Umewahi kusikia vimbunga vikiwa na majina ya kushangaza, mfano cha sasa kinachoitwa Matthew ambayo kimekumba maeneo ya Haiti, Jamaica, Jamhuri ya Dominika, Bahamas na baadhi ya majimbo ya...
Mwalimu Israel Mlowasa (40) wa Shule ya Sekondari Nkuhungu katika Manispaa ya Dodoma, amekutwa ameuawa nyumbani kwake na kiganja chake cha mkono wa kulia kukatwa na kuondoka na wauaji hao...
Niko na mgonjwa Hospitali ya Ocean Rd Cancer Institute, alitakiwa huduma ya mionzi. Daktari ameniambia mashine zote mbili za mionzi hazifanyi kazi kwa wiki mbili sasa!
Vv
Poleni walimu msio na wito mnaolilia kuajiliwa na serikali, zama zangu nilijitolea kwa miaka miwili huku nikiwa nimesomea taaluma hii cha kushangaza walimu nyinyi kujitolea hamtaki mnataka ajila...
Habari zenu.
Hili tukio limetokea leo Ijumaa, katika kivuko cha MV Magogoni.
Ambulance ikiwa imebeba mgonjwa, ikivuka kutokea Kigamboni kuelekea hospitali kubwa (nadhani muhimbili), kama kawaida...
Wanafunzi wa shule ya Sekondari Tegeta (Tegeta High School) Dar es Salaam kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita waandamana kuelekea kwenye ofisi ya Mwalimu mkuu wa shule hiyo baada ya walimu...
Kagera ni mkoa unaopatikana Kaskazini Magharibi mwa Tanzania ambao umekuwa ukikumwa na matukio kihistoria kama...
1. UKIMWI - Huku wazawa waliuita edith wakimaanisha Aids kwa kiingereza, baadae...
Kuna jambo moja kubwa mno nimejifunza kwa watanzania hasa baada ya tukio lililovuta hisia za wengi wetu na lililoratibiwa kwa kiasi kikubwa na mitandao ya kijamii pale ambapo walimu wa mazoezi...
MKAZI wa kijiji cha Chipu, Kata ya Kasense, Manispaa ya Sumbawanga, mkoani Rukwa, Kasiano Ntalasha (80), aliyejijengea umaarufu mkubwa na kuogopeka ndani na nje ya mkoa, ikiwemo nchi jirani ya...
NI KWELI WALIMU WAMEMPIGA MWANAFUNZI KINYAMA HUKO MKOANI MBEYA LAKINI KIJUE CHANZO KILICHOSABABISHA KUPIGWA KWAKE
Na Mathias Canal
Majira ya asubuhi hapo jana nilianza kuiona kanda ya sekunde...
Mara kwa mara nimekuwa nikisoma post mbali mbali katika mitandao watu wakilalamikia App ya MS TANZANIA (Mobile Solutions Tanzania APPS) ambayo inapatikana kupitia PLAY STORE. Inadaiwa kuwa...
Licha ya kuwepo kwa changamoto mbalimbali katika utoaji huduma wa magari yaendayo haraka jijini Dar es salaam (DART), Kampuni inayoendesha mradi huo, UDART imepiga maarufu usafiri wa bure kwa...
Pengine hamjui au mnajua ni jinsi gani wafanyabiashara wanasumbuka na hizi efd mashine. Nyingi ni delicate sana na zinawasumbua wafanyabiashara. Lingine ni hizi kampuni ambazo mmezipa kazi ya...
Kipindi cha power breakfast ambacho siku za nyuma kilikuwa na mvuto sasa kinapoteza mvuto. Zamani kupitia kipindi hiki ungeweza kupata habari nyingi huku ukiwa unaelekea kazini kwako. Lakini sasa...
Mbabe wa uzalishaji wa Simu Janja almaarufu Smartphone, kampuni ya Samsung ya nchini Korea Kusini imesitisha uzalishaji wa Simu janja aina ya Note 7 kutokana na kadhia ya kulipuka.
Ikumbukwe kuwa...
Ingia google then search for Kenya Police Vetting au
click here: Google
Jirani zetu wa nchi ya Kenya walilifanya hili zoezi na kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa kuondoa baadhi ya askari wa jeshi la...
Miongoni mwa mikoa yenye changamoto za kila aina nchi Tanzania Kagera ni miongoni mwa mikoa hiyo.
Hii inasababisha hata maendeleo na ikuaji wa kiuchumi wa mkoa huo kurudi nyuma kila siku,Mkoa huu...
Mchambuzi mmoja anasema Prof. Lipumba atatumika vizuri huko CCM kwa sababu tayari amewasaidia kwa “kuwafanyia kazi nzuri ya kuhakikisha Edward Lowassa haupati urais ng’o.”
Ushauri huu siuamini na...
Hivi kuna siri gani kwa watu wenye ndimi mbili katika maisha? Nchi yetu imefika mahali si katika siasa, uchuni, mapenzi, mahusiano yamekuwa ndimi mbili. Iwe kwa mtu unaemwamini kwa kumpa siri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.