukio la moto lililotokea jana...
Kodi ndio msingi wa maendeleo kwa mataifa karibia yote duniani.Ninaipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzabia (TRA) kwa kukusanya kodi kwa kasi hii ya sasa.44
Naomba maboresho haya yafanyike kwenye...
Hamjambo wana jamvi? swali hilo kwenye kichwa cha mada limekuwa linanisumbua mda mrefu nimeamua kulileta hapa jamvini kwa mnaofahamu mambo ya ardhi hivi ni mkoa upi hapa Tanzania unaongoza kuwa...
Mapema leo zilisambaa kwa kasi taarifa kuwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa(NHC), Nehemia Mchechu amekamatwa na TAKUKURU na kuhojiwa.
Taarifa hizo ziliwekwa hapa > Tetesi: -...
DR LUI NI FURSA TUNAWEZA KUMTUMIA.
Na Saronga Nangere.
Nani leo hamjui Dr Lui mzee wa 900 itapendeza? Nani hataki kukutana naye? Naona watu wameanza kumshobokea kwa kupiga naye picha nk...
Wakazi wa mitaa ya Madale, Nakasangwe na Mbopo manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam wameendelea kukosa mawasiliano ya barabara kwa zaidi ya wiki mbili sasa kufuatia daraja kiunganisho kukatika...
Vijana wameshauriwa kuacha kutumia vibaya mitandao ya kijamii badala yake itumike kuweza kuwasaidia kujikwamua katika maendeleo, hayo ameyasema mwanamitindo Jokate Mwegelo leo asubuhi kupita East...
Hivi Karibu kumeibuka Uharifu wakutisha unaoendeshwa na Vijana wenye umri Kati 18+ 20_23.Uharifu huu unafanywa ktk Maeneo ya Mwanza.
Makazi ya Vijana hao au uwenyeji wao,Baadhi ni Mwanza mjini na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.