Wakati mwanamfalme wa Kiafrika na karani mmoja mwanamwali Mzungu wa maisha ya wastani kutoka kwa wamiliki wa bima wa Lloyd, walipoamua kuoana mnamo mwaka 1948, ilichochea hisia mbalimbali nchini...
Natazama film ya Mwl Nyerere aliyoact Steve Nyerere naona kama bado hatujaitendea haki nafasi yake ktk jamii!
Ilitakiwa tupate film inayoonesha maisha ya Julius akiwa Butiama, leo wakati mama...
Habarini wakuu!
Tujulishane kipi kinaendelea kuhusu viwanda vilivyokuwa vimebinafsishwa halafu havijaendelezwa, serikali iliahidi mpaka ikifika mwezi wa 6 viwanda vyote viwe vinafanya kazi...
Mara nyingi hiki chombo cha habari cha clouds media wadau wamekuwa wakisema kipo kimaslahi binafsi lakini watu wamekuwa wakibisha.
Haya angalieni tatizo la tetemeko Bukoba jinsi clouds...
Pesa imepungua mtaani ilo halina mjadala.. Hali ngumu mtaani ilo halina mjadala.. Watu wanaisoma namba ilo halina mjadala.
Lakini pia lazima tukubaliane sio kila mtu pesa imepungua mfukoni.. Sio...
I did warn you this was/is a rant. Now that being said, i am also very much curious.
Mimi nimtanzania! At the age of 12 i moved to the US. Bado nina kumbukumbu nyingi nzuri za Tanzania, since...
NANI anataka tutukanane ili nitoe stress maana sio kwa hzi kazi za kwenda ofisini kwa mwendokasi alafu unasikia mtu ana viwanja 25,maghorofa 7,nyumba 25...
Alafu eti GSM wanatengeneza malori na...
Ukinunuwa Tikitiki Maji likate hapo hapo ulipo nunua ukilikuta lina ufa limepasuka kama hapo kwenye picha Tafadhali usilichukuwe sio zuri kiafya Litakuwa hilo Tikitiki Maji la mbegu yake inatoka...
Wakuu,
Niko Hapa Mwanhuzi,na Mvua Zimeanza Kunyesha Leo!
Ukanda Huu wa Meatu Mvua Huwa za Nadra za Kusuasua!
Kwa Mbano Huu wa Uchumi,Kilimo Atleast,Kitapunguza Makali!
Karibu Tulime...
Kampuni ya Frajo Media House Limited yenye makazi yake wilaya ya Bukoba mjini maeneo ya National Housing,mkoa wa Kagera inatarajia kuzindua gazeti la Hamasa mwezi wa 8,lengo la gazeti ni...
Wanachuo wote wanaonufaika na Mkopo kutoka bodi ya Mikopo HESLB kisheria wana mkataba Wa kudumu na bodi hiyo wa kupewa Mkopo kwa wakati.
Cha kushangaza sana bodi ya Mikopo bila sababu zozote za...
*MUNGU ANAWAONA*
Kuna Meseji, zinaandikwa siku hizi na naona zinazidi kupata umaarufu sana.
Mwishoni wanaandikaa
*'''MUNGU ANAWAONA '''.*
Hizi meseji zimelifanya kama Jina la MUNGU kuwa kitu...
Information is power. Wataalamu wa hali ya hewa, TMA watuambie mapema kama mji wa Dodoma ni ukanda unaofahamika kuwa na tabia nchi yenye matetemeko ya ardhi ya mara kwa mara ili wananchi...
Habari za majukumu wana Jamvi, Ninapenda kujua huyu Jamaa anayejiita Dr Mwaka amefikia wapi Kwenye ule mtanange wake na Dr Kigwangalah??? Maaana ni muda mrefu sijamsikia,
Je?? Ndiyo Ameshachezea...
HOTELI YA KCC KIBAHA MAILI MOJA YASHIKA MOTO MCHANA WA LEO
Moto Mkali ukiendelea kuteketeza eneo la jiko la hoteli ya KCC iliyopo Kibaha Maili Moja, Mkoani Pwani mchana wa leo . Askari wa...
Hivi ukifuatilia michango yako ya hifadhi ya jamii mfano pspf na ukakuta kuna miezi kadhaa mwajiri wako alikuwa hachangii unapaswa kuchukua hatua gani kama mwajiriwa?utaratibu unajulikana...
Hiyo inatokana yeye na mkewe kujenga nyumba za gharama. Luxury house thamani ya dola laki 4 kutoka katika hela za rushwa. Jaji kapitisha uamuzi ashtakiwe......
Federal prosecutors in Brazil have...
Kupitia wapo radio nimesikia.
Wanajamvi,
Salaam.
Taharuki imetanda huu mjini Kahama,moto mkubwa umezuka ambao chanzo chake bado hakijafahamika,unaendelea kuteketeza maduka ya kuuza mbao yaliyoko...
Kamekuwa na tabia ya kutumbua wafanyakazi ambao wanaonekana kuwa na maendeleo zaidi ya wengine. Kisingizio ni kumiliki Mali nyingi. Lakini kunamawaziri wanamiliki majumba na apartment nyingi tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.