kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,101
- 5,440
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia kuhusu hili bara la antarctica kupitia vyanzo mbalimbali na nimekuwa nikistaajabu sana juu ya mambo ambayo yamejificha kwa miaka mingi na ambayo wanao yafahamu hawataki yafahamike sijui kwanini.
Lakini kila lililofichwa litafunuliwa na kuwa wazi kwakuwa sasa mambo yameanza kuwa hadharani baada ya theluji kuanza kuyeyuka katika bara hilo na mambo mengi kuanza kuwa wazi.
Kihistoria kwa muda mrefu binadamu hakuwa akijua kama kuna bara liitwalo Antarctica mpaka mwaka 1773 ambapo Nahodha ajulikanaye kama James Cook akiwa na wenzake ndipo alipoweza kugundua uwepo wa bara hilo. Lakini ajabu ni kwamba kuna ramani inayoonyesha Antarctica ambayo iligunduliwa huko Uturuki ambayo inadaiwa kwamba ilichorwa na kamanda kikosi cha maji cha jeshi la Uturuki mwaka 1513 aliyejulikana kwa jina la Haji Ahmed Muhiddin Piri , na ramani hiyo inaonyesha kuwa bara la Antarctica halikuwa na barafu.
Ina aminika kwamba Waturuki hawakuwahi kuvuka Bahari ya Midditeranean sasa waliwezaje kuchora ramani hiyo? Na wataalamu walivyoifanyia vipimo waligundua ilikuwa ina vipimo sawa kuliko hata ramani za kisasa. Katika ramani hiyo inaonyesha baadhi ya vitu ambavyo vilikuwa vikipatikana katika bara hilo jambo ambalo lilikuja kuwa kweli ambapo NASA ilitumia satelite inayoweza kuangazia eneo na kupredict kilichoko chini na walipoitumia kwenye bara la antarctica ilionyesha mambo mengi yaliyokuwa chini ya barafu kama uwepo wa milima, mabonde, miamba, mito iliyoganda na kadhalika.
Kwa muda mrefu kuna shughuli za kijeshi na kiunguzi zilikuwa zikiendela huko katika bara la Antarctica kwa siri sana, na aliyeanzisha alikuwa Hitler ambaye alikuwa akiamini sana katika mambo ya aliens na super being. Kati ya mambo mengi aliyofanya hitler ni kufanya tafiti za mambo haya. Hitler alifadhili shughuli za kiutafiti mpaka Mesopotania, Uturuki, Antarctica na kila mahali alipowahi kusikia kulikuwa na na ealry civilizaition.
Hitler alipeleka wanasayansi na jeshi kubwa kufanya tafiti huko Antarctica na inasemekana kwamba aliweza kukuta teknolojia ya jamii ya watu ambao walikuwa ni wakubwa zaidi yetu wengine wakiwa hata na futi 18 kwa urefu. Jamii hiyo ilikuwa imeendelea ikiwa inatumia usafiri wa saucers na hitler aliweza kufanya back engineering na kutengeneza flying saucers zake. Kama utakuwa umefuatilia matukio ya watu kudai wameona flying saucers hasa wanajeshi wa Marekani yametokea miaka hiyo na inadaiwa zilikuwa ni silaha za NAZI walizokuwa wametengeneza kutokana na ugunduzi wao huko Antarctica.
Kwa taarifa zilizpo ni kwamba moja ya sababu ya wale wajulikanao kama the Allies akiwemo U.S kuungana kumtwanga Hitler ilikuwa ni kumuwahi kwakuwa waligundua amegundua teknolojia ambayo wakimuacha akaweza kuitumia vilivyo basi hawatakuwa na uwezo wa kumzuia. Walianza kwa kufanya jaribio la kuvamia military base yake huko Antarctica ambapo flying saucer ya NAZI iliwatandika vibaya na kuzamisha meli zao na kusababisha vifo vya maelfu ya askari.
baada ya kumalizika kwa vita marekani alianzisha military base yake huko na kuanza kuchunguza mambo mengi ambayo yamebaki kuwa siri.
Lakini hivi karibuni barafu imeyayuka na ukitumia google earth utawaeza kuona pyramids kadhaa, majengo, masalia ya makazi, na kuna picha nyingi ambazo serikali ya marekani imeitaka Google iondoe kwenye ramani zake zinazohusu Antarctica.
Moja wapo ya picha za hivi karibuni ni hiii hapa ambayo ilikuwa inapatikana Google earth ikiwa na coordinates.
Hii picha Google imeiondoa na kuanza kudai kuwa ni fake lakini wajuzi wa mambo wanasema kuwa ni moja wapo kati ya vifaa vya jamii hiyo ya kale iliyoishi Antarctica.
Je nini kiliikumba hiyo jamii?
Wajuzi wa mambo wanadai ya kwamba ilitokea janga la kiasili ambalo ndilo lilisababisha hata kuzama kwa Atlantis na hilo janga ndilo lilisababisha kuhama kwa polars na kuwa zilipo leo. Hivyo Antarctica kabla ya hilo janga hakukuwa na barafu wala baridi kama ilivyo leo.
Kuna mengi ya kujadiri moja wapo ni kwamba kuna upenyo wa kuingia ndani ya dunia eneo hilo ambako kuna jamii nyingine inaishi huko.
Pia kuna miji mingi ya kale imegunduliwa chini ya bahari inayoashiria kuwa walioishi kwenye miji hiyo wlaikuwa wana kimo kikubwa zaidi yetu kutokana na ukubwa wa majengo pamoja na ngazi za kupandia ambazo unakuta ngazo moja ina urefu kuliko binadamu wa kawaida.
Mwisho namalizia kwa kuwakumbusha kuna tukio lilitokea mwaka huu kama siyo mwishoni mwa mwaka jana wakati makandarasi wakichimba chini ya Msikiti ma Mecca walikutana na box ambalo walipolishika lilitoa Gama rays ambazo ziliua mamia ya watu. Ni tukio lilitangazwa kama lilivyo ila baadae wakabadiri na kusema ni crane zilianguka zikagongana na kuua watu 107
Inasemekana Warusi ndiyo walikuja kulitoa hilo Box na kulionekana msafara wa Manuari za kivita na nyambizi na wanajeshi 4500 wakilisindikiza kuelekea Antarctica, na kabla ya kufanya hivyo Papa na Kiongozi wa kanisa la Urusi la Orthodox walikutana Cuba kujadiri juu ya suala hilo.
Yapo mengi sana ila nimeandika kwa kifupi tu.
Lakini kila lililofichwa litafunuliwa na kuwa wazi kwakuwa sasa mambo yameanza kuwa hadharani baada ya theluji kuanza kuyeyuka katika bara hilo na mambo mengi kuanza kuwa wazi.
Kihistoria kwa muda mrefu binadamu hakuwa akijua kama kuna bara liitwalo Antarctica mpaka mwaka 1773 ambapo Nahodha ajulikanaye kama James Cook akiwa na wenzake ndipo alipoweza kugundua uwepo wa bara hilo. Lakini ajabu ni kwamba kuna ramani inayoonyesha Antarctica ambayo iligunduliwa huko Uturuki ambayo inadaiwa kwamba ilichorwa na kamanda kikosi cha maji cha jeshi la Uturuki mwaka 1513 aliyejulikana kwa jina la Haji Ahmed Muhiddin Piri , na ramani hiyo inaonyesha kuwa bara la Antarctica halikuwa na barafu.
Ina aminika kwamba Waturuki hawakuwahi kuvuka Bahari ya Midditeranean sasa waliwezaje kuchora ramani hiyo? Na wataalamu walivyoifanyia vipimo waligundua ilikuwa ina vipimo sawa kuliko hata ramani za kisasa. Katika ramani hiyo inaonyesha baadhi ya vitu ambavyo vilikuwa vikipatikana katika bara hilo jambo ambalo lilikuja kuwa kweli ambapo NASA ilitumia satelite inayoweza kuangazia eneo na kupredict kilichoko chini na walipoitumia kwenye bara la antarctica ilionyesha mambo mengi yaliyokuwa chini ya barafu kama uwepo wa milima, mabonde, miamba, mito iliyoganda na kadhalika.
Kwa muda mrefu kuna shughuli za kijeshi na kiunguzi zilikuwa zikiendela huko katika bara la Antarctica kwa siri sana, na aliyeanzisha alikuwa Hitler ambaye alikuwa akiamini sana katika mambo ya aliens na super being. Kati ya mambo mengi aliyofanya hitler ni kufanya tafiti za mambo haya. Hitler alifadhili shughuli za kiutafiti mpaka Mesopotania, Uturuki, Antarctica na kila mahali alipowahi kusikia kulikuwa na na ealry civilizaition.
Hitler alipeleka wanasayansi na jeshi kubwa kufanya tafiti huko Antarctica na inasemekana kwamba aliweza kukuta teknolojia ya jamii ya watu ambao walikuwa ni wakubwa zaidi yetu wengine wakiwa hata na futi 18 kwa urefu. Jamii hiyo ilikuwa imeendelea ikiwa inatumia usafiri wa saucers na hitler aliweza kufanya back engineering na kutengeneza flying saucers zake. Kama utakuwa umefuatilia matukio ya watu kudai wameona flying saucers hasa wanajeshi wa Marekani yametokea miaka hiyo na inadaiwa zilikuwa ni silaha za NAZI walizokuwa wametengeneza kutokana na ugunduzi wao huko Antarctica.
Kwa taarifa zilizpo ni kwamba moja ya sababu ya wale wajulikanao kama the Allies akiwemo U.S kuungana kumtwanga Hitler ilikuwa ni kumuwahi kwakuwa waligundua amegundua teknolojia ambayo wakimuacha akaweza kuitumia vilivyo basi hawatakuwa na uwezo wa kumzuia. Walianza kwa kufanya jaribio la kuvamia military base yake huko Antarctica ambapo flying saucer ya NAZI iliwatandika vibaya na kuzamisha meli zao na kusababisha vifo vya maelfu ya askari.
baada ya kumalizika kwa vita marekani alianzisha military base yake huko na kuanza kuchunguza mambo mengi ambayo yamebaki kuwa siri.
Lakini hivi karibuni barafu imeyayuka na ukitumia google earth utawaeza kuona pyramids kadhaa, majengo, masalia ya makazi, na kuna picha nyingi ambazo serikali ya marekani imeitaka Google iondoe kwenye ramani zake zinazohusu Antarctica.
Moja wapo ya picha za hivi karibuni ni hiii hapa ambayo ilikuwa inapatikana Google earth ikiwa na coordinates.
Hii picha Google imeiondoa na kuanza kudai kuwa ni fake lakini wajuzi wa mambo wanasema kuwa ni moja wapo kati ya vifaa vya jamii hiyo ya kale iliyoishi Antarctica.
Je nini kiliikumba hiyo jamii?
Wajuzi wa mambo wanadai ya kwamba ilitokea janga la kiasili ambalo ndilo lilisababisha hata kuzama kwa Atlantis na hilo janga ndilo lilisababisha kuhama kwa polars na kuwa zilipo leo. Hivyo Antarctica kabla ya hilo janga hakukuwa na barafu wala baridi kama ilivyo leo.
Kuna mengi ya kujadiri moja wapo ni kwamba kuna upenyo wa kuingia ndani ya dunia eneo hilo ambako kuna jamii nyingine inaishi huko.
Pia kuna miji mingi ya kale imegunduliwa chini ya bahari inayoashiria kuwa walioishi kwenye miji hiyo wlaikuwa wana kimo kikubwa zaidi yetu kutokana na ukubwa wa majengo pamoja na ngazi za kupandia ambazo unakuta ngazo moja ina urefu kuliko binadamu wa kawaida.
Mwisho namalizia kwa kuwakumbusha kuna tukio lilitokea mwaka huu kama siyo mwishoni mwa mwaka jana wakati makandarasi wakichimba chini ya Msikiti ma Mecca walikutana na box ambalo walipolishika lilitoa Gama rays ambazo ziliua mamia ya watu. Ni tukio lilitangazwa kama lilivyo ila baadae wakabadiri na kusema ni crane zilianguka zikagongana na kuua watu 107
Inasemekana Warusi ndiyo walikuja kulitoa hilo Box na kulionekana msafara wa Manuari za kivita na nyambizi na wanajeshi 4500 wakilisindikiza kuelekea Antarctica, na kabla ya kufanya hivyo Papa na Kiongozi wa kanisa la Urusi la Orthodox walikutana Cuba kujadiri juu ya suala hilo.
Yapo mengi sana ila nimeandika kwa kifupi tu.